Тёмный

ALIKIBA Alivyovamiwa na Warembo Jukwaani baada ya kuichapa Utu Live/Wammwagia Pesa ndefu 

Rick Media
Подписаться 863 тыс.
Просмотров 122 тыс.
50% 1

...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------

Развлечения

Опубликовано:

 

27 янв 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 254   
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Год назад
Huyu Kiba ndo R Kelly wa Tz wanaoamini waniambie
@ericndayima260
@ericndayima260 Год назад
Mimi na kubali
@stephanomwangoka2448
@stephanomwangoka2448 Год назад
No one like king kiba forever
@ramamtanga3482
@ramamtanga3482 Год назад
itachukua mda sana kupata msanii mwenye vocal kama kiba
@zaidihussein4311
@zaidihussein4311 Год назад
Wa africa
@davismzae7467
@davismzae7467 Год назад
Naaminia kaka
@leylagadau3394
@leylagadau3394 Год назад
Iyooooo nyimbo ukiimba kwanza mwili wote wasisimka UTU KAMA UTU 👐🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯
@realremih
@realremih Год назад
Now we have known the real king. Salute kiba haunanga wivu umekuja kusurpport
@Joekiplangat
@Joekiplangat Год назад
Tanzania's greatest of all time,King Kiba👑 Utu will always be my favorite track
@kassimali2273
@kassimali2273 Год назад
Hakuna nyimbo nzuri mwaka wa 2022 kama Utu kama ipo niambiwe tafadhali nipate kuiskiliza iyo nyimbo zaidi ya hii
@sharifabahar9905
@sharifabahar9905 Год назад
Hakuna
@bama9271
@bama9271 Год назад
Mziki mzuri bila matusi wala maneno ya kejeli!!! Nice job king of kings
@arleneilunga9202
@arleneilunga9202 Год назад
Tanzania people be proud of this artist alikiba he's so talented I'm telling you from congo 🇨🇩 alikiba is my number one artist ✌
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 Год назад
That true numero uno
@supertallone1902
@supertallone1902 Год назад
Absolutely! We proud of him❤👑🎶 TheOnlyOneKing🔥
@lipiharun6105
@lipiharun6105 Год назад
Tokea mm mdogo namuona Ali kiba hivi na huu mwili hadi sai nmekua na yeye hajabadilika wow. King asozeeka🥰
@silvernayzer4107
@silvernayzer4107 Год назад
ALIKIBA ALICHO KIFANYA KWENYE SHOW YA MARIOO NIUNYANYASAJI WAKIJINSIA ASE KILA KONA ANAZUNGUMZIWA UTADHAN SHOW NIYAKE AISE HUYU NI 👑 nahakuna ubishi wala mjadala aise alikiba nakuita maratatu kiba kiba kiba aloooo
@jonesiha6919
@jonesiha6919 Год назад
😂😂🤣🤣 hii kali...
@supertallone1902
@supertallone1902 Год назад
Hapa ndio naelewa kuwa King ukiwa rafiki yake basi hatokuangusha kwenye jambo lako...nakumbuka harusi ya Nandy nayo aliinogesha sana🔥🎶👑💕 Ameonesha upendo mkubwa! Hongera Marioo na Kiba🙌
@josephjulius3327
@josephjulius3327 Год назад
Real recognize real💪
@zephanviela219
@zephanviela219 Год назад
Alikiba haulinganishwi na msanii yeyote hapa Africa am crazy when saying this he is the real King
@edithajonh2970
@edithajonh2970 Год назад
Ndio wajifuze na wawe na adabu mm nawambiaga alikiba ndio msani mkubwa tz na East Africa Mario amekula ugali bila mboga
@williamjoakim304
@williamjoakim304 Год назад
So amazing performance 💪💪king kiba no one like u, good voice brother
@jukaboytz1062
@jukaboytz1062 Год назад
Tunatrending na 12 na mbili twende namba moja King kiba
@issamiladi455
@issamiladi455 Год назад
King kiba 4real haipingwi wewe ndio mfalme wao🔥🔥🔥🔥🔥🔥wafundishe
@zephanviela219
@zephanviela219 Год назад
This is the real music the one you feel better when listening
@bienvenuematoke9094
@bienvenuematoke9094 Год назад
Nimependa kitu kiba alichokionyesha kwakumsapoti mdogowake marioo jukwani.more love kibamarioo
@gracegofrey4677
@gracegofrey4677 Год назад
Wimbo hadi waheshimiwa wanaimba no matusi, mashairi mazuri unaweza kuusikiliza na familia yako🔥🔥🙌 sasa unakuta wimbo mwingine unasema njoo nikupekeche pekeshe
@hussenhemed1050
@hussenhemed1050 Год назад
🤣🤣🤣
@maxomari3542
@maxomari3542 Год назад
Chitaki chitaki🙄🤔🤣ww sambusa mimi maandazi
@rosestephano326
@rosestephano326 Год назад
Gres Mungu anakuona😅😅😅😅😅
@witneyemas1736
@witneyemas1736 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 Год назад
Dah! Hiii Show niya Marioo Au Alikiba sikwakufinikwa huko anyway imeweza huyo ndo King" mwengine hatokeii😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥
@ostermfungwe5377
@ostermfungwe5377 Год назад
Tuache utani kiba kwenye live performance ni waya 😁😂 angalia ya keysha alivoua
@ibrahimuselemani4076
@ibrahimuselemani4076 Год назад
Anaebisha aje na mwanasheria wake jela inamuhusu😂 King n mmoja tu
@aminaalabri4170
@aminaalabri4170 Год назад
@@ostermfungwe5377 kbsa my
@stellahwilfred5762
@stellahwilfred5762 Год назад
MTU wa watu KIBA JAMANI hana makuu kaka wa watu
@salma9390
@salma9390 Год назад
@@ibrahimuselemani4076 😂😂😂😂😂😂
@savanny_music
@savanny_music Год назад
sijawai Ona msanii kama Kiba kuwa appreciated while on stage. Haya ni kati ya maajabu na maumbo yake Mwenyezi Mungu
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 Год назад
Hata mimi sijaona tanzania
@mutesoundrecords
@mutesoundrecords Год назад
Classic one king kiba live voko 🔥🔥🔥💯
@yusrairakoze3966
@yusrairakoze3966 Год назад
Uyo ndo king 👑 upewe ulinzi nakupendaga mpaka basi kama wewe tanzania hakuna
@godfreynyoni1159
@godfreynyoni1159 Год назад
King ni mmoja tuu akuna chasimba Wala chui au tembo king ni kiba saut yenyew ni moto
@Xavierdecristo
@Xavierdecristo Год назад
Hata sisi wa mozambique tunamjua king king the only one king
@m___ck799
@m___ck799 Год назад
Is this Alikba's show or Marioo's? am oves🤣!!
@effarymponzi145
@effarymponzi145 Год назад
That is what we call music Classic one with vibe Mario and king you pple amaizing...
@stellahwilfred5762
@stellahwilfred5762 Год назад
Truly
@yogwemwakulola1634
@yogwemwakulola1634 Год назад
Hii show vipi yaani nimechanganyikiwa mwenye show kaekwa chini kweli King is only one amd is Ali Kiba
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 Год назад
Show nzuri sana mziki mtam sana Marioo unahitaji mazoezi ya Live kwa kweli
@mimokassim1887
@mimokassim1887 Год назад
I’m very sure marioo alijuta kumualika alikiba perform… jamaa ana turn black to white viva king
@donaldmussa2744
@donaldmussa2744 Год назад
King ni mmoja tu kwenye mziki wa Tz
@vasboy-tz2442
@vasboy-tz2442 Год назад
Asake yupo Kweli au basi maana Mfalme kauwa sana❤❤❤❤❤
@thomasmartinez786
@thomasmartinez786 Год назад
🤪🤪🤪🔩asake
@JoeMziwanda
@JoeMziwanda Год назад
Yaan Kwa live band kama hyo aje atake nn asee na anajua TU Kuna kuaibishwa na king kiba hapo watu wananyoosha live bn👑🔥🔥🔥
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 Год назад
Hela za wadada warembo 🤸🏾‍♂️🔥 king 🥰
@rukiapessa7112
@rukiapessa7112 Год назад
Kip the gud music alive...
@winniegesy982
@winniegesy982 Год назад
Alikiba is always my favorite King
@milengeclestine4421
@milengeclestine4421 Год назад
Kiba Kama vile Chris brown Fulani I love your voice Kiba You have a good voice too.
@saidikitambulio6264
@saidikitambulio6264 Год назад
Utasema Justin biba
@yasminally1015
@yasminally1015 Год назад
Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala Allamdulirai Ishaalla Ali K. and Marioo Ishaalla Allah hjelp you
@witneyemas1736
@witneyemas1736 Год назад
Love you king kiba ♥️♥️♥️♥️ you are the best.
@nunuuali5316
@nunuuali5316 Год назад
Jaman UTU ni wimbo wa taifa kubali kataa,King hapa alionyesha ukubwa wake kwa kweli.
@stevenckanumba7
@stevenckanumba7 Год назад
King kiba no one likely you bro u know
@wakumusi8971
@wakumusi8971 Год назад
Alikiba mungu amtunze miaka na miaka aisee
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 Год назад
Amen
@dicksonmwanakulya3353
@dicksonmwanakulya3353 Год назад
Jamani huyu kiba huyu jamani🔥🔥🔥🔥🔥
@mrsinia3064
@mrsinia3064 Год назад
I miss you feat Alikiba moto sana🔥🔥
@MAGOHABENEDICTOTv
@MAGOHABENEDICTOTv Год назад
Alikibaaaaaaaaa weeeeeeeeeeeeh!!! Utaua watu! Basi kaka mariooo anakuangalia macho kodoo
@mwiker_tz6519
@mwiker_tz6519 Год назад
Ali kiba ur the best all the time
@hamisisalim
@hamisisalim Год назад
Wallah watanzania hapa kwa kiba mulipata msanii
@yahayakassimu6326
@yahayakassimu6326 Год назад
Good performance Ali
@boazambokile2587
@boazambokile2587 Год назад
Marioo sikubingine asialike alikiba jamaa kafuka show ila kwakweli palinoga sana 🔥🔥
@kawtharalbarwani1337
@kawtharalbarwani1337 Год назад
King 🤴 👑 kiba✌
@theopisterjovent3483
@theopisterjovent3483 Год назад
💥💥💥💥 wamuache jaman mbona hawaelewi ety nawambiaajeeee wamuache KING wetu🎉😂😂😂😂😂
@thomasmartinez786
@thomasmartinez786 Год назад
Alikiba king
@isayakatuwa9482
@isayakatuwa9482 Год назад
Hii show siku zote napenda kuiona it's my best
@ismailrendra3619
@ismailrendra3619 4 месяца назад
O rey👑 da música🎶 africana 💪💪💪🔥🔥🔥 Meu Rey 💪
@westchugagang5323
@westchugagang5323 Год назад
Alikiba ni munoma hii show kaifunika hatari
@Teamboss256
@Teamboss256 Год назад
King 🤴 kiba
@shavybrand8225
@shavybrand8225 Год назад
Nomaaaaaaaa
@mundobaraka
@mundobaraka Год назад
Kwl sarut kwako kiba
@sautikaliitz934
@sautikaliitz934 Год назад
show ni ya king au marioo mbona sielew
@halimaamani4095
@halimaamani4095 Год назад
King kama king
@supertallone1902
@supertallone1902 Год назад
OrganicKing🔥🎶👑
@stevenckanumba7
@stevenckanumba7 Год назад
Kiba hana mpinzani kwa live performances
@jamilahshilah4327
@jamilahshilah4327 Год назад
Barnaba nae yupo vzr
@ramamtanga3482
@ramamtanga3482 Год назад
@@jamilahshilah4327 ila kiba legend
@ibrahimuselemani4076
@ibrahimuselemani4076 Год назад
100%
@JoeMziwanda
@JoeMziwanda Год назад
Hakuna ubishiii mbona juu ya Hilo
@rosestephano326
@rosestephano326 Год назад
Barnaba Ni moto bhn
@allyseba172
@allyseba172 Год назад
Huyu jamaa anavyo imba waweza dhan mzk n ki2 simple sana sasa jarb ww
@winniegesy982
@winniegesy982 Год назад
Ukweli
@maxomari3542
@maxomari3542 Год назад
Kuna huyu jamaa mmoja ni balaa kwy live czaani km Kuna msanii kwa bongo atakayeweza hii mambo🤣ni yy
@nanounakib2943
@nanounakib2943 Год назад
Huyu jamaa anajua kuimba daa kiba salut
@lamarsalim_
@lamarsalim_ Год назад
Kinggggggg 👑
@octavianafrican6287
@octavianafrican6287 Год назад
Kingkiba
@halimaamani4095
@halimaamani4095 Год назад
King tunajivunia sana kwa kipaji chako mmetisha sana na marioo
@allanizoo1678
@allanizoo1678 Год назад
Alikiba uyu mbwa anakipaj kuliko msanii yeyote bongo ila juudi sas👑👑👑👑😂😂
@Teddy-fq5oc
@Teddy-fq5oc Год назад
Yaani wasanii wetu wangeshikana hivi Tzd ingekuwa kama wasanii wa mbele ongera kiba kwa saport yako kwa marioo
@nii8855
@nii8855 Год назад
Kasema ukweli kiba anajitoa sana kanikumbusha kwenye nai nai hakuimba sana ila alivyokuwa anaflow jimbo likanogaaa
@sebomanyotakali761
@sebomanyotakali761 Год назад
Booongee moja la show 🔥🔥🔥
@rashid3695
@rashid3695 Год назад
good love king kiba
@swariotibi6134
@swariotibi6134 Год назад
Mashaallah Woow amazing
@muuhclassic1342
@muuhclassic1342 Год назад
Weeeeekiba unabalaaaaaaaaaa🤔🤔😋❣️❤️♥️❤️
@kgchippy
@kgchippy Год назад
Uko juu mzee baba
@mumokhamis247
@mumokhamis247 Год назад
Kando na nyimbo zako u r soo gud king love u
@barakambisse3710
@barakambisse3710 Год назад
Yaani ata ukimchukia alikiba bado utaipenda sauti yake tuu
@evelineanton7262
@evelineanton7262 Год назад
King kibaaaa
@khadijayusuph9316
@khadijayusuph9316 Год назад
King na live performance ni chupi na Tako haviachan
@evepaul5377
@evepaul5377 Год назад
🙌🙌
@kassimali2273
@kassimali2273 Год назад
Tako tena la nani eeeee hahahhahah
@happinesshappy5079
@happinesshappy5079 Год назад
😂😂😂😂
@fauziaomar4661
@fauziaomar4661 Год назад
😂😂😂😂😂
@vennyrichard2139
@vennyrichard2139 Год назад
Hahaaaa fal wew
@alicenice1711
@alicenice1711 Год назад
The only one king 🤴
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 Год назад
Khaaa king mbona kafunika adi mwenye show 😂😂atari sana kwenye live bend kiba
@salma9390
@salma9390 Год назад
Sana,nilikuwa najua kama show ni ya Kiba maana anajituma saana
@mohamednipala7000
@mohamednipala7000 Год назад
Kali sana hiii🔥🔥🔥🔥🔥
@hasanijafar7466
@hasanijafar7466 Год назад
Oy king kiba anaimba daah
@hamisimzara9538
@hamisimzara9538 Год назад
akuna Kama zaidi ya king kiba
@mamafaty6190
@mamafaty6190 Год назад
Likiba linaimba km alitak khaaa😂🔥🔥🔥🔥
@sefuselemani3080
@sefuselemani3080 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@eddymaxntwale2473
@eddymaxntwale2473 Год назад
Kwani alikiba unatatizo gani kaka wewe ni 🔥
@thomasmartinez786
@thomasmartinez786 Год назад
Kwann umeuliza hivyo🤪🤪🔩nikupe jibu yule king
@shazceo6853
@shazceo6853 Год назад
King sikualiki kwenye harusi yangu usije shangiliwa wewe kumbe muolewaji n mimi 🤣🤣🤣 MARIO umepata kampani kijanaaaaaa
@user-ww5nm5ck2e
@user-ww5nm5ck2e Год назад
Kweli nayo😍watu watadhan kuna show kumbe n harusi yal
@abbasmakange
@abbasmakange Год назад
Huyu kiba asee hapan umeua babaa 👏
@selestinsongola2787
@selestinsongola2787 Год назад
Kings noma
@chounglee422
@chounglee422 Год назад
Waaaaah King yooooo
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty Год назад
Napenda kiba Nandy Gigy wanavyosuport wenzao bila chuki za kijinga yan palipo ushirikiano Mungu anafungua nchia cheki watu walivyojaa kingilio cha kawaida
@magedadi8882
@magedadi8882 Год назад
King noma
@marumbaruziguje6437
@marumbaruziguje6437 Год назад
Noma sana king kiba
@clemohgeng1106
@clemohgeng1106 Год назад
Kiba kaiba show ya Mario kaigeuza yake 🤣, king kama king
@salma9390
@salma9390 Год назад
Sasa atakosa aje kuiba wakati mweny show kapoa kama ugali wa jana 😂😂😂 baba levo 😂😂😂ndo kasema siyo mimi 😂😂😂
@faizowali5230
@faizowali5230 Год назад
wachana na king Aitwe king inamanaaake sw🔥🔥🔥
@wakumusi8971
@wakumusi8971 Год назад
Utu ringtone
@agneswanja3544
@agneswanja3544 Год назад
Show imeweza sana
@kelvinmwogofi8037
@kelvinmwogofi8037 Год назад
King forever
@josephalphonce7289
@josephalphonce7289 Год назад
Yes✍
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 Год назад
Kingkibaaaa
@ramadhanimkwama553
@ramadhanimkwama553 Год назад
King we ninoma sana
@rayahsadik7506
@rayahsadik7506 Год назад
Tajiri kitasa kama kawaid mibandiko 🙌
@salmashaibu6074
@salmashaibu6074 Год назад
King n mmoja tu
Далее
Alikiba - Utu (Behind The Scenes Part 1)
15:47
Просмотров 129 тыс.
ALIKIBA NA DOKTA WA FIELD - USWEGE MURDERER
4:48
Просмотров 39 тыс.
Alikiba & Rudeboy (Making Of Salute Audio)
17:07
Просмотров 234 тыс.
Вы так любезны
0:16
Просмотров 3,2 млн