Kufiwa ni kitu kizito tuseme Alhamdullah mimi pia sina baba wala mama ila Alhamdullah zaid dua kwa wazazi wetu awasameh maiti zetu awajaalie jannatul firdaous amin yaarab kwa sote
Alikuw ni mtu mwema wallah 😢 mara ya Kwanza kwenda nyumbni kwake aliniombea dua aki kanishika mkono nilijiona ni mtu mwenye bahati sna hana kisirani na mke wake ni mkarimu sana namuonea huruma alkuw akimpenda sna shekh😢😢 Allah awatie nguvu wana Familia pamoja na waislam wote walioguswa na msiba huu inshaallah
Polee sana Abduli MWENYEZI mungu Amfutie Adhabu ya kabur😢😢😢..Hii Isikiee Allah Akbar 😭😭😭😭 Uchungu Ulio nao Abduli Najuaa Nilishaondokewa na baba yangu.. Najua Unavyosikia kikubwa ni Duwa Sana Ndio wanayo Hitaji kwa sasa
Sheehe Salim ,1989 mama alifariki alifika kumzika mama yangu wilays ya Monduli,enzi hizo ukizikwa na shehe Salim wewe unaonekana mwenye bahat mno, Mwenyez Mungu awape pepo njema marehem wetu wote😭😭😭
Sikuwah kujua maumivu ya msiba mpk nlipofiwa na baba yangu mwezi uliopita tar 23 mpk leo nashndwa kuamini, kufiwa kunauma sn jamani😢 Mwenyezi Mungu awape subra.
Kufiwa kunauma jamani usikie tu kwa mwenzio wengine sie tukikumbuka tu wazazi wetu wametuacha toka wadogo tunalia na kumshukuru Mungu kikubwa dua pole sana wanafamilia
Kwanza Pole kwa kuondokewa na kipenzi chako yote kwa yote sasa ivi habari ya kumdhalilishana mitandaoni yaeche kk angu ktk imani leo baba auko nae tena hayo ni mawaidha tosha km duniani tunapita tunasubiri muda na siku yk
Sisi waislam tunaamini mzazi anapokufa kinachomfaa ni mambo matatu Katika mambo hayo ni mwanao Wallah Abdul umeweza kumstir baba yako Tunakuona Naamin hapo anaproud kwa ajili ya mtoto mwema Nia na madhumun ya Abduli anajua Allah Nakuomben na watoto wengine ingeni mfano wa Abdul muwe mbele kuwastir wazaz wenu