#muamuzi#wa#kesho#yangu#
Hata kama katika maisha yako kuna watu unao wategemea iyo sio sababu ya wao kutabir hatima yako
,Sisi tunavyo waza ni tofaut sana na Mungu ndio sababu Tusio wazania Mungu ana wafanya mshangao kwetu .
Heshim kila mtu maana hujui kesho yake na rait ungejua huyo unae mdharau ninani kesho bas ungemtendea wema Leo maana kesho huyo mtu ata kushangaza ,
TUNA MSHUKURU MUNGU PAMOJA NA WEWE MSOMAJI MAANA HATUWEZ KUFA KWA KUTAKA WAO BAL KWA KUTAKA MUNGU.
,IVYO USIHOFU YUKO MUNGU MUAMUZI WA KESHO YAKO
,NYENYEKEA NA UWE NA IMANI IPO SKU MUNGU ATAKUFANYA MSHANGAO KWA JAMII YAKO.
(Even if there are people in your life whom you depend on, that is not a reason for them to predict your destiny
What we think is very different from God which is why we do not think God has a miracle for us.
respect everyone because you do not know tomorrow and rait you would know the one you have contempt for tomorrow but you would treat him well Today because tomorrow that person will be amazing,
WE THANK GOD ALONG WITH YOU THE READER BECAUSE WE CANNOT DIE FOR THEIR OWN BAL WAY FOR GOD.
, SO DON'T BE AFRAID THERE IS GOD JUDGING YOUR TOMORROW
, HUMILITY AND HAVE FAITH THERE IS A DAY WHEN GOD WILL MAKE YOU A SURPRISE FOR YOUR COMMUNITY.
artist Annoint Amani
song Muamuzi wa kesho yangu
album Fainal ni kesho ,
VIDEO A.E.A BY MEDDY +255712621330)
AUDIO A.E.A TONES producer by meddy +255712621330)
(language Swahili)
Tanzania Dar Es salam
booking Email.amananoint@gmail.com)
+255767240181= +255755099942
11 окт 2024