Тёмный

Alipata mume kutoka Austria mtandaoni tu, ameamua kusaidia wengine pia, utaipenda story ya Shena 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 41 тыс.
50% 1

Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Опубликовано:

 

19 апр 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 385   
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Год назад
Ahsante sana SNS, I am very humbled 🙏 ubarikiwe sana
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Год назад
Dada naomba mawasiliano yako😢
@africatanzaniatours5980
@africatanzaniatours5980 Год назад
Asante Sana kwa ku share story nzuri . Hongera Sana
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Год назад
Huyu dada she is so smart and decent, hongera ODA ❤
@shalibrutsch-vlog
@shalibrutsch-vlog Год назад
Titawaleta wote. Hongera jirani 😍
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 Год назад
Hongera sana
@leahzuu6468
@leahzuu6468 Год назад
Namshukuru Sana uyo dada Mara ya kwanza alinipa ushauri nikapata mzungu na Sasa nimechumbiwa 🙏🏼
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Год назад
😢😢😢 namm nataka mzungu mum
@nicksonmbilinyi5843
@nicksonmbilinyi5843 Год назад
​@@salmaalimusa6809 😂😂😂😂😂Tulia wagogo wako single wewe
@maryamanalisi197
@maryamanalisi197 Год назад
@@nicksonmbilinyi5843 😂😂😂😂wallah this to much 😅😅😅
@allahisone6386
@allahisone6386 Год назад
@@maryamanalisi197 🤣 seriously 🤣
@maryamanalisi197
@maryamanalisi197 Год назад
@@allahisone6386 yani nmecheka sana
@jacquelinejeff1249
@jacquelinejeff1249 Год назад
Hongera sana dada na Mungu awape furaha, na mimi pia nina mwanaume kutoka USA namsubiri tuna miezi 9 sasa tuna relationship nzuri sana nimejifunza mengi sana kupitia yule mwanaume na kwako pia
@veronicavalentine2097
@veronicavalentine2097 Год назад
Naomba tuongee kidogo na shida na ww
@LizycharityHumphrey-mf4fc
@LizycharityHumphrey-mf4fc 8 месяцев назад
I need mzungu
@AminaShakuru
@AminaShakuru 2 месяца назад
Oooh wowooo
@junkie92
@junkie92 Год назад
Congrats 👏. You're love story is just like mine. I left Tz after I finished High School 28 years ago to 🇺🇸. Met my husband online. We talked for 3 months then we got married. Has been 15 years since we got married, we have 3 beautiful kids. I am finally planning to take them to Tz ..Inshallah. Good things happened to Good people .. Always wait no need to rush to married, wait till you found your Soul mate.
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 Год назад
Allah bless you and your family 🙏
@eliwajajacob8569
@eliwajajacob8569 Год назад
Nice 😅😅
@willykaovela5485
@willykaovela5485 Год назад
whicch mtandao😅
@fortunathabarabara8471
@fortunathabarabara8471 Год назад
I'm in relationship with a man online he is so lovely from USA I hope we will meet soon inshaAllh
@fortunathabarabara8471
@fortunathabarabara8471 Год назад
Allah bless you 🙏
@happinessmarijani2783
@happinessmarijani2783 3 месяца назад
Shena naomba yako mimi naitwa madam Happiness
@sophiamatonya6067
@sophiamatonya6067 10 месяцев назад
Samahani kusema wakristo ni biashara siyo kweli siyo wakristo wote mimi pia nipo ulaya na naheshimu dini zote
@neemakalugila7674
@neemakalugila7674 2 месяца назад
Sio kweli ukristo sio biashara, hapo amekosa the right information.
@marymutai1440
@marymutai1440 Месяц назад
Shena Fo respect religion. it’s wrong to say Christianity is a business
@neemamkakata1574
@neemamkakata1574 10 месяцев назад
Nakupenda sana Dada Shena Fo..i chatted you whatsapp Du una usikivu wa hali ya juu full of wisdom hongera
@Witnessvlog
@Witnessvlog Год назад
Hongera sana Shena. Way to go Interview nzuri sana
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Год назад
Ahsante @witnesvlog
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 Год назад
Hongera sana beautiful girl, ni jambo zuri. Vp matokeo ya mradi kutoka kwetu.
@successmbio878
@successmbio878 3 месяца назад
Hongera dada Shena Fo
@user-fu5vv9qd3s
@user-fu5vv9qd3s 9 месяцев назад
Hello mzima, naomba unisaidie kupata mweza wa maisha kutoka Switzerland, Marekan, canada, Australia mm. Nina miaka 30 dini yangu ni Muslim
@EpiphaniaMallya
@EpiphaniaMallya 10 месяцев назад
Hongera sana Dada Nimekupenda buree
@Tino_Official_tz
@Tino_Official_tz Год назад
Interviews kama hizi utakuta hazina viewers nyingi ila unakuta mdada au mkaka kutwa anataka mahusiano na mtu wa nje ya jamii zetu. Safi sana Sky
@shalibrutsch-vlog
@shalibrutsch-vlog Год назад
Our girl is shining. Hongera kwa hili
@rahmasoliman489
@rahmasoliman489 Год назад
Mashaallah Shena mungu ukubali sana
@user-iy1np9et3q
@user-iy1np9et3q Месяц назад
Uko Safi kabisa
@user-np5rm4im1p
@user-np5rm4im1p 4 месяца назад
Asantee sana dada ❤
@Tausishaban-he5io
@Tausishaban-he5io 7 месяцев назад
Jmn nyie hatimae nmeona Interview ya da shenaaa uwiiiiiii❤ nmeipnd jmn
@zickmalik4901
@zickmalik4901 Год назад
😂😂😂😂 wafrika ni upeo wetu ni mdogo sana. Eti wanawake wanawekeza katika kupata wazungu.wanawake fanyeni kazi
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 Год назад
Mtihani kweli Tena wanapongezana kwa mambo ya upuuzi. Unakuta mpaka waandishi wa habari wa Tnz wajinga kupata mzungu wanaona kitu cha kutangaza, ujinga unewashika kuanziq w’ke mpaka w’me, vijanq mpaka wazee wao.
@Farryunique
@Farryunique Год назад
😅😅😅😅😅😅
@aminambughi9613
@aminambughi9613 9 месяцев назад
Dada jaribu kuwa na staha unapofanya jambo la kujenga kitu chako kwa kutumia jamii pana yenye mlengo tofauti. Una uhakika dini yako ni sahihi sana?
@valenakomba9218
@valenakomba9218 9 месяцев назад
Msomi huyoo.
@nunimwaropia3584
@nunimwaropia3584 Год назад
MashaAllah interview safi sana
@user-nu9tn4tk8c
@user-nu9tn4tk8c 8 месяцев назад
Mungu akufanyie wepes
@navokisembo
@navokisembo Год назад
Samahani dada sio wakristo wote wamefanya dini biashara, so ungesema baadhi na sio ohh hii dini yao ni biashara, please. Good that you got a men and married
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 11 месяцев назад
Mashaallah Shena
@lavieestbelle3263
@lavieestbelle3263 Год назад
We loves you shena❤️❤️❤️❤️
@mussajuma9044
@mussajuma9044 Год назад
Masha Allah
@fatmasaid7093
@fatmasaid7093 Год назад
MashaAllah ❤❤❤
@mariamtumwebaze389
@mariamtumwebaze389 11 месяцев назад
Amazing ❤❤❤❤❤
@Dosteasanga
@Dosteasanga 10 месяцев назад
Tunaomba katika interview zako uwe unatuonyesha na picha za hao wanaume Wazungu mlioolewa nao tuwaone sasa! labda Wababu je?
@ziadamtebwa3712
@ziadamtebwa3712 11 месяцев назад
Mashallah kabadili dini mungu awabariki
@czechzyamwaga1021
@czechzyamwaga1021 Год назад
Nataka mume, naomba nisaidie kuniunganisha na mtu wa huko
@merinakassembe118
@merinakassembe118 Год назад
Chang amoto mno wazungu sio wote Wenyewe kwanyewe maeleno sio mazuri
@merinakassembe118
@merinakassembe118 Год назад
Hakuna ujirani mr Bundara kila mtu na lake unaweza kufa ndani pekeyako
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 11 месяцев назад
Ahsante sana dada kwa kaz yako
@NooreynMiddle
@NooreynMiddle 2 месяца назад
Naomba nambayako ynguhii
@mgenimussa5820
@mgenimussa5820 Год назад
yesss
@bushzerahamusic4762
@bushzerahamusic4762 Год назад
Shenanigans ongera naomba namba zako kama hautojali na mazungumzo kama hautojali natamani nipate mke wa kizungu
@user-zy2tr7nz1c
@user-zy2tr7nz1c 5 месяцев назад
Dear Shena naomba unisaidie nataka kama wewe ulichofanikiwa plz
@DimahaDimaha-kb2gu
@DimahaDimaha-kb2gu Год назад
Ahsante ninafarijika sana na nitajifunza mengi kutoka kwako
@paulinekamau9633
@paulinekamau9633 Год назад
Tuko 2023 na hii ni kawaida si kitu cha kushangaza aisee
@HelenahSian-hl5ue
@HelenahSian-hl5ue Год назад
Afro introduction, international cupid, Interracial Cupid, OK cupid wazungu wengi tuuu
@kanghanhankang1440
@kanghanhankang1440 Год назад
Hizo zote zinataka pesa bila pesa haifunguki mimi nimengia imegopa inatak pesa 😅😅😅
@HelenahSian-hl5ue
@HelenahSian-hl5ue Год назад
@@kanghanhankang1440 inafunguka chat na watu wenye alama ya blue nlau gold inafunguka vizuri tu
@wardawardaarshad
@wardawardaarshad Год назад
Hongera mamy
@Zenny89
@Zenny89 Год назад
Wadada wa kibongo..changamkieni tenda hiyooo!!! Si mnatakaga MDhungu..Kitu Austria hiyooo..Huitaji air conditioning unit hukooo..kitu full natural kiyoyozi karibia nusu mwaka. Tena nashauri wadada wa KiJALUO ndo wapply kwa wingi..sababu wanahitaji uweupe kidogo kwenye kabila.
@vanessarobyn4584
@vanessarobyn4584 Год назад
😂😂😂😂
@pendo8082
@pendo8082 Год назад
😂😂😂
@annahpmihozi8449
@annahpmihozi8449 Год назад
Ila wew😂😂😂
@user-bq6jv2mh1e
@user-bq6jv2mh1e 4 месяца назад
Huyu mdada wa Austria hajakosea kusema dini ya kikiristo ya business.Awa wazungu aswa mumewe amemwambia hivyo.Mimi naishi uko ulaya ni jilani zangu na lugha ni hiyo.Niwepesi kubadilisha dini aswa vijana hata kanisani hawahendi ni wazee na watu wamakamu ndio wanakwenda vijana hawana time.Wengi sana niKatolik wanazaliwa katolik .Angalia Amekwenda TZ muda mfupi Kasilimu na kufunga ndoa tena zote mbili wamemconfice unawajua kakubali katailiwa na kufunga ndoa.Wazungu hawatailiwi nivingeni kwao.Ata UK wahislamu wamenunua sana Makanisa nakufanya misikiti.Watu hawaendi makanisani .Na wazungu akisema ndoa basi ni basi hakuna kama nyumbani kwa wazazi peleka ushauli ni No no Finish.Nine nine Ende.
@comfortmunuo5545
@comfortmunuo5545 Год назад
We dada huna maana umempata boya wako acha kuita wakristo dini ya biashara
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Год назад
Pole kwa kunielewa tofauti, Naheshimu sana imani ya kila mtu. Ila nimeongelea asilimia kubwa ya wazungu namna wanavyoichukulia dini kwa mitazamo yao. (Asilimia kubwa) wapo baadhi wanaichukulia kwa uzito sana. Niombe radhi kama kuna Mwingine alielewa tofauti.
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
@@OfficialDatingAssistancewewe umempata boya wako anakugeuza kinyume cha maumbile unajisahau na kuanza kukashifu imani za watu wengine acha upuuzi wako wewe
@mmasipeter4157
@mmasipeter4157 Год назад
​@@kabwelasutiviraka4765we unahuwakika gani aise kwani ulienda kumshikiya mguu au na hili unalolitaja litaingiya kwa familiya yako nione kama utamuuwa au we utajinyonga
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 11 месяцев назад
Aisee sijasililiza nimesoma comment tu Ila kiukweli epuka sn kuongelea Iman za watu ! Sbb Imani ni kitu nyeti! Hao wazungu unaowasemea ni kizazi tu ambacho kilitokea nje ya mstari,na ss Yesu Yuko kazini kinarudia! There's a great revival s coming,Yesu Yuko malangoni
@simulizi2632
@simulizi2632 Год назад
Hongera. Ila me nina swali🤔 imetokea umebadirisha dini na jina then mmeachana? Utaishi kweli na hiyo dini na hilo jina 🤔🙋🏾‍♂️
@peterlaurent5969
@peterlaurent5969 Год назад
Mwezi mmoja mtu anakuoa na mmedumu ni Mungu alikusaidia.. lkn ukijichanganya kidogo tu utajuta
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 4 месяца назад
Mngejua wazungu wanawaoa sana miaka hii baada ya kupigwa sana na COVID so wanaogopa kupoteza kizazi chao not because they love you black girls too much please wakeup girls 😢
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 3 месяца назад
Mashaallah❤️❤️❤️❤️
@valenakomba9218
@valenakomba9218 9 месяцев назад
Hilo la dini kama biashara siyo kweli Mama.😮 . Labda kwa huko Austria, au kwake yeye bwana Jamaali. Ndo anaona ukristo ni kama biashara. Mi naona hiyo ni personal way of thinking . Siyo kwa kila mzungu au mtu mweupe.
@kennedyodera7555
@kennedyodera7555 Год назад
Nitafutie mwana dada pia Mimi natoka Kenya God bless you
@yohanambaga4977
@yohanambaga4977 Год назад
Nice show
@lizzybahati3739
@lizzybahati3739 Год назад
Ahsante Sana Dada
@mecktridangorongo
@mecktridangorongo Год назад
Tuamfikkie even cite😊
@sarajanuary3516
@sarajanuary3516 Год назад
Mmh yakweli hayo
@jacklinemrina456
@jacklinemrina456 Год назад
Good job shena
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 Год назад
Uko sahihi sanaaa umeongea vizuri sanaa napenda sanaa mazungumzo
@kyleirvine6095
@kyleirvine6095 3 месяца назад
Naomba nami unitafutie mme wa uko
@christinenibampa2675
@christinenibampa2675 Год назад
Nime enjoy sana iyi interview
@rebeccamaunde4085
@rebeccamaunde4085 Год назад
I love your story sister
@ireensollo4799
@ireensollo4799 Год назад
Waoo
@kyleirvine6095
@kyleirvine6095 3 месяца назад
Nimependa story yako ubarikiwe
@user-tm3nv9wr2g
@user-tm3nv9wr2g 11 месяцев назад
Jaman naitaj kwel kuchangia ila nashindwa kufungua hay maelekezo yako dada bwn Mimi cy mtundu wa hay mambo
@mamajaphety1624
@mamajaphety1624 Год назад
eeh MUNGU nibariki na mm nionane na mtu wangu soon atakuja kuniona
@kanghanhankang1440
@kanghanhankang1440 Год назад
Akija muulize ana mdogo wake amipe mimi maan nimechoka app kila app nikipita napat wataka uchi tu na video sex na mastabes 😢😢 naumia eti
@upendogreutert199
@upendogreutert199 Год назад
Ni vizuri kwa profile yako uandike Usichochataka itakusaidia kuepuka this staff, i have been in the apps like you and nikakutana na changamoto za hivyo but nilipobadili profile yangu na kuandika nachotaka serious na nisichotaka at the i was successful nilipata and I am Switzerland 🇨🇭 now.
@upendogreutert199
@upendogreutert199 Год назад
Uwe tu mvumilivu utafanikiwa
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 Год назад
@@upendogreutert199 kivipi love naomba mawasiliano yako
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Год назад
@@upendogreutert199 upitie Milano uje kutupa hi
@maggiehaule4615
@maggiehaule4615 Год назад
I also need one...plz do the needfully
@estersaul8180
@estersaul8180 Год назад
Thanks dear
@kiseke7319
@kiseke7319 Год назад
Ubarikiwe sana
@rosiehayatta2619
@rosiehayatta2619 4 месяца назад
Wewe ulitumia mtandao gani kumpata huyo mzungu. Je ni Free au ulikuwa wa kulipia tupe link plse
@zarrykaidza2359
@zarrykaidza2359 Год назад
nami natafuta mzungu nafanyaje
@mariahornig3766
@mariahornig3766 Год назад
Kaka Frederic Bundala..naomba tuwasiliane..niko Austria..kuna Story itakayokupendeza May be
@jacklinejackline8607
@jacklinejackline8607 Год назад
Hongera sana
@jacklinejackline8607
@jacklinejackline8607 Год назад
Jina la mtandao
@furahabahati8432
@furahabahati8432 9 месяцев назад
🥰🥰
@leahzuu6468
@leahzuu6468 Год назад
Afu munaotoa mapovu munateseka mukiwa wapi? Kwani lazima kumuonyesha mume au mpenzi mitandaoni?awe mzee,awe kijana,kilema au mzima,kafata mapenzi au pesa ni yeye na wakwake,ivi kumfanyia chuki mtu haumjui na hakusaidii na haimsumbui ni ujinga wa akili,dada mungu akutunzie chako enjoy wa bwinde endeleeni kuteseka🤣🤣🤣🤣
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Год назад
Ahsante Unajua kuna watu hawajui vitu lakini wanajiona wanajua kila kitu… hii ni Diaspora Talk ni kipindi ambacho sns wanafanya kujua maisha ya wanaoishi ughaibuni.. Kama wazungu wanawapa homa basi ni vizuri wasifatilie tu 😁
@mmasipeter4157
@mmasipeter4157 Год назад
watu wanamnena mtu vibaya sana aisee mpaka imeniuma lkn huwezi juwa labda anaye elezeya vibaya yamemfika lkn but siyo wazungu wote wabaya.
@bushzerahamusic4762
@bushzerahamusic4762 Год назад
Bye shena
@laurenciazacharia9197
@laurenciazacharia9197 Год назад
Hongera dear
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 Год назад
Kumbe tupo nchi moja Austria 🇦🇹
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 Год назад
Na wewe umeolewa huko
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Год назад
I am glad to hear Upo state gani ?
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 Год назад
@@OfficialDatingAssistance VORARLBERG
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 Год назад
@@zahrababygarl1568 ndio
@isunga1964
@isunga1964 Год назад
Niko Dubai na mtandao wa Tagged dah nakutana na wabangali na parksatan na wahindi tu 😂😂😂😂😊
@mjumbemwanda9666
@mjumbemwanda9666 Год назад
Good video
@user-tm3nv9wr2g
@user-tm3nv9wr2g 11 месяцев назад
Jaman dada shena nashindwa ata kupata no yak nifanyeje Mimi ???hii akaunt n ya kaka yang nimekutumia tuu ili nipate mawasiliano yako najaribu kuingia nashindwa
@subbyluckson6231
@subbyluckson6231 11 месяцев назад
Shena naomba no yako
@fatmakombo9793
@fatmakombo9793 Год назад
Hongera sana my dear nimekupenda umejielewa kwenye msimamo wako wa dini mimi naishi sweden karibu sana
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Год назад
Ahsante sana 🙏
@hanifahanifa1010
@hanifahanifa1010 Год назад
Emu nitafutie my na mm plz my .
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Год назад
@@hanifahanifa1010 😂😂😂😂
@alphaigogo787
@alphaigogo787 Год назад
Hongera zake!
@monicacyprian9137
@monicacyprian9137 Год назад
Nimekuja mbio eeh hao wazungu wako wapi sasa na mm namtaka mzungu labda hawatatupiga vitu vizitoo
@rosiehayatta2619
@rosiehayatta2619 4 месяца назад
Ungefunga ndoa ya bomani kuliko kumlazimisha mume awe Jamal... its intimidation of high level. Let everyone of you retain own name appearing on all papers.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 11 месяцев назад
Rekebisha hapo unapoongelea imani ya kikristo, and be careful unapoongelea imani za watu
@merinakassembe118
@merinakassembe118 Год назад
Wajerumani wengi wanajua kijerumani. Lakini hawataki kuongea wanataka wewe uongee kijerumani
@mamaafrica-kq6ni
@mamaafrica-kq6ni 6 месяцев назад
❤❤❤❤
@claudiangowi9628
@claudiangowi9628 10 месяцев назад
Eti dini wamefanya kama biashara, jamani waislam😩😩🙌
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Год назад
Nimalize kunyonyesha nitafte mzungu mie
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Год назад
😂😂😂😂olewq na baba toto bna
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 Год назад
Olewa na mtoto Kwan Kuna ubaya gan 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@KamugishaErnest-zj2pm
@KamugishaErnest-zj2pm Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂aisee watu wengine!
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 Год назад
Kazi yako ni njema sana.
@user-bo9vv9wl6e
@user-bo9vv9wl6e Год назад
Mashallah
@merinakassembe118
@merinakassembe118 Год назад
Mr Bundara uwazi kufanya chochote ujerumani bila kusoma 1year
@HelenahSian-hl5ue
@HelenahSian-hl5ue Год назад
Muslimu mwezi mtukufu kichwa wazi... Hata mtandio tu? Dada
@HelenahSian-hl5ue
@HelenahSian-hl5ue Год назад
@@OfficialDatingAssistance vielen Dank dir. Keine problem GruSs liebe aus kenia❤️🇰🇪
@OmanOman-ns3iw
@OmanOman-ns3iw Год назад
@@OfficialDatingAssistance habar my dada na Mimi nitafutie Mzungu yan ndio ndio wangu yamda mrefu nakuomba my dada
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 Год назад
Halafu utasikia kasilimu wkt kwanza alizini nae. Mana hakuna ndoa ya muisilam na asiekua muisilam, ilikua kabla ya kuolewa umsilishe. Hiyo ndoa ya bomani haisihi na wala sindoa mmlikaa tu
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Год назад
@@Fear_Allah394 dhana ni dhambi, nakukumbusha tu
@MadenaIphone
@MadenaIphone 10 месяцев назад
@@OfficialDatingAssistancekwann unasumbuka kuwajibu asilimia kubwa ya waafrica tunaroho mbaya wapo wengi ambao hawajapenda uwe na huyo mzungu hivyo kila anaekoment vibaya nikwamba amekasirika hajapenda. Amini kuwa kuna hasad kuna vijicho. Kikubwa umeolewa muombe mungu mzae na mumeo na pia mdumu inshaallah
@Winniequinepretty-wm7rr
@Winniequinepretty-wm7rr Год назад
Niunganinishe mm pia
@bushzerahamusic4762
@bushzerahamusic4762 Год назад
Niambie dadaangu mbona pia mimi nami natafuta nami nitafutie basi
@fridahnkatha8962
@fridahnkatha8962 Год назад
What's the same of dating app mm mambo na kuchange dini siwezi
@gracekinyunye
@gracekinyunye Год назад
si wote
@munaahmed8499
@munaahmed8499 Год назад
Mimi naomba tu anitafutie kazi yeyote hiyo sichagui ila tu isiwe ni yq kumuudhi Allaah napenda kujitafutia sio kuomba omba au kuoata vya bure hivyo naomba anisaidieni kwa mwenye no yakeee
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 Год назад
Unataka mzungu halafu usimuudhi Allah? Uchafu mkubwa wanaoupenda wazungu nyuma.
@munaahmed8499
@munaahmed8499 Год назад
@@Fear_Allah394 mm mwanume yeyote atakaeonesha upendo tu ndio naezana nae amabe ana hofu ya mungu mambo ya kutaka wazungu wakati mm si mzungu sio poa hawa wa kwetu wataoa kina nani?
@ghelimafilemon9653
@ghelimafilemon9653 Год назад
Google aupea visa in German. Utafute familia inayohitaji mtu wa kukaa nao kuwasaidia kazi
@munaahmed8499
@munaahmed8499 Год назад
@@ghelimafilemon9653 sijui na sina rafik napata je?
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 Год назад
​@@munaahmed8499 mbona simpo tu mpenz nchi za ughaibuni safar chapu maisha yasongeeee
@BonyDaniel-ix1lk
@BonyDaniel-ix1lk 10 месяцев назад
Naitaji nafasi iyo nitapaje msichan waugaibun
@marthageorge5043
@marthageorge5043 11 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤
@merinakassembe118
@merinakassembe118 Год назад
Deutshe Sprache
@bijou5038
@bijou5038 Год назад
Kwani kupata mumu kutoka inje ni business winners?
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 Год назад
Upuuzi tu lkn kufurahia kuendewa kinyume
Далее