Alikiba muogope muumba wa mbingu na ardhi muogope mola mlezi muogope mola mkarimu msiimbe nyimbo na wanawake wako uchi msiimbe nyimbo na wanawake wako nusu uchi kwanini na ni ajabu kubwa sana nyinyi wanaume mnoimba muziki mashaallah mmejisitiri vizuri mmevaa mavazi sio ya nusu uchi wala ya uchi
Mimi sijasema wavae hijaabu au wavae niqaab au wavae majalabiib wakati wakiimba muziki hapana hasha wakalla Lakini wajaribu kuvaa ya heshima kidogo hats kama wanavaa skirt lakini wavae skirt ndefu pana au magauni marefu mapana au nguo yoyote lakini iwe ndefu halafu iwe pana
Mimi nimewauliza nyinyi wanaume mnaoimba nyimbo za bongo fleva na kuwashirikisha wanawake au wasichana au mabinti wakiwa nusu uchi wakiwa uchi kabisa mbona nyingi wanaume hamuvai mavazi ya nusu uchi au mavazi ya uchi kabisa mbona nyinyi wanaume mnavaa mavazi ya stars majeans marefu mapana mbona hamuvai vichupi kama mnavyowavalisha Dada zetu mabinti zetu wasichana wetu wanawake wetu
Kumbe nyinyi lengo lenu ni baya sana lengo lenu ni kuwadhalilisha utu wao mabinti zetu wasichana wetu Dada zetu kwa kuwaonyesha wakiwa nusu uchi au wakiwa uchi eti kwa kisingizio cha kuwapa pesa nyingi nyinyi ni watu wabaya sana yaani mnawadhalilisha mnadhalilisha utu wa mabinti zetu wanawake wetu wasichana eti kisingizio ni kuwapa pesa fedha nyingi sana kwa kuwaacha wakiwa nusu uchi au uchi kabisa
Kwa nini Dada zetu mabinti zetu wasichana wetu mnawadhalilisha kwa sababu ya pesa mnawavalisha nusu uchi au mnaimba nao wakiwa nusu uchi au wakiwa uchi kabis
Huyo choko wenu anayelazimisha umaarufu subscribers wa kununua viewers wa kununua mziki afanyi bila kiki achaneni na king bana tunampenda hta akiwa na subscribers kumi