Sheria inatakiwa iwę Sawa kwa watu wote bila kubaguwa. Serikali isipomuchukulia hatuwa huyu mama Fatuma Kigondo wengi wataona Tanzania Ina sheria mbili. Ya wanyonge na wenye madaraka na fedha. Huyu mama lazima ashitakiwe. Asante baba kwa kumufungulia huyu mama kesi. Mama Mwenye madaraka makubwa, hatari akiachwa bila kuchukuliwa hatuwa. Pengine kaishafanya makubwa zaidi ya haya kwa kutumia nafasi ama cheo chake.
Watanzania tuamuke kutoka usingizini wa kujifanya Tanzania ni nchi ya amani. Amani gani kwa polisi ku tenda mambo kama haya? Bila woga wala heshima kwa binadamu. Tutafute muganga wa kututibu huu upole wa kijinga.