Тёмный

ANGALIA JINSI HUYU MCHUNGAJI ANAVOMSALITI MKE WAKE INAUMIZA SANA| TASTE OF SIN 

E 7bits
Подписаться 151 тыс.
Просмотров 239 тыс.
50% 1

JE WEWE NI HUYU?
• Unataka kukuza kipato chako na kujiingizia laki 1 Hadi 5 kwa week.
• Unataka kuanzisha biashara kwa kutumia muda Wako wa Ziada.
•Tunapanua WiGo wa soko hapa Jijini tunatafuta watu chanya ambao tunaweza kufanya nao kazi.
• Tumejikita katika tasnia ya afya inayompa mtu nafasi ya kumiliki mfumo wa usambazaji WA bidhaa na kukuza kipato chake.
kama ni wewe au Kuna mtu unamfahamu basi:
TUPIGIE +255758665268
AU
KWA MITANDAO YA KIJAMII
Facebook, Instagram,TikTok
KAMA
@biasharainalipa
⚠️CREDITS:
Watch Full movie on : NETFLIX
Movie name : TASTE OF SIN
Genre : Drama
Year :
Follow us :-
Instagram- e7bits?igsh...
Tiktok- tiktok.com/@e7bits
Follow KONKA on Social :-
Instagram- izkonka?igs...
Tiktok- tiktok.com/@izkonka

Развлечения

Опубликовано:

 

26 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 506   
@sishamusic
@sishamusic 3 месяца назад
Jamaniiii kila siku nachelewa😢 naomba hata like kidogo
@ozil_artvdeo
@ozil_artvdeo 3 месяца назад
👍🏾
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 3 месяца назад
Upuuzi tu like zinawasaidia nn🙄
@sishamusic
@sishamusic 3 месяца назад
@@SekelaJakson-ls7dd kamuulize mama ako
@SafayaPlatnum-zz1dz
@SafayaPlatnum-zz1dz 3 месяца назад
Mi nakupa zawadi ya comment wewe utanipa nini?
@FanuelMhonjwa-fm1oe
@FanuelMhonjwa-fm1oe 3 месяца назад
Juxt imagine watu wako online anytime kumcubili sauti ya mamlak a.k.a konkaaa ..nkajua Niko first ap😅😅any way ata like kumi basii..😅😅
@e7bits_tz
@e7bits_tz 3 месяца назад
Chukua aisee😅
@FanuelMhonjwa-fm1oe
@FanuelMhonjwa-fm1oe 3 месяца назад
@@e7bits_tz pamoja 👍
@ShukranMwakyambo
@ShukranMwakyambo 3 месяца назад
Ni mimi huyuùuu kabisaaa
@emboababanner87
@emboababanner87 3 месяца назад
konka una changamoto gan asee..mbona siku hiz mizgo inachelewa..
@rachaelveatus
@rachaelveatus 3 месяца назад
Hata mimi 😂
@CK-ri1mo
@CK-ri1mo 3 месяца назад
Daah Kila siku ninachelelewa ila naomba like japo Tano tu
@godfreyissack1492
@godfreyissack1492 3 месяца назад
Daa bonge ya muvi true MUNGU NI MKUBWA
@FanesKalumbwa
@FanesKalumbwa 3 месяца назад
Nimejifunza usitamani 😢, na msimkatie mtu tamaa maana mungu ndo anajua wakati sahiho waku m bless🎉
@Mambalyelibarick
@Mambalyelibarick 2 месяца назад
Hunena kak
@Mambalyelibarick
@Mambalyelibarick 2 месяца назад
Umenen kak
@azizakazimoto6692
@azizakazimoto6692 3 месяца назад
Nimejifunza Mungu yupo na ukimtafuta kweli bila kukata tamaa anakuonekania na anakutetea! Mungu atuongoze!
@MarryKepha
@MarryKepha 3 месяца назад
Jaman nimechelewa leo😢 like hata tano tu😊
@alphaxhosa8248
@alphaxhosa8248 3 месяца назад
Shukrani kwa ukumbusho kaka Ni kweli Mungu Anasamehe dhambi zote pale tunapofanya toba UA kweli
@mecklion4710
@mecklion4710 3 месяца назад
Wa mwsho leo ...nipni like siku nyngne niwe wa kwnza
@TundaEmanuel-ns8kj
@TundaEmanuel-ns8kj 3 месяца назад
Jamn wa 66 Leo mnipe like zangu nimejitahd 😂
@Sarahsaid2648
@Sarahsaid2648 3 месяца назад
Nimejifunza haitakiwi kukata tamaa Mungu anaweza kukuinua tena
@idayaedson703
@idayaedson703 3 месяца назад
Once again #Kimu_Dalla all de way from KIGAMBONI Big shout out to you broda #Konkaaa🦋🦋
@marryofficial9143
@marryofficial9143 3 месяца назад
Nimejifunza when jesus say yes nobody can say no lucy alipimwa hana kizazi lkn Mungu alimpa tena kizaz🙏🏻🎉
@timothyzablon3224
@timothyzablon3224 3 месяца назад
Hakika Mungu wetu ni Mungu wa neema na rehema amejawa na huruma haangalii kuanguka kwetu bali anaangalia kuinuka kwetu,,hafurahii kifo cha mtu mwenye dhambi
@MagrethMwanyagama-ym6fe
@MagrethMwanyagama-ym6fe 3 месяца назад
Wa kwanz like zangu
@peterkaombwe6251
@peterkaombwe6251 2 месяца назад
Mungu ni mkuu sana tusikate tamaa tumwabudu kweli kweli
@carolineawadhy5504
@carolineawadhy5504 2 месяца назад
Amen. Nimejifunza Rehema za Mungu zipo juu ya watu wake tuendelee kujinyenyekeza kwake
@lanto3409
@lanto3409 3 месяца назад
MUNGU akupe itaji la moyo wako nimebarikiwa na hii movi na ushauli wako wa mwishoni mwa movi najiona mpya sasa kwa yote niliyo mtendea mchumba wangu ubarikiwe sana na e7bites ikuwee sanaa
@user-wk8xg7gw8t
@user-wk8xg7gw8t 3 месяца назад
Tuzidi kumwamini Mungu 🙏
@HusnaAthumani-yf8mc
@HusnaAthumani-yf8mc 2 месяца назад
Kutubuu ni muhimuu sanaa hakikaaa munguu hamtupii mtuu mwenye kujutia aliyoyatenda kwa makosaa
@Ansii806
@Ansii806 3 месяца назад
Jaman mm leo kwa mara yakwanza nimewahiii naomben like zenuuu😢😢😢😢
@MrsAbou-wd1ik
@MrsAbou-wd1ik 3 месяца назад
Alhamdulillah I learn that Allah is Allah no matter what don’t forget to pray&swala are important than anything thing in this world
@peterpatrick7825
@peterpatrick7825 3 месяца назад
Una simulia vyema sana movie God bless you
@ayshasfyan3260
@ayshasfyan3260 3 месяца назад
Mung hawai wala achelew anajib kwawakat imani ni dawa kubwa san love u Allh
@CharlotteMuyenga
@CharlotteMuyenga 3 месяца назад
Nimejifunza Mungu wetu in mwingi wa Rehema ata ukifanya Kosa gani atakusameya na atakupokea Tena. Mungu wetu ni mwingi wa fadhili 🙏🏻🙏🏻❤
@Pilioni_
@Pilioni_ 3 месяца назад
Mungu anasamehe hilo ndilo naweza sema
@estherlugina4231
@estherlugina4231 3 месяца назад
Nguvu ya msamaha, na kumtumikia Mungu katika Roho na kweli bila ya kuwa na tamaa ya vitu
@amena1-vy2xd
@amena1-vy2xd 3 месяца назад
Hakuna kinachoshindikana kwa Mungu
@Elizakilisipinilikolika1996
@Elizakilisipinilikolika1996 3 месяца назад
Hakuna kinacho shindikana kwa mungu kira kitu kinawezekana amen
@FadhilaFadhila-wi5wh
@FadhilaFadhila-wi5wh 3 месяца назад
Mungu anamiujiza mikubwa. Hakuna kinachoshindikana kwake.
@user-oe9on3nx3q
@user-oe9on3nx3q 3 месяца назад
MUNGU ni kila kitu katika maisha ya mwanadamu anajua yaliyopita yasasa na yajayo milele
@mayaashassan3918
@mayaashassan3918 Месяц назад
Mungu atubakiri wanawake tunao angaika kutafuta watt😢😢
@KomboShariff
@KomboShariff 3 месяца назад
Kweli Amin bro nimejifuza usikate tama kwenye ndotoyako na kumuhamini mungu❤
@user-vy5nj4ns8t
@user-vy5nj4ns8t 3 месяца назад
Nampenda sana Huyu kaka Anavo fafanua Mungu akutunze
@matabalimbu7755
@matabalimbu7755 3 месяца назад
Ukimtumikia mungu kwa uaminifu inalipa.
@islabocco478
@islabocco478 3 месяца назад
Ety nuhu ndio alisulubiwa jamn😂😂😂
@johnnycynaite8226
@johnnycynaite8226 3 месяца назад
Mungu ni mwema kila wakati
@marytaban4825
@marytaban4825 3 месяца назад
Siku zote Mungu ni mkubwa na mshindi ukimtumaini tu amen 🙏
@EmmyPhilimon
@EmmyPhilimon 3 месяца назад
Emen yess yan ukikubali kutubu umemaliza yote
@MeshackBalagasi
@MeshackBalagasi 3 месяца назад
Nimejifunza kuwa ukimwamini mungu kwa kila jambo linawezekana kwake.
@user-qk1el5jr5t
@user-qk1el5jr5t 3 месяца назад
Mimi namwamini mungu kila wakati na namshukuru kila Jambo mungu nimwema kila wakati 🙏🙏🙏
@angelngoye4910
@angelngoye4910 3 месяца назад
Nimejifunza kwa Mungu everything is possible.. have faith🙌
@bharackakamugisha8420
@bharackakamugisha8420 3 месяца назад
Naonaaa watu wanadai like daily sijui zinasaidia nn na mm naombeni hata like 20 tuu
@user-bs2mt5ox2r
@user-bs2mt5ox2r 3 месяца назад
Kwwli huyu mwambaaa ni konkaaaaaa big up xana
@ZakariahakimuZakariahakimu
@ZakariahakimuZakariahakimu 3 месяца назад
Ameni kama umekubali mungu niwetu sote koment 100 niskose❤
@dicksonhenry345
@dicksonhenry345 Месяц назад
Wa kuukumu ni mungu tu, na si mwanadamu
@mosesiMadiru
@mosesiMadiru 3 месяца назад
Nimeipenda sana Kila jambo Lina wakati wake Kuna wakati unaweza ukaria kutaka hiki ila kama mungu hajapenda huwezi pata ❤❤❤❤
@batapoint
@batapoint 3 месяца назад
Konkaaa sina la kukwambia ila mungu akuinue . Mm shabiki Yako mpaka kufa
@abdallahshaally17
@abdallahshaally17 3 месяца назад
Mungu ni mwema❤
@Shadia544
@Shadia544 3 месяца назад
Kila siku nachelewa daah haya tunasikiliza hapa mwamba tunainjoi tuuu unajua sana kutufurahisha upo kimyaa sana tunamis hizi mover mwamba ❤❤❤
@MasukiDambi
@MasukiDambi 3 месяца назад
Nimejinza kuwa usikate tamaa kwa yule uliyempenda
@octaviansp-de1vs
@octaviansp-de1vs 3 месяца назад
Nimejifunza kama ulicho jifunza wewe ila inshort mungu amekubariki una kipaji kikubwa sana naomba uongeze bidii na umuombe mungu pia na kumshukuru pia! Good job.
@ferouzmasoud3104
@ferouzmasoud3104 3 месяца назад
Mwamba unajua sanaaa kusimulia hongera kaka
@e7bits_tz
@e7bits_tz 3 месяца назад
Asante sana
@RoseAmos-iv6bq
@RoseAmos-iv6bq Месяц назад
Kwakwel mungu hashindwi
@BazileTresor
@BazileTresor 2 месяца назад
amen kutenda kosa sio kosa ila kurudia kosa Ndio kosa
@dianamichael6812
@dianamichael6812 3 месяца назад
Mungu wetu anasemeh n anajibu wale WALOOMBA kwa Nia n kweeliii huyu ndo mungu wetu🙏🙏
@anithamsaki2040
@anithamsaki2040 3 месяца назад
Mungu ndo Kila kwenye maisha yetu tusikate tamaa kumuomba munguu
@MiriamMollel-bg7pj
@MiriamMollel-bg7pj 3 месяца назад
Nimejifunza hakuna jambo liliwahi kumshinda mungu na uvumilivu ni kila kitu
@christianluvanga2673
@christianluvanga2673 3 месяца назад
God's Timing Is Perfect 🙏
@fatumamwaipopo41
@fatumamwaipopo41 3 месяца назад
Naomben like 1 nilale
@ramadhanbarbary393
@ramadhanbarbary393 3 месяца назад
Noma sana
@user-xk7hi5gj4m
@user-xk7hi5gj4m 3 месяца назад
Mm wa 50 jamna ❤
@alifhmach_mozambique4355
@alifhmach_mozambique4355 3 месяца назад
Mungu nikila kitu.
@mwajbungoma3635
@mwajbungoma3635 3 месяца назад
Kweli mungu wakwe2 wote❤❤❤❤
@iam_jackie-xs1mz
@iam_jackie-xs1mz 3 месяца назад
unajua broh,😊 ze la ku tune
@theophilvocalist
@theophilvocalist 3 месяца назад
You guy Mungu akubariki sana natamani sana kuonana na wewe tuzungumze zaidi
@khidhryhilmy-tz3te
@khidhryhilmy-tz3te 3 месяца назад
nakubali sana yan
@SeguinNumbi
@SeguinNumbi 3 месяца назад
Na kukubali sana bro❤❤❤❤😊
@user-oc4ev3dk9c
@user-oc4ev3dk9c 3 месяца назад
Nimejifunza tuwe na Imani Sanaa kweny kila Jambo , piia mungu ndo kilaa kitu2
@FurahaHappy-jd4jl
@FurahaHappy-jd4jl 3 месяца назад
Hakuna linalo mshinda Mungu jamani,na ukiona mwenzako ameanguka apana kumusemeya mabaya wala kumushindiliya cini inabidi umuombeye saba mungu hana ubaguzi hata wenye zambi anawapenda❤❤
@ireneviane970
@ireneviane970 3 месяца назад
Nimejifunza mungu usamehe mtu yoyote anaekosea na kumrudia kwazati
@ClassicMk-rv6lz
@ClassicMk-rv6lz 3 месяца назад
Ubarikiwe sana kwahii muvi umeileta wakati sahihi nimejifunz ki2 kikubwa san
@vivianjonathan1783
@vivianjonathan1783 3 месяца назад
Akakipa unyama❤
@user-on5kg6cl5n
@user-on5kg6cl5n 3 месяца назад
Hakuna kinachoshindikana mbele za MUNGU na tunachotakiwa kujivunia ni kwamba hata umkosee Mara ngapi MUNGU bado atakusamehe na kukunyanyua Tena Amen🙏
@ELLAHENOS_
@ELLAHENOS_ 3 месяца назад
Sijui upewe nin wew kaka ilaa Mungu akutunze for me and all ur fans ❤❤❤,,,,, Amen Mungu ni wety sote
@donaldvanjoseph8153
@donaldvanjoseph8153 3 месяца назад
imani ni kila kitu🙏🙏
@user-nm4te4dm2j
@user-nm4te4dm2j 3 месяца назад
Bro uko poah sana napenda sana recap zako daaaah zna mafumzo sanaaaa❤❤❤❤
@moreenfelluzy3243
@moreenfelluzy3243 3 месяца назад
Yaaan hii saut ya huy msimuliaji inanichangnyag San aisee
@user-qx6hg8xr7e
@user-qx6hg8xr7e 3 месяца назад
Uvumilivu na Imani 🙏🙏
@johnnykallaghe7704
@johnnykallaghe7704 3 месяца назад
God Over Everything 🙌🏽
@estanamihambi2084
@estanamihambi2084 3 месяца назад
Mungu ni mwema na ni mwenye haki mara zote, hakika yeye ni mwenye fadhili sana.🙏❤️
@jennymnishi7676
@jennymnishi7676 3 месяца назад
Bro muvie imenitoa machoz nahc ni kam Mungu amenikumbusha kitu ubarikiwe sana sana,!!❤
@e7bits_tz
@e7bits_tz 3 месяца назад
Asante sana
@swabramohammad4487
@swabramohammad4487 3 месяца назад
Kama mm pia 😢
@MwanaidiHassan-wq3uh
@MwanaidiHassan-wq3uh 3 месяца назад
Napenda sana mov zako❤
@user-tk7ve7sn2g
@user-tk7ve7sn2g 3 месяца назад
Mungu ni wa rehema siku zote👏🤗
@PonchaCastro-ho9wr
@PonchaCastro-ho9wr 3 месяца назад
Eti noah alisulubiwa kwajir yazambi za wanadamu wee konka miyayushoo kichiz 😂
@SharuneMsemo
@SharuneMsemo 5 дней назад
Mungu ni mkuu na hamwachii mjaa wakee mwenye kumtumikia na kumtegemea pia
@kelvinkessy2084
@kelvinkessy2084 3 месяца назад
Nimejifunza kuwa, Mungu ni wa rehema na huruma.
@stevkaliona4107
@stevkaliona4107 3 месяца назад
Mungu usimjalibu na vitu vya kijinga kbs mungu n mwema woteeeee@gonga like kama unamkubali @izkonkaaaaa❤
@e7bits_tz
@e7bits_tz 3 месяца назад
🙏
@barakaima7066
@barakaima7066 3 месяца назад
Imenigusa sana adi nime sisimkaa🥲🥲
@dorcaserick4473
@dorcaserick4473 3 месяца назад
What a movie.....Gos is great!!!❤
@user-tv6ii7pc4z
@user-tv6ii7pc4z 3 месяца назад
Mungu aitwe Mungu ❤❤🙏🙏🙏
@shukran26love1
@shukran26love1 3 месяца назад
Mungu hadhiakiwi❤❤❤ kwaajili ya maokoto
@kibokotv727
@kibokotv727 3 месяца назад
WA KWANZA LEO NAOMBA LIKE 🎉🎉🎉🎉
@educeven1298
@educeven1298 3 месяца назад
Unyama sanaa kk
@EstherHenry-lm8ll
@EstherHenry-lm8ll 3 месяца назад
Asante inaniongezea iman
@user-bt6el2co9h
@user-bt6el2co9h 3 месяца назад
Amen bro sooo deep kaka 😢
@FahadHasira
@FahadHasira 3 месяца назад
Sema mjomba unajua sanaaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@user-ij8ht2vz2p
@user-ij8ht2vz2p 3 месяца назад
Hii recap ya huu mzigo niliisubiri sanaa🙌
@user-xt4pr8hr5m
@user-xt4pr8hr5m 3 месяца назад
Unacherewa kutowa mizigo bhana
@ScolaKimaro
@ScolaKimaro 3 месяца назад
Never give up 😊
Далее