namba 1 ali kiba.we jibu namba mbili mtaje wewe uyu jamaa ni shida sana adi nafurai majibu yake..king noma sana.from mozambique.board gadi ndio nini bana board gadi mungu tu
Umeongea point lakini ngoja nikurekebishe kwenye kuandika kiswahili ungeandika hana mitatoo sio ana mitatoo sababu hapo kwenye ana mitatoo ina maanisha Alikiba anazo tatoo naishi Ulaya miaka 15 lakini kiswahili siwezi kusahau kuongea au kuandika
Alikiba ni mwislam aliyekamilika havai vikuku wala mikufu kama wanawake wala havai heleni na humuoni akinywa pombe kama Diamond kila kwenye picha kashika kikombe cha pombe au glas ya pombe
Samahani Alikiba hajazeeka Ali anakijua anacho kifanya and he is always wise..Ali ana lifestyle yake Hana bodyguards Kwa sababu hanamadui yuko free in the world then alikiba aliaanza mziki nahakuna Mwalimu anaye copy mwanafunzi so wacha kusema Ali ana copy diamond.. unakosea Kaka
Bwege sana huyo hajui mziki inmn kati ya alikiba na diamond nan anaimba nyimbo znazoeleweka achen upuuz,,mond nyimbo zake n kelele tupu ana bahati alitengeneza jina lasivyo amna ambaye angeskliza nyimbo zake,,,,kiba nyimbo zake znaeleweka unaweza imba ata ukisnzia co mond kelele tu
Kwa mtu mwenye akili nzuri na anaujua music namba moja kimusic lazima awe Alikiba lakini masikini akipata matako hulia mbwata Kiba hajaanza Leo kishika Hela na unaambiwa toka gari lake LA kwanza kununua enzi za Cindeleka lipo hajauza hata moja unamuonaje? MTU huyo kipesa?