Kwa kuwa umenusurika kwenye mdomo wa jini. Sasa badili mfumo wa maisha njoo kwa YESU uzaliwe upya ktk Roho na fahamu zako. Nawe utapata mume mcha Mungu.
Pole sana Dada binafsi siwezi kukulaumu maana tunakutana na watu wengi sana tusiowajua undani wao lakini kikubwa ni kua makini kuwachunguza na kuwafahamu undani wao ila mwisho wa yote ni kumshirikisha Mungu katika kila kitu maana yeye ndie mwanga wetu palipo na giza.
Hii nzuri sana, inafaa kukomesha umalaya maana mnajilegeza sana mnauza utu wenu sana, me mwenyewe nikikuchukua hunijui ukakubali lazima nikakutelekeze hata porini ili kukufundisha adabu japo siku nyingine ujue kuna binadamu wabaya na utu wako ni zaidi ya pesa.. Angekunyoosha kabisa nimpate huyo shetani aje mtaani kwetu kukomesha umalaya🎉
Pole sana dada hilo jambo la kudanga halifai muogopeni mungu na km unafanya hiyo biashara usikukubali kwenda kwenye nyumba ya mtu usiyemfahamu nendeni hotel
Pole sana dadayang ila kuwa makin wanaume weng wamejaa utaper ushauliwang nikwamba usikubar kutolews aut namwanaume usiemfaham mweshim sana mwanaume ulienae less yakupats halaka inamateso dada jitaid kulizika naharyako yamaisha
Wadada mujifunze acheni kutamani mali za watu mmekua watu wa kujali pesa kuliko utu wenu, na siku hizi mnajfanya mmevurugwa akili kuweni makini sana sanaaa hizi pesa ztakuja kuwaua ridhikeni na waume zenu mlionao haijalishi mna maisha kiasi gani mnachoweza fanya ni kuwatia moyo waume zenu hizi pesa znatafutwa na znapatkana huu ndio ushauri kwa waschana wa kisasa nafikiri mmenielewa
Njaa Umalaya na Kuweka Tamaa Mbele pasipo kushirikisha Ubongo kwenye Maamuzi hayo ndo Malipo yake.Wanawake kuweni Makini na kuwa na hofu ya Mungu kwenye Maamuzi yenu siyo tamaa tu Mauti huwa nyuma kumbukeni hivyo na Mungu Atawasaidiya lnshaAllah🙏
There some good happenings done the wrong way,if narrated are pitiable and informative,and worthy condemnable,but good curved lies for easy curse inviting monies confuses that we fail to know which is which!.Fear GOD and remember the boy who kept crying...wolf!..wherw none and when it come??????.Proverbs17:13.
ASANTE KWA HIYO HABARI NZURI DADA. WENGINE TUNEJIFUNZA. JAMANI WASICHANA TAFAZALINI MIAKA HII SIYO ILE YA ZANANI YA MTU KUCHUNA BUZI. TUTAFUTE KAZI ZA KUFANYA. WAKATI WA KUTEGEMEA WANAUME NA MABUZI SIYO HUU TENA.