Тёмный
No video :(

AMA KWELI NIMESIKIA QASWEDA NYINGI NA NIMESIKIA SAUTI NZURI LAKINI HII SAUTI KIBOKO 

MASJID MTORO ONLINE TV
Подписаться 423 тыс.
Просмотров 198 тыс.
50% 1

ANGALIA NA WEWE UTAIPENDA

Опубликовано:

 

17 июл 2016

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 143   
@munaahmed8499
@munaahmed8499 5 лет назад
Subhannallah Allah atulinde maa haramu mwanamke kupaza sauti hivyo mbele ya wanaume
@SUBU-SCRIBE
@SUBU-SCRIBE Год назад
Mashallah ujumbe madhubuti
@saadsalum3253
@saadsalum3253 6 лет назад
hiyo ni ngoma km ya dimond tofaut yenu mnamtaja mungu na mtume tu hamuoni km mnaupotosha uislam wenyewe nahao wazazi wenye watoto nao wanao mzg
@omarysalehe8155
@omarysalehe8155 5 лет назад
saad salum v
@AsdDsa-kl4iw
@AsdDsa-kl4iw 3 года назад
Ss maulid ama taarabu vp mbona urembo kibao mavazi balaa alafu mnasifu Allah Subhannaallah
@user-dq1lm2be2u
@user-dq1lm2be2u 6 дней назад
Mashaallah mashaallah 🎉
@Zubaiba
@Zubaiba Месяц назад
Mashaallah mashaallah
@jumahamad4419
@jumahamad4419 2 года назад
mashallah sauti kinanda ......
@saidiyahya6460
@saidiyahya6460 2 года назад
kasida nzur nimeipenda
@ummusamira3518
@ummusamira3518 6 лет назад
Innalilahi wainnailaihi rajiuni yarabi mola wetu usitughafilishe ktk dunia hakika ya adhabu zako nikali saana hatuziwezi sikuhizi siwanawake siwanaume wanaimba nyimbo Na music Na kuzivalisha shungi wakaziita kasida innalilahi wainnailaihi rajiuni Shekh yussuf abdi Wa kenya anasoma nasheed nzuri bila ya music nakila ukiisikiliza basi unaona kama ndio siku ya mwanzo kuisikia Na inamafunzo makubwa saaana mpaka moyo unashtuka tujirekebisheni
@allyelabad7370
@allyelabad7370 6 лет назад
Ummu Samira ....inaruhusiwa bana. Kam hairuhusiw una ushahid gan
@zaidiakagambo6100
@zaidiakagambo6100 Год назад
Mashaallah
@hawaabubakar2619
@hawaabubakar2619 6 лет назад
Ma Sha Allah....Sauti nduri.....Allah Akuhifadhiye hyo sauti yako....Allahumma Ameen YAA RABB
@abdulidrissa9134
@abdulidrissa9134 5 лет назад
mungu akuzidishie mwalm wag wa madaras Ttawba kipind hicho
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 4 года назад
Aache kuimba miziki Allah hajayaruhusu haya
@zaharanihassan9013
@zaharanihassan9013 6 лет назад
kiukweli nilizipenda sana kaswaida na dufu Hizo, kumbe nilikuwa. sijawa na elimu sasa hunidanganyi kwa kaswida za kumuasi Allah kama Hizo,,,,
@sajidusinani4509
@sajidusinani4509 5 лет назад
Zaharani Hassan Dufu zna madhara gan, mbna hamjawapinga bongo fleva..achen izo bn
@muzneahmad4041
@muzneahmad4041 5 лет назад
usimuhukumu mtu ww haujajua bado umetenda mangap kwa mungu yalo mema
@nassirmohamed8492
@nassirmohamed8492 Год назад
​@@sajidusinani4509 dufu sio baya shida ni hao vijana
@hassanshelukindo2501
@hassanshelukindo2501 Год назад
Maashaallah
@naimaazizi5887
@naimaazizi5887 2 года назад
mashallah kwa dada nadhifa ila watu bado wanajivunia urudi bukoba jamani maan uliacha pengo bora tuu ulirudi bukoba
@muzneahmad4041
@muzneahmad4041 5 лет назад
mashallah allah akuongoze katika kheri wafikisha ujumbe vyema
@husnajohn7466
@husnajohn7466 5 лет назад
Qaswida nyingi za wa bongo ni kiswahili , sababu wakina mama wengi walichelewa kujifunza dini hivyo hivi sasa ndio wameamka na kujitambua nakuitambua thamani ya dini, siwezi hukumu kwa nini wamechanganyika na wanaume , km nilivyosema wengine ndio wameamka ivi sasa hivyo mengine yakuwaelekeza tu sio wengine huku kujifanya kulaani wakati we hapo ulipo pengine hata sheria za udhu hujui
@zulfasalim9572
@zulfasalim9572 4 года назад
Hahahahahahah udhu hauna sheria kwenye udhu ni sunna na faradhi. ama kama mtu hajui huo udhu ndo dini imemkataa asikemee munkar. jamaa tuacheni ushabiki na dini. hata Mm ni mtu wa twarika ya alawiya lakini sidhani kama hao mabingwa wa twarika kina Imam Ally Bin Mohammad Bin Husein habshy kama walieka twarika katika misingi hii. heri tu wawachane na kumtaja MUNGU na MTUMI na hizo dufu waziweke kando waiite taarabu.
@sabrinaadinani3749
@sabrinaadinani3749 5 лет назад
Shangazi yangu zaida mungu hakulinde nakila balaha😍😍
@gambigambi7254
@gambigambi7254 5 лет назад
Sabrina Adinani unamfaham? Ninamtafuta mno nipelele chochote kwa madrasa yake
@shamiraomary3060
@shamiraomary3060 6 лет назад
innalillah wa inna ilaih raajiun....huu sio uislam tuliofundishwa na mtume(s.w.a) tuandae majib ya kwenda kujib kwa Allah(s.w)
@gwaluvideo6427
@gwaluvideo6427 6 лет назад
co vzur kuwaalaan wnzenu n jmb l kumrekebixha2 na anaelewa jiulz unmmb mngp unamfnyia Allah n mbn hjkupg lana iwj ww utoe hukm umekuw hakim ww mpk umhukm mwnzio
@husnajohn7466
@husnajohn7466 5 лет назад
Sasa kama we mjuzi ndio utoke hadharani ukawafundishe sio kulaani huku social media huo ni unaaa
@sarahsemwanza2031
@sarahsemwanza2031 5 лет назад
wewe mbona umemkosoa mtandaon ndomtume katufundisha ivo mkosoaji no Allah
@salmasalimu2463
@salmasalimu2463 5 лет назад
Shamira Omary. ALLAH ndo muukumu sio ww yote muachie ALLAH
@fatoomfatoom5590
@fatoomfatoom5590 5 лет назад
Hakuna mkamilifu acha kuhukumu wenzio km unaona dhambi ww mbona upo you tube kuna kitabu kimekwambia ujiunge you tube na km kipo tuonyeshe mana you tube zinapostiwa kila kitu kuna vengine havina maadili mbona waviangalia (mkamilifu ALLAH)
@nadiaanadiaa2051
@nadiaanadiaa2051 6 лет назад
Cjaipenda kbsaa mnatuharibiaa dini yetu
@KarengaHussein
@KarengaHussein 2 года назад
Dini ni ya MUNGU sio ya baba yako
@rahmamavura406
@rahmamavura406 7 лет назад
mashaallah.ila sijui dufu ziliingia barid.uchezaji sijaupenda.turudii kunepa kizaman jaman
@bayaanhumud4328
@bayaanhumud4328 4 года назад
Inna lilahi wainna ilayhi rajiuun hiyo sio sahihi hatta kidogo
@aziziyusufu8592
@aziziyusufu8592 4 года назад
Innallillah wainailaih rajiuun hiyo picha hapo ukiitazana unanuona huyo Dada akiwa amevaa hali yuko uchi,tena yuko kwenye hadhara tukufu kama hiyo hivi mahala kama hapo masheikh wa kuyakataza hayo huwa hawapo
@saidsaid9463
@saidsaid9463 6 лет назад
Mashaallah dada mungu awape kila lakheri
@andallaathman3856
@andallaathman3856 3 года назад
Hya watanzania makosa mmezidi kila kitu mitandaoni na kukusanyika na wanaume mnaona mnapata thawabu kumbe mnazoa zambi tuu mungu awaongoze inshaa llah
@bellbell9294
@bellbell9294 4 года назад
Shukraan bi Dada kwa kazi nzur uliyo ifanya Allah akulipe majazo mema amiin jazaka Allahu kher
@sadathbadru333
@sadathbadru333 6 лет назад
mashaallah kwa sauti uko vzl
@abubakarayubu8938
@abubakarayubu8938 6 лет назад
Mijimama inajitikisatuuu hukuikouchi
@mishybintsalimsalafiyyun6018
@mishybintsalimsalafiyyun6018 7 лет назад
INNA LILAH WA INNA ILLAH RAJIUN
@babyazizayoutube8906
@babyazizayoutube8906 7 лет назад
subhanaallah!!!
@hakimoumouri4088
@hakimoumouri4088 5 лет назад
baby aziza you tube Machallah
@philipfrankmakutsa9663
@philipfrankmakutsa9663 5 лет назад
Allah Allahu ashukuriwe ...mama unamtaja unamtukuza Allah wallahi atakulipa kwa utajo wako kwake nyie mnaokashifu anzeni na kina mond na kiba halafu mje na huyu ....
@neemafatu7885
@neemafatu7885 4 года назад
Yaani huoni ubaya wake hata kwa kuangalia tu dah!
@neemafatu7885
@neemafatu7885 4 года назад
Huyo mond si inajulikana kuwa ni mashetani tu.sasa hawa si wananasibisha na ibada hiyo. wanaume ,wanawake,nani karuhusu hivyo.?
@rahmaalkalbani2922
@rahmaalkalbani2922 5 лет назад
Maxhaallah your saund sey thaankxgod
@iddymchekwa170
@iddymchekwa170 3 года назад
Masha Allah
@gwaluvideo6427
@gwaluvideo6427 6 лет назад
Achen kuwalaan wnzen kw mjmb y kurekebxhna 2 hkun mkamilif ww unae mlaan mwnzio wakt we nd unayafanya mdhmb kulik yy alieimb kw saut
@zaitunimushule2369
@zaitunimushule2369 5 лет назад
Hongera sana ustadhat wangu mungu akulinde na mabaya yote ya walimwengu uko vizuri huwa na kukubali sana
@ramadhaninurrumtungi4474
@ramadhaninurrumtungi4474 5 лет назад
Yupo vizuri zaidia
@philipfrankmakutsa9663
@philipfrankmakutsa9663 5 лет назад
Hajawaita hao waje kucheza yeye amekaa na watoto wake wananema tu hapo tatizo labda wanalo wanaofanya huo ni mziki wa kucheza lakini mashallah ujumbe mzuri saanaa.....
@mishybintsalimsalafiyyun6018
@mishybintsalimsalafiyyun6018 7 лет назад
ALLAH TUSAMEHE MADHAMBI YETU KWA KWELI MTUME ALIWAONA WENGI MOTONI TUNUSURU YARABBY
@ukhtyzainab7254
@ukhtyzainab7254 5 лет назад
Amiin
@realpopray96
@realpopray96 5 лет назад
Amiin
@husnajohn7466
@husnajohn7466 5 лет назад
Mmoja wapi wewe japokuwa bado uko hai
@fatmazena9328
@fatmazena9328 5 лет назад
mashaallah
@rajabuselemani3586
@rajabuselemani3586 6 лет назад
Allah hawabariki afu waislamu wengine siwaelewi hivi na bongo freva huwa mnazikanusha acheni mbwembwe acheni atajwe mwenyezi mungu na mtume wake
@nassorosalehhazard2450
@nassorosalehhazard2450 6 лет назад
Rajabu Selemani asante make wananikera sana ukiwakuta kwenye vigodoro uwatoi lakini apa wanajifanya kukoment
@sajidusinani4509
@sajidusinani4509 5 лет назад
kweli kabsa
@bayaanhumud4328
@bayaanhumud4328 4 года назад
subhanallah hilo ni beni
@zuhuramerisho3010
@zuhuramerisho3010 3 года назад
Maashallah
@monday1278
@monday1278 7 лет назад
mashallah..
@kidotiali9414
@kidotiali9414 6 лет назад
Niwapi huku jamani
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 2 года назад
Maa shaaa Allah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Allahu allahu allahu Allah
@Raya-em8wz
@Raya-em8wz 4 года назад
Mashallah
@mohammadahmed1646
@mohammadahmed1646 4 года назад
Mashaalh
@rahmaalkalbani2922
@rahmaalkalbani2922 5 лет назад
Maxhaa llah alla kareem !!!!
@fatinarajabu3043
@fatinarajabu3043 6 лет назад
Subhanallah Astaghafirullah 😧😧
@jamilakhalifa2692
@jamilakhalifa2692 6 лет назад
mabrock😗😗✌
@bxgdhydydh6505
@bxgdhydydh6505 5 лет назад
Astaghfirullah
@rahmamuhammed6734
@rahmamuhammed6734 7 лет назад
Ndugu ktk imani hivi kweli ndio uisilam. tulivyofundishwa na Mtumewetu. mohammadi swalallahu aleyhi wassalama.mnachanganyuka wake kwa waume pamoja sauti ya mwanamke iko juu mbele za wanaume. Astaghfirullah. wamama. tusomeni. dini tuacheni kuimba .
@fatmakhamis1018
@fatmakhamis1018 7 лет назад
mwanamke na dufu lili kua moja na litengenezawa kwa kitambaa na alipigia kwa kidole kimojaa laki tumetoa uzushi ndani ya uislam hii hali ya huyu mama aliipata eapi?
@rashidsaid7012
@rashidsaid7012 6 лет назад
kinachoshangaza watu mnakosoa kaswida ila waislam wanaoimba bongo fleva mnawasifia tena sana na mnaacha kuswali
@omarimzuzuri4762
@omarimzuzuri4762 6 лет назад
Fatma Khamis ,Kasome kwanza ukhty halaf utakuja mitandaoni kukosoa
@husnajohn7466
@husnajohn7466 5 лет назад
We fatma kama umesoma dini haswa tupe dalili ya unachokiharamisha maana hii hukumu itaku hukumu na wewe pia kua ulijua lakini hukutaka kuwajuza wengine, mtume kasema uzuri wa muislamu ni kuijua dini kisha akawajuza na wengine je ulishafanya hivyo?????
@ramadhanisadiki4712
@ramadhanisadiki4712 5 лет назад
mashaallah mamaangu unakonga nyoyo
@athmanihaji7771
@athmanihaji7771 4 года назад
Innaalillahi Wainnaailaihi Raajiuun
@athumaninchula2020
@athumaninchula2020 3 года назад
Hapo n ukumbini wakinamama wamejiachiia wapiga dufu n vijanawake was Madras a na n vjana wadogo tu kashfa zote za nn kwan hamuwaon waliopotea?
@user-dq1lm2be2u
@user-dq1lm2be2u 6 дней назад
Unakuta anayekosoa hata swala tano hana anaye tajwa ni Mungu lakini wanakuambia ni kama kaimba daimond
@bxrkeshorts738
@bxrkeshorts738 7 лет назад
.Mashaalla 🙌🙌 nice
@jaliabahati39
@jaliabahati39 5 лет назад
Mnao mponda mmechunguza dhambzenu?
@meena-ol6fo
@meena-ol6fo 5 лет назад
Wajinga tena hawaijui dini na utakutahata juzzu amma hawajamali
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 4 года назад
Kua na dhambi Kuna kufanya umsapot mwenzio atende dhambi mbona mnazidi kua wajinga
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 4 года назад
Mama unaeimba nakupenda kwa kitunza icho kituo ila kosa na huzuni ni kwanini wametometokea hao wanawake wanachezesha miliiyao na wapo uchi?ushauri mnapotak kufanya jambo la kiimani basi jatibuni kuweka mazingira ya kiimani sio tu kuoneysha yasio na maana
@yassindeffu88
@yassindeffu88 5 лет назад
Shekh huyu mama wawapi ?
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 4 года назад
Unataka kumnusuru
@bintsalimalbimany287
@bintsalimalbimany287 2 года назад
🙄🙄🙄🙄🙄🙄😭
@saadamrisho5396
@saadamrisho5396 6 лет назад
gwalu video ni kweli kabisa
@jaliabahati39
@jaliabahati39 5 лет назад
Mashallah Mama wambadara Nazifa ukovizuri
@Cris-Kai
@Cris-Kai 7 лет назад
🙌🙌🙌
@jidalddl8787
@jidalddl8787 7 лет назад
mashaAllaah
@aminaomary908
@aminaomary908 5 лет назад
Masange kondoa huko
@ahmedyoung7300
@ahmedyoung7300 7 лет назад
mm baadhi ya maneno mbon siyaelew iyo lugha gani ipo ndan yake
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 6 лет назад
mungu akupe maisha mema acha walibeze lakini unamtaja mungu na mengine mazuri waya fanya
@zaitunikweka979
@zaitunikweka979 5 лет назад
Kakosea wapi mmesahau kuna mwanamke alipiga dufu mbele ya mtume swallahu aleih wasalam?
@nnbb8402
@nnbb8402 5 лет назад
Mashaallah Allah barik fih
@medshaa3704
@medshaa3704 7 лет назад
jamani naombeni mniambie ni Chou gani hicho jina lake
@nabilamaashaallahmaashaall6977
Sasa lkn mbona mmechanganyika nawanaume ilikuwa muwe wanawake pekeenuu
@bahatiyusufu9270
@bahatiyusufu9270 6 лет назад
nice voice mummy!
@omanmusicomanmusic2620
@omanmusicomanmusic2620 6 лет назад
Sio kweli haya si mafundisho ya mtume (s.w)hio ni haram
@abdallahhamad298
@abdallahhamad298 7 лет назад
Inna lillahi wainna ilayhi rrajiu'n
@sitiali319
@sitiali319 5 лет назад
ingekua wanawake pekeyao ni sawa na sio kurushwa mitandaoni
@sitiali319
@sitiali319 5 лет назад
ingekua wanawake pekeyao ni sawa na sio kurushwa mitandaoni
@azzaalmaamry76
@azzaalmaamry76 5 лет назад
Maa shaa Allah
@shabanisaidi8827
@shabanisaidi8827 5 лет назад
Mashaalh
@marizianasumba7110
@marizianasumba7110 7 лет назад
Ma shaa Allah
@suleimanmakame8055
@suleimanmakame8055 6 лет назад
Kidoti Ali hujambo?
@sandaljodi2700
@sandaljodi2700 7 лет назад
jadaadu maraatu kuuaura aijuzu dada sati ya mwanake niuke wacheni kupoteza tu dini yetu hairuhusu hivno mnavno fanya haram
@husnajohn7466
@husnajohn7466 5 лет назад
sand Aljodi ,sasa km in uchi na wale wanaoimba bongo fleva nao ni nini, acheni kuhukumu
@zaitunikweka979
@zaitunikweka979 5 лет назад
Mna mponda uyu na nyie zambi zenu amzioni Bora uyu anaimba nyie mwazini alafu mna mponda
@neemafatu7885
@neemafatu7885 4 года назад
Kwani nani mkamilifu ktk binaadamu? Kama ni hivyo basi hakuna haja ya kupeana mawaidha au nasaha kwa sababu hata mashekhe wanadhambi,lkn wanahusia watu tuache dhambi.SEMA TU TUNAPENDA SANA HAYA MAMBO YA PUMBAO YASIYO NA FAIDA yoyote.
@myqueen4397
@myqueen4397 6 лет назад
mtihani tarabu si tarabu.... mhhh
@ukhtyzainab7254
@ukhtyzainab7254 5 лет назад
Hahaha
@fatuminafarah2524
@fatuminafarah2524 7 лет назад
mashallah
@amalali2652
@amalali2652 7 лет назад
na watoto pia mashaallah wamejitahidi kucheza
@marymabubakary1561
@marymabubakary1561 5 лет назад
maashaallah mdada
@ramadhaninurrumtungi4474
@ramadhaninurrumtungi4474 5 лет назад
Wanasema husiukum mtu anaeukumu ni mmoja tu allah
@medshaa3704
@medshaa3704 7 лет назад
mashaallah
@jozeebonge3341
@jozeebonge3341 7 лет назад
maashaaaalllaah
@sabribalaway6061
@sabribalaway6061 7 лет назад
jamani anasoma vizur lakini nashanga wengine wako mabega wazi
@nazminnazmin7210
@nazminnazmin7210 7 лет назад
manxhallah
@popokulika3068
@popokulika3068 8 лет назад
nice one mashallah
@fatumayusuph7154
@fatumayusuph7154 7 лет назад
mashaallah
@fatmakhamis1018
@fatmakhamis1018 7 лет назад
mtume muhammad s.a.w. alipo hama makka kwenda madina alipokewa kwa dufu na kaswida inayo itwa twalaa lbadru alainaaa na alipiga mwana mke na alisoma mwanamke la dufu lilikua moja na liliambiwa kitambaa na alipiga kwa kutumia kidolu kimoja tuuu
@amalali2652
@amalali2652 7 лет назад
saut mashaallah
@yusufukwaya6240
@yusufukwaya6240 6 лет назад
Amal Ali in sha allah
@user-kc4sy9dw4l
@user-kc4sy9dw4l 6 лет назад
kama tarabu wanavochexa hawo watu wazima
@musafiahlalbayt9978
@musafiahlalbayt9978 4 года назад
Audhubillah minasgaytwan rajim bismillah rahman rahim. Music ngoma Ni haram saut ya iblis at a uki Imba kwa carabu ukala capati kama warabu haram yabakiya haram
@aassmmasd5017
@aassmmasd5017 7 лет назад
manshall
@fatmakhamis1018
@fatmakhamis1018 7 лет назад
jamani iko siku tutaenda ya jutia haya kupiga mayowe hivi haujawa ucha mungu nakila kaka mwenye kuona hii alete istighifar
@faudhiatwaha1479
@faudhiatwaha1479 7 лет назад
mama mkwe asante
@zulfasalim9572
@zulfasalim9572 4 года назад
doooooh tarabu hyo jamaa. Mm ni mtu wa twariqa lakini hapa sasa mwatutukanisha jamaa. wanawake wacheza kama kwenye taarabu. aaaaaaa haram hyo
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 5 лет назад
nashaangaa watu wengine kumsifu mtume unakuite msiba jamani?
@khadijazuberi8553
@khadijazuberi8553 6 лет назад
naiomba whatsap 0743539032
@sssaminasaidaaamashaalah3291
@sssaminasaidaaamashaalah3291 4 года назад
Mashaallah
@yusuphpazi635
@yusuphpazi635 4 года назад
Maashaallah
@ahdahmed8383
@ahdahmed8383 5 лет назад
Mashallah
@hamawamitego8576
@hamawamitego8576 7 лет назад
Masha Allah
@zawadiosman9527
@zawadiosman9527 7 лет назад
maashaallah
Далее
Twaanza Salamu
9:16
Просмотров 3,3 млн
madrasatul nah dhat salaam bwana kharousi
6:36
Просмотров 1,8 млн
Umejuaje Kama si Umbea -Mwana Idi Shaban
13:48
Просмотров 3,8 млн
NYOYO ZIME FURAHIKA - LYRICS VIDEO
8:36
Просмотров 192 тыс.
PEPO MADRASATUL MAZAUG
9:10
Просмотров 290 тыс.
Wapeni Njia Warembo
13:06
Просмотров 828 тыс.
Qaswida.mahari
9:33
Просмотров 3,7 млн