Chama ni hatariii , amehusika gori tano , Kule simba alikuwa haonekani, Pasi unampa pa jobe au fred anapiga nje , huku yanga ukimpa dube chuma ukimpa ki chuma ukimpa muda chuma ukimpa mzize chuma, hatariii xanaaa
Chama wakati akiwa simba sikumfuatilia Sana lakini kumbe Chama mchezaji mmoja mzuri Sana , siyo mchoyo wa mpira , halafu hapotezi muda pale anatengeneza nafasi ya goli , nimemkubali sana
Mashabiki wa yanga wanachama wa yanga tusipende kabisa kusikiliza redio za uchwala au wachambuzi viande zaid Sana tusikilize viongozi wetu tu maana Kuna baadhi ya wachambuzi walevi wachambuzi mbugira mbugira wanatumika kutaka kututeteresha wanadahau yanga hii sio yanga Ile Tena, mchambuzi ananunuliwa konyagi wanzuki na chibuku wakaponde kauli ya yanga kugoma kumwachia mzize.
Ifike muda yanga na sisi Sasa tuwe na wimbo wetu maalumu sio mara mejja kunta sjui mzee wa bwax sijui Mario sjui dulla makabila hii jau bnaa wote waungane kutunga wimbo mmoja wa timu ili kuwa kioo Cha Africa lazma uwage na vitu kma hzo.