King Kiba was right not all celebrity like talking of their private life plz those who say Ana maringo y not tell us who ur sleeping with nktest Lots of Love King Kiba let ppl speculate any if life bt u know better
silazima mtu aweke mambo yake wazi wenye kuuliza mbona wao hawasemi yao wanataka kujua ya Ali kiba wasanii wako tofauti siwote hutaka kuulizwa maswali yaupuzi kama hayo, kama jokate Ana mimba naniya Ali kiba nisawa silazima dunianzima ijue na kama akilala na dem Ana shika mimba pia nisawa kuulizwa upuzi siomtu atakosa kuwa ster kuwa ster ni mungu hupanga so kukosa kujibu maswali nisawa kabisa angalieni mambo nakuuliza mtu naanae takakujua mambo ya mimba waeke yao mitandaoni cz hao ndio yao wameyakalia mkundu yawenzao midomoni mitandaoni komaeni akili msikuwe mwili keep it up Ali maswali yaujinga alikiba usijibu kabisa hatauwe nawa toto kumi niwako wenye wanataka kujua hawaku saidii kulea isitoshe kuna watu wana watoto ishirini nitakuja kuwa hao watatu napia kuna watu wana tafuta watoto kwa udi na uvumba hawapati wabashindwa kwa waganga usiku na mchana! jipangeni maswali nakuuliza mtu.
Kiukweli mimi ckuwa najua kuwa una maringo kiazi hicho,,,swali??? cwezi jibu then umekuja kufanya nini?ningekua n.a. uwezo ningekutoa nje kibaonsa coz that's nonsense!!!
mimi nampenda diamond coz hana maringo na akowazi sana kwa mafans wake na pia hana madharau mashallah! sikama alikiba daaah! maringo sana mpaka anashidwa kujitetea mwambieni hakuna siri ya watu wawili respect to chibumond! hehe
Unakataa kujibu wakati ni kitu rahisk tu.unaulizwa alikua wako au mmea chana au.kitu simpo tu huambiwi umzungumze kasoro zake .ata unajidai mm siko ivo uko ivo kivipi.kama iko ivo why ulikua nae kimapenzi na unawatoto 3 nje ya ndoa na kila mmoja na mama yake.wewe tumia ustaraabu kujibu.sipo ivo.na zile picha na zaapenzi unapiga nae
acheni ushabiki wa haina hiyo nani anaweza kuhulizwa kwenye runinga maswali kama hayo alafu ukajibu,pili maswali hayo yana honyesha moja kwa moja divas anamausiano ya kimapenzi na ali kiba na je angekuwa wewe ungekubali kum'zalilisha mwana mke mwengine sababu ya divas atakama chibu kwa acheni ushabiki wa ahina hiyo,mwacheni ali aheshimu joketi mana ayupo kwenye interview.
kiba nilikuwa nakuaminia but ww maringo sana dats y una reduce fans jirekebishe sitisahau siku ulipokuwa airport fans wako tunakupa hi unakausha sometimes bora mondi anayebadili madem km nguo ila tunamuelewa coz alikuwa anatafuta mtoto so kiba punguza maringo ww mtoto wa kiume kazi yako haiitaji kuringa coz urachukiwa na wengi afu hutauza huo mziki wako lbd utauza kwa ndugu zako bora abdkiba
No he is JUST BORING either ana NATA au ANALAUMU!# NO MANENO YA ku. BOOST YOUNG GENERATION i mean seriouly the guy is TALENTED GOD GIVES YOU SOMETHING TO HELP HUMAN BEINGS NOT UBINAFSI.MUNGU AKIKUPA HUKUITUMIA KUSAIDI NDIO UNA PIGWA KOFI INSTEAD YA KIBA KUREALIZE A START TO WORK WITH OTHERS KU BORESHA MUSIC NA KUSAIDIA NEW GENERATION BADO SIMPLE MIND (LAWAMA) EVERY HUMAN HAS A ROLE to play towards others hata kama wewe uNA UZA KAHAWA CORNER YA STATION U HAVE A DUTY FOR OUR YOUNG GENERATION sio u BE SHOW GOD WHEN HE SINGS HE IS GREAT WHEN HE TALKS I WANT TO PUKE
xax hayo mamb munayoytaka nynyi ndo uxhamba xax kma mtyu atak kueka mamb yke hazaran na anazarau kma muxhamzoea diamond ata akigawa pipi media zko tz atangze hyo ni mamb ya kixhamba co lazm kila k2 kiwa hazaran mamb mengne ni xiri yao kwni ww hawjaoana,xaxv kma ni mtyu wke wanafnya zinaa kwaiy iyo ni moja hekima alyoitmia kiba
wameyakalia matakoni wanataka kujua ya watu! angekua hazai ingekua historian anawatoto imekua maswali eeejameni tukomaeni akili sikukua mwili na vichwa ni madafu. kuna watu wana watoto ishirini itakuja kuwa haowa alikiba watatu kuna watu wana tafuta watoto usiku na mchana kwa udi na uvumba hawapati vizuri sana hajajibu! nex time jipangeni kuuliza mtu maswali Kuhusu mziki ime baki kumuuliza kwa siku Ana Ana lala nawana wakewangapi anaenda chooni marangapi anakula marangapi hiyo ndio imebaki mana hamna lamhim lakuuliza
so hapo hawezi kubali cz anajua wazi atasikika kila mahali ebu mfate private uone kama hatoongea ukweli atatoboa ukweli wote Ukitaka kujua ukweli wamtu usimuulize wazi wazi mpeleke njia ndefu badae naingia mwenyewe kwenye point unayoitaka lakini ivyo ulivyo muuliza direct huezi kubali apo aisee yako Kali Alikiba looh kila mwanamke ukienda fast round bolly tayari hatareeeeeeeeeeeeh
Ndugu kuweni na akili timamu sio sababu umehilizwa kwenye interview ndo utaje majina ya watu ambao awakuhusu iweje divas ahulize mambo ya joketi nakati ayupo? asubiri joketi siku nyingine ndo amulize mwenyewe joketi wala sio kiba kujibu maswali ya joketi.
bored sijapenda iyo interview sema karibu kila interview zake anaonekana anamaringo flan iv aisee kwa mwendo huo wakuleta pozi utangoja sana cuz nobody take a damn saivi Tz yote macho kwa braza Diamond
kiba cyo mjinga bali mnaotaka kujua mahusiano yake ndiyo wajinga kwani yy ameitwa kuelezea mahusiano au mziki wake. Hapo ndipo wabongo tunafeli kulinganisha eti nampenda fulani yuko direct watu hawawezi lingana kamwe hivyo ujinga wa wchache usiufanye kuwa ukweli. ifike tyme tuwe watu wazima ask about his music not otherwise. nyinyi hamna wapenzi na mnafaidika nn akisema yuko na jojo au hayuko nae.