Тёмный
No video :(

Anastacia Muema- Usiogope Njoo (Official Video) 

Anastacia Muema
Подписаться 137 тыс.
Просмотров 1,5 млн
50% 1

Yesu ndiye kimbilio letu sote, Tunaaalikwa kwenda kwake nyakati zote za maisha yetu. Wimbo huu 'USIOGOPE NJOO" ni utunzi wake Hendry Kimario na umeimbwa naye Anastacia Muema.
Audio na Video vimefanywa na RAJO Productions.
Karibuni nyote tuweze kuusikiliza na kuutazaama.

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,4 тыс.   
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Wimbo huu unatupa motisha na matumaini kwamba tusikate tamaa kwenye maisha yetu. Tumtumainie yeye kila wakati bila kuogopa yeyote au chochote. Karibuni tutangaze injili ya Bwana kwa mataifa yote ya ulimwengu kwa kutumia lugha zote maana sisi wote ni wake.🙏🙏 Please show love by sharing widely and Subscribing to my Channel.🙏🙏🙏 Wale hatukuwa tunajua kuzungumza kiNigeria, basi tujifunze kupitia wimbo huu😅😅. Translation Our God is good-Chukwuamaka Mungu wetu wa amani- Chukwubuudo Mungu wetu mwenye nguvu- Chukwudiike Mungu wetu ni wa msamaha-Chukwudiebere
@johngenda6000
@johngenda6000 Год назад
Hongera sana dada Anna Kwa uimbaji mzuri Mungu akubariki💥🔥🔥🔥💥
@mosesmoticalukumay.3070
@mosesmoticalukumay.3070 Год назад
Wimbo mzuri sana. Uzidi kubarikiwa
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
@@johngenda6000 asante sana John🙏🥰♥️
@moikisambu149
@moikisambu149 Год назад
Anatoa kwa haki kabisa great job dada Anne
@getrudawillison6929
@getrudawillison6929 Год назад
Wow thanks dear nilikuwa naskiliza wimbo huu kwa muda mrefu sikujua kama ume translate tayari sasa Nimeelewa vzr sana, Mungu akubariki sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@johnsononyereibe9215
@johnsononyereibe9215 Год назад
Hearing my language in a beautiful song like this made me smile and my mind full of joy and gratitude to God. Chukwu amaka, Chukwu bu udo, Chukwu di ike, Chukwu di ebere. God is so good, God is peace, God is great, God is merciful. Thank you very much.
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
The language is so beautiful! I like it.🥰🥰🥰
@johnsononyereibe9215
@johnsononyereibe9215 Год назад
Thanks 😊
@laurentdoriye8117
@laurentdoriye8117 Год назад
Endless listening to this song, it should be sold at the pharmacy, it treat everything 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Aaaaawwwe🥰🥰🥰🥰🥰. Thankyou so much Laurent.🙏🙏
@elizabethadhiambo1567
@elizabethadhiambo1567 10 месяцев назад
@@anastaciamuema byadha hizi nyimbo zako inaeza fanya mtu aende church hatakama hataki
@peterkesike5926
@peterkesike5926 Год назад
Nyimbo zako huwa naeza watch the whole day aki zinanipeleka karibu na Mungu sana ,manze Mungu akujalie tu uishi ❤❤
@princedominic8776
@princedominic8776 Год назад
Finally the song I have been waiting for is out thanks for good masterpiece God bless you Ann
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Aaaawww🥰🥰🥰. Thankyou so much for waiting! Be blessed dear🙏♥️🥰
@jeniphapaul1270
@jeniphapaul1270 3 месяца назад
Mpiga kinanda haki umeuaaa❤❤❤from tz
@lopusingiromoses6109
@lopusingiromoses6109 Год назад
Leo nimejua ki-nigeria,Asante Sana dada yetu,unatubariki Sana kila wakati,,na Mungu Aendelee kukubariki pia kwa kazi yako,Arusha Dancers wako mwaaah🥰
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Hahaha! Asante sana rafiki yangu🙏🙏♥️♥️ Share the link widely♥️♥️🤗🤗
@getruda8384
@getruda8384 Год назад
Hongera san dad Kaz yako yapunguz majuto ktk maisha yako
@antoniizcarlow6160
@antoniizcarlow6160 Год назад
Makinya AA me Sawa mwa...sauti nayo ulibarikiwa.. instrumentals🥰🥰🔥🔥🔥🔥...
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
😅😅 Thankyou so much wamusyi❤❤
@InnocentNduwimana-bh8zv
@InnocentNduwimana-bh8zv Год назад
Nakukubali mama la mama. Unaimba vizuri kabiisa. Mungu akuongezee baraka popote ulipo. Nakufolo kutok burundi exactly bujumbura
@maryachia3673
@maryachia3673 11 месяцев назад
😅lollipop to be busy mukwano I have been 0
@mariajilala7093
@mariajilala7093 Год назад
Woow!! Amazing!! Kazi nzuri sana sanaaaaa ❤️
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana Maria❤
@marymimina
@marymimina Год назад
Sina comment ni kubambika kwanza tu🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Hahahaha! Jibambe to the fullest❤❤
@kilangiih
@kilangiih Год назад
Nyimbo nzuriii Mungu akupe afya njema ili uzidi kumtumikia ili watu waongoke na kumjua Mungu kupitia nyimbo zangu @Anastazia_Muema #USIOGOPE_NJOO🔥🔥🔥
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Amina! Mwenyezi Mungu akubariki🙏🙏🙏🙏♥️♥️
@eaglestarmwendeisaac7882
@eaglestarmwendeisaac7882 Год назад
Dada mrembooo❤️sauti ya kumtoa nyoka pangoni...Am blessed ✅
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana Cess🙏🙏🙏
@bensonkiraga1459
@bensonkiraga1459 Год назад
Waaah au sure n mrembo kwl
@richardallengurisha8520
@richardallengurisha8520 Год назад
I like this song but it voice and dancer mmmmhhh unaimba kinaijeria hongera my queen
@mosetimusic
@mosetimusic Год назад
💯🙌🙌🙌🙌💫💥💥💥🔥🔥hii song ni kali sana
@mosetimusic
@mosetimusic Год назад
Kwanza the "our lord is guduuu oooh" part😅😅😅😅artistry
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
@@mosetimusic 😅😅😅😅😅 Chukwuamaka!😛
@zdy373
@zdy373 Год назад
Song perfect, dressing perfect. Sound perfect. Team perfect.
@choralesaintvincentdepaul9583
Very very good 👍👍 tamu sana kabisa ❤️❤️❤️
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Thankyou so much Alexis🙏♥️♥️♥️
@kinyanjuicarlos8899
@kinyanjuicarlos8899 Год назад
Ray ufunguo' everything he touches turns to Gold' man is a blessing indeed!
@rachelsanga5390
@rachelsanga5390 Год назад
Hongera dada Kwa wimbo mtamu hakika nyimbo zako zinanibariki
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Amina🙏🙏🙏 Ubarikiwe sana dear❤
@johnkamaugichingiri9881
@johnkamaugichingiri9881 Год назад
Greetings, the song is Heavenly made and a masterpiece, classic with pleasant presentation, beautiful choir, blessed 💖🌹🙏
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Thankyou so much John🙏🙏
@kawawambatha9347
@kawawambatha9347 Год назад
Wimbo wakutupa matumaini. Love it 🥰🥰🥰"our God is good ooh"
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Amina🙏. God is good all the time🤗
@bonnyboniface5892
@bonnyboniface5892 7 месяцев назад
My favorite song wow i ril love your gospel music so so much Anastasia. Watching from Uganda 🇺🇬 the Pearl of Africa 🌍 much love Sister 💓
@rodneyndege6401
@rodneyndege6401 Год назад
The song is on fire . My favorite pianist Ray ufunguo ✍️ congratulations we are looking forward to reach One million view in few months let's just put God first
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Amen Amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏 From your mouth to God’s powerful ears!🙏🙏♥️♥️
@princedominic8776
@princedominic8776 Год назад
Nyimbo zako ni tamu sana utaenda mbali kwa jina la Yesu utakuwa Diamond wa gospel in future
@jumaanthony4938
@jumaanthony4938 Год назад
Kazi nzuri sana Anastacia ❤️ na Ray Ufunguo,keep going , always my mentor
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana Juma.🙏😘♥️🥰
@jumaanthony4938
@jumaanthony4938 Год назад
@@anastaciamuema Humbly welcome❤️
@AbibaMutanga-qg5et
@AbibaMutanga-qg5et Год назад
❤❤❤Mungu akuzidishiye kipaji icho chawimbaji
@paulmziba1060
@paulmziba1060 Год назад
ANNE nakuita tena ANNE, asee hongera sana with your dancers, mmefanya kazi nzuri sana, wimbo mtamu, ujumbe murua, hongera kwa Mtunzi, sauti na picha zimenogesha sana, dancing style, kwa ujumla unaburudisha, unatafakatarisha.n.k
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Aaaaawwww❤❤❤❤.. Asante sana mwalimu wangu🙏🙏. Asante sana for this compliment. It makes me smile.😊😊♥️♥️
@MagdalenaBajuta
@MagdalenaBajuta 3 месяца назад
Mungu akubariki san dada
@norbertnoel2429
@norbertnoel2429 Год назад
Ubunifu mkubwa sana kwenye kinanda. Hongera Mr. Ray na timu yote
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Tumshukuru Mungu kwa kipaji alichompa RAJO.🙏🤗🤗🥰♥️♥️
@albinenjoroge6526
@albinenjoroge6526 Год назад
Wow..i love your songs Ann❤️ The guy who is always smiling.😊 Mostly at the center, really inspires me♥️
@PrincesyMakoga
@PrincesyMakoga 4 месяца назад
Mungu azidi kukutumia nabarikiwa sanaaaa na nyimbo zako
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
To support my ministry Till Number: 9057903 Mpesa No: +254795457774
@jebetmatildasr.5326
@jebetmatildasr.5326 Год назад
Hongera Dada for the nice songs, keep the spirit burning.
@jebetmatildasr.5326
@jebetmatildasr.5326 Год назад
🌹🌹🌹🌹❤️❤️
@jumanneenos2481
@jumanneenos2481 Год назад
MPESA name?
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
@@jumanneenos2481 Anastacia Muema
@HossanaJoseph-q1d
@HossanaJoseph-q1d 11 дней назад
be humble mysister hongera sana maana nyimbo zako zinanitia matumaini na amani pia faraja msalim kaka ray mwambie anajua kukichezea kinanda
@NoteSacre493
@NoteSacre493 Год назад
Wonderful, wimbo mzuri, mmependeza uvaaji, madancer, organist pia, kila kitu perfect, hata OGA pale Nigeria amekubali
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana Alfred🙏♥️😍😘 Eti oga😂😂😂😂😂
@ChisakaChris
@ChisakaChris 4 месяца назад
nyimbo zako zimefanya nijue sauti yangu ubarikiwe ana
@inyasgabriel6213
@inyasgabriel6213 Год назад
Unatubariki sana sister ANA Mungu azidi kukupa maarifa zaidi
@kingofcassavachannel9227
@kingofcassavachannel9227 Год назад
Amen Amen 🙏, 🙏. 🙏 🙌 👏❤ 👏, wimbo mzulisana. Keep blessed all of you.
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Thankyou so much and be blessed❤🎉🎉
@getrudawillison6929
@getrudawillison6929 Год назад
Wewe Dada umenibariki sana 👏👏❤️❤️❤️❤️
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
AMINA🙏🙏♥️♥️
@getrudawillison6929
@getrudawillison6929 Год назад
Nimetoka kanisan natumai tutakuwa live pamoja leo,
@mosetimusic
@mosetimusic Год назад
Traditional n yet so modern. Doing justice to us listeners as always
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Aaaawwww❤❤. Thankyou so much mkuu♥️♥️
@estherkinya322
@estherkinya322 Год назад
Nice song much love be blessed 🙏🙏🙏🙏🥰🙏🥰 🥰🥰
@johnsadiki2657
@johnsadiki2657 Год назад
Wimbo unaburudisha, mko smart, na producer 🔥🔥🔥. Soldier on Miss Anne 👍👍👍🤝🤝🤝
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Thankyou so much John🙏😍♥️
@agnesmueni655
@agnesmueni655 Год назад
Napenda song Zako sna my dear be blessed ❤❤❤❤
@MsaniiRecordsEastAfrica
@MsaniiRecordsEastAfrica Год назад
Kazi nzuri kama kawaida. Go girl go. Mungu Mbele👏👏👏
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Thankyou so much Msanii Records! Tuko pamoja my people.❤❤❤
@assumptermwende5284
@assumptermwende5284 Год назад
Gracias por recordarnos que nuestro Dios es bueno hace falta recordarlo todos los días. Siga evangelizando con su música chica.
@ernestmagunus3788
@ernestmagunus3788 Год назад
Umetisha Dada Upo vizuri sana
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana🙏🙏❤
@elivyusalvinus9155
@elivyusalvinus9155 Год назад
mr.ray na ms.anna wanaupiga mwingii hawana kazii mbovuu big up Sana this is Catholic Church in the way of uinjilishaji kwa watu wote
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana Elivyus🙏🙏🥰🥰🥰 Tumshukuru Mungu kwa yote.
@wilkrifurwehabura9424
@wilkrifurwehabura9424 Год назад
Amen Mwenyezi Mungu awabariki Kwa kuendelea kuwaleta watu Kwa Yesu, Nice Song keep Moving Dada.
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana dear Wilkrifu🙏 Ubarikiwe sana.❤️
@frankyseklawi8293
@frankyseklawi8293 Год назад
AMEN and AMEN may God bless you all 🙏🏻🙌🥰🥰🥰
@marklinecherono3377
@marklinecherono3377 Год назад
Congratulations dear nyimbo zako huwa zinabariki moyo wangu keep it up dear, sauti nayo wauw💐👏
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana dear❤❤ Amina🙏🙏🙏
@MasikoHillary
@MasikoHillary Год назад
God bless You
@user-ud6he6io4b
@user-ud6he6io4b 11 месяцев назад
Mungu abariki kipaji chako, napenda sana nyimbo zako
@valleyrocktravellers2007
@valleyrocktravellers2007 Год назад
Hongera Sana Dada Anastacia kwa kuijilisha kwa nyimbo nzuri. Mungu azidi kukuongoza katika uimbaji 🙌🎉🎉
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Amina🙏🙏. God bless you 🤗🤗
@georgemwangimiano5242
@georgemwangimiano5242 Год назад
Keep up , Kuna score sheet ya song
@annastaciakilonzi382
@annastaciakilonzi382 Год назад
The flexibility,the gesture,tells it all....congratulations....continue blessing people darling...I can't get enough of your songs... wueeeeeh 🤔am in Love.....sauti nayo!si umebarikiwa!!God bless you❣️
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Thankyou so much namesie❤❤❤ Be blessed abudantly!😊🙏🙏😍😍
@davidkaviti
@davidkaviti Год назад
Moto sana Ann Usiogope Njoo 😍💯💯
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana❤ Amina♥️🙏
@hikahika7806
@hikahika7806 4 месяца назад
Mungu ni mwema Mungu akubariki sana kuimba ni kusali mara mbili Amina🙏🙏🙏🙏
@bernadettemwende8862
@bernadettemwende8862 Год назад
Eeeeiiish ❤💕💕💕💕 Hongera Ann kwa Kazi Safi. 😍 You never disappoint. Its always hit after hit. 😘 Mwenyezi Mungu akuzidishie neema ya kutangaza injili yake kwa uimbaji. 😍💞
@dimitriosbyabato881
@dimitriosbyabato881 Год назад
Wimbo nimeusikilza tangu asubuhi hadi jioni siuchoki. Hongera sana dada kwa kazi nzuri
@agatonngailo6632
@agatonngailo6632 Год назад
Honger wimbo mzur mtumish wa mungu
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Amina🙏🙏
@elfridaishengoma3145
@elfridaishengoma3145 Год назад
Hongera hakika umebalikiwa
@michaelmuimi9811
@michaelmuimi9811 Год назад
Already 5.2K views in 7 hrs, thoughly 1k Views per hour. Magnificent singing with modern styles. Hakika kwa bwana kuna baraka na uzima furaha pia amani tele.
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Thankyou so much Michael for the compliment🥰😘♥️♥️. Hakika kwa Bwana kuna uzima na amani tele.🙏🙏🙏
@user-ck1yl8sg8k
@user-ck1yl8sg8k Год назад
❤❤❤❤❤❤❤love ❤️ 😍
@israelm.1481
@israelm.1481 Год назад
Wimbo mzuri,tuzidi kumtukuza Kwa nyimbo
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Amina🙏🙏
@annewangui2197
@annewangui2197 Год назад
Angelic voice Annastacia. B blessed
@chriswambua10
@chriswambua10 Год назад
A good message in the song but "wema wako wa ajabu" so lit. That song hits differently 😍😍😍
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Thankyou🙏
@marynjeri5404
@marynjeri5404 Год назад
We have seen your video's and music 🎶 we have enjoyed them we have subscribe them
@charlesomahe462
@charlesomahe462 Год назад
Hujawai kutuangusha. Unaupiga mwingi sana katka kristo hongeraaa
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
AMINA🙏 Asante sana kwa kutazama!♥️
@selektahiannoh
@selektahiannoh Год назад
Wimbo mtamu
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana 😊🥰
@jontesherrif6452
@jontesherrif6452 Год назад
Wimbo mtamu sana hongera sana kwa wote waliofanikisha kazi hii
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana Jonte🙏♥️♥️♥️
@jontesherrif6452
@jontesherrif6452 Год назад
@@anastaciamuema Karibu sana from Kenya napenda sana nyimbo zako
@frankzacharia4526
@frankzacharia4526 Год назад
Huu wimbo niliusubili sana.
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Barikiwa sana❤
@mathewmule433
@mathewmule433 Год назад
Barikiwa sana
@elvirakombe8385
@elvirakombe8385 Год назад
Daaah. Hatimae cku Imefika 🙏🙏❤️
@getrudawillison6929
@getrudawillison6929 Год назад
Ameni my dear siogopi nakuja, "sitashindwa tena" strong message lakini mbona ukisema God is good wale brothers wanaitikia wakiimba maneno ya lugha sielewi maana ya maneno hayo ni nini my dear friend ❤️❤️❤️❤️❤️🤝🤝
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Hayo ni maneno ya ki-Nigeria. Our God is good- Chukwuamaka Mungu wetu wa amani- Chukwubuudo Mungu wetu mwenye nguvu- Chukwudiike Mungu wetu ni wa msamaha-Chukwudiebere
@MasikoHillary
@MasikoHillary Год назад
Wonderful song
@neemasekalinga805
@neemasekalinga805 Год назад
Nyimbo nzuri sana hongera miss Anne
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana Neema🙏♥️
@user-yo9rp8rf2n
@user-yo9rp8rf2n Год назад
❤❤ l love you my dear you number one
@suzziekei2041
@suzziekei2041 Год назад
Another favorite added to my playlist.Beautiful voices🥰🥰🥰wimbo mtamu sana.Wacha nianze kuisambaza vilivyo 😊😊
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana dear. Naam nisaidie kuisambaza na utabarikiwa zaidi!🤗🤗🥰🥰🥰♥️♥️♥️
@benardmaina6319
@benardmaina6319 Год назад
Great music, when can it be sang during the mass
@zingiyedeo9211
@zingiyedeo9211 Год назад
I think it can suit communion time
@STEVE-zd7ou
@STEVE-zd7ou Год назад
Boooom!!! another hit from my favourite ❣️❣️🤛🤛wueeh💯USIOGOPE NJOO💪💪
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
AMEN AMEN. Be blessed Steve🙏♥️♥️
@annastaciakilonzi382
@annastaciakilonzi382 Год назад
And by the way,@annastacia muema,wewe ni mkamba ama?😜🙈
@sylvia430
@sylvia430 Год назад
Yeah 😂
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Half-Cast wa Ukambani ya 254 and 255.😅😅
@sylvia430
@sylvia430 Год назад
@@anastaciamuema Ala😅😅😅
@SabinaLoiton
@SabinaLoiton 4 месяца назад
❤❤❤ nice song I like it though am not catholic but am in love with there songs
@mathahphiri6361
@mathahphiri6361 Год назад
Nice song but try to lyrics in english please
@KipngetichBrayo-vj8vp
@KipngetichBrayo-vj8vp 5 месяцев назад
Mungu akulinde Kila wakati na akuongezee sauti Anastasia be blessed.
@mamaafricah8592
@mamaafricah8592 Год назад
Asante Kwa wimbo nakupenda sasa dada unanifariji saaaaana
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana. Mwenyezi Mungu akubariki🙏🙏♥️♥️
@adikechris9197
@adikechris9197 Год назад
I am so blessed to hear you sing in my local dialect Igbo in Nigeria 🇳🇬. Chukwudiebere.
@scholasticaelias2794
@scholasticaelias2794 Год назад
Huu wimbo 🔥 mtamu sana hauchoshi kusikiliza aise nafarijika sana, hongera sana Mungu awabariki🙏🤗
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Amina🙏. Ubarikiwe sana Scholastica🙏🙏
@scholasticaelias2794
@scholasticaelias2794 Год назад
@@anastaciamuema 🎼🙏
@philipndirangu7344
@philipndirangu7344 Год назад
Wow👏👏🎹🎹This is incredible 💫✨💫✨💯... This video deserves a millions of views... Our God is good oooo 😅😅😅😅... Congratulations
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Ameeeen🙏 From your mouth to God’s ears!🙏😘
@japhetielias4320
@japhetielias4320 Год назад
Waooooh mashalah 🥰 ubarkiwe Mungu akupe maisha marefu
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Thankyou🙏♥️♥️
@user-lk1zt5eb5p
@user-lk1zt5eb5p Год назад
Napenda nyimbo zako xana mungu azidi kukuongoza ni veronicah gesare (faith) kutoka nchi jirani kenya
@peterkesike5926
@peterkesike5926 Год назад
Yye pia ni mkenya sio mtanzania 😅 kutoka taita
@JeniferAlexlorryLorry
@JeniferAlexlorryLorry Год назад
Waohhh mungu akubariki kuitikia wito wakewakuifanya kazi zake🎉
@antipascann2797
@antipascann2797 Год назад
Tangu jana hadi sasa hivi bado upo on repeat,i cant explain how i feel wimbo mtamu hvi ukiimbwa kwa sauti ya kimalaika na ubunifu wa hali ya juu kiasi hiki,am so proud of you anastacia......God keep blessing u
@felistusmbesa4053
@felistusmbesa4053 Год назад
So excited about the song too, a nice one🔥
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Aaaawwwww🥰🥰🥰. Thankyou so much Antipas Cann.🙏🙏🙏 May God bless you too😊😊
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
@@felistusmbesa4053 I’m so glad you love it.😍😍
@doreenchris8989
@doreenchris8989 Год назад
Nimengoja ii wimbo sana🥳Ubarikiwe sana🙏
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana Doreen kwa kusubiria bila kuchoka. Ubarikiwe sana mami❤❤
@anastasembarushimana
@anastasembarushimana Год назад
Nyimbo zako ni tamu sana ni shabiki wako kutoka nchi ya Rwanda kabisa enderea Mungu akubariki🙏
@joycekayanda1203
@joycekayanda1203 Год назад
Astazia, Ray ni level nyingine kabisa I love you so much guys, God what a sweetest song. God bless you ❤️🥰🔥🔥💪🤝🙏
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana Joyce. Be blessed🤗
@peterkesike5926
@peterkesike5926 Год назад
Wuee 🤣🤣 hii iko juu zaidi Anastacia yaani hadi nimepause kula nilipokuwa naskiza
@st.gregorythegreatchoir843
@st.gregorythegreatchoir843 Год назад
Anne hujawahi kosea, tamu sana aseee........ Hongera sana kwa kazi nzuri sana, tunaenda kwa Yesu
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana dear. Tumshukuru Mungu kwa yote🙏🙏🥰🥰🥰
@erizabeticharles8857
@erizabeticharles8857 Год назад
Aisee hongera Sana dada anastacia mamboo Ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana dear❤❤❤
@vincenttoo4416
@vincenttoo4416 Год назад
Afternoon 🌞 it's by the Grace 🙏,kazi safii, baraka Tele,❣️
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana Vincent❤❤❤
@annawanyonyi6855
@annawanyonyi6855 Год назад
I like the moves of the dancers, the Nigerian part is just woow,,,, the harmony is wonderful,May God bless you abundantly
@sylivesterkessy7644
@sylivesterkessy7644 Год назад
Nyimbo nzuri sana i like it kazi nzuri sana
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana Sylivester🙏♥️♥️
@rosegeofrey8413
@rosegeofrey8413 Год назад
Nilisubiri kwa hamu. Sana I love this song❤️❤️❤️
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana kwa kuwa mvumilivu! Ubarikiwe sana❤🎉🎉
@ozanasylvester3663
@ozanasylvester3663 Год назад
Kazi nzuri pongezi kwa wote mliofanikisha kazi hii. Your Internation
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana. Ubarikiwe sana🥰
@JastinMassawe
@JastinMassawe Год назад
Woow Anastacia Nazipenda kazi zako always may God bless you 🙏🙏
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Amen🙏🙏
@sylvia430
@sylvia430 Год назад
Wow,moto kama pasi❣️🔥❤️
@anastaciamuema
@anastaciamuema Год назад
Asante sana🙏♥️
Далее
Anastacia Muema - Ni Mungu Tu (Official Video)
4:41
Просмотров 1,3 млн
Cristiano Ronaldo Surpassed Me! #shorts
00:17
Просмотров 11 млн
Nicholas Mango -TUMTUKUZE MILELE (Official video)
3:39
Anastacia Muema- Wewe ni Wangu (Official Video)
5:57
Anastacia Muema- Shukrani Yangu (Official Video)
5:37
Просмотров 984 тыс.
NDIVYO ALIVYO
3:24
Просмотров 2,3 млн
Anastacia Muema - Pongezi Kwa Utume ( Official Video )
6:09
SITABAKI KAMA NILIVYO (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
7:25
Просмотров 1,2 млн
Anastacia Muema - Umenitoa Mbali (Official Video)
4:09