God has given us the power to conquer the principalities..may all christians congregate in Kenya and do fasting, pray, and break all evil altars in the name if Christ Jesus? Amen.
So all evil altars are an inheritance from the Adamic nature of disobedience....no wonder ---- "all have sinned and fall short of the glory of God"! However, those of us SEEKING God, should never fear for we cling and lean hard on our Father in Heaven through Jesus Christ! Hallelujah!
Mtumishi wa Mungu nikona swali. Kama Mimi ni mshiliki wa kanisa katoleki (catholic) ninafaa kusikiza injili kutoka kwa watumishi wengine kutoka madhehebu ama kanisa tofauti? Pia vibaya kutoa sadaka ama supportive money to different gospel channels?
Wacha Mungu aitwe Mungu! Huyu mtoto wa sheitani ambapo wajinga bado wanafuata wakifikiria Mungu atasikiza washenzi! Natambua Mungu lakini si tambui Ruto. Hiyo ujinga anafanya akiongozwa na hizo madhabao za kishetani hazini husu! Wale bado wanamuita rais watazidi wakilala njaa na kuzika watoto wao. Mungu mbele takataka nyuma!