Nakupenda sana dada Angela unaposemaga kioo o kioo oo na sauti Yako VA kuvuma Yani unajua sana kuimba nashangaa toka umeachana na konde asiejua kumiliki lebo hujatupa Radha sasa tunataka Ladha 🎉🎸🎸🎸🎵🤳
Kumbuken kua mikataba ya wasanii ikoje na msiwe mnaongea tu anjella kupokonywa gari nikwasabu alivunja mkataba mwenywe koz mali za lebo zinatakiwa kuchukuliwa kwaiyo msiwe waongeaji sana ndugu zangu ❤
Hakuna chakuteteya hapo, mikataba ya wcb na harmo hamtaki kuinyoosha mnakaliya kusema oo walimnyonya .mbwaa nyiyee leo imekula kwenu hata kama hamjapika.anjela mlimnyonya sasa zuchu kamdahawisha mateso ya ugengeni
Kama hao wanakupenda si wakupeleke hospital 🏥 ukatibiwe mguu wako upone kuliko kukupa gari na ww umepata kibuli kuyasema yote hayo haya anjella yangu macho tuu🥺
Kwanza siyo pisi kali kama anavyosema harmonize alimuokota huko hata watu walikuwa hawajui jina la anjella ba harmonize yupo poa sanaa kwa diamond hautoki mpaka ulipe million mia sita nenda kichwa kichwa saini mkataba hatokuacha usimtukane mamba wakati bado haujavuka mto gari tuu mitusi inakutoka mdada 😂😂😂😂