Тёмный

APATA UPADRISHO AKIWA NA MIAKA 51,AJIUNGA SEMINARI AKIWA NA MIAKA 33,ALICHAPWA ATIMIZE WITO WAKE 

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Подписаться 110 тыс.
Просмотров 17 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 50   
@roseswai5570
@roseswai5570 4 года назад
Oooh ni kweli Mungu ambariki sana. Namfahamu sana na hata baada yz Upadrisho wake alitutembelea nyumbani. Mimi naamini Mungu snapoamua kukuita kuwa mtumishi wake hata ukimbie lazima utaitika tu. Ni kama Yona alivyokuwa anakataa maagizo ya Bwana hadi kumezwa na samaki akajikuta Ninawi. Pd Richard Mungu aendelee kukutumia sawasawa na wito wake aliokuitia. ( Mimi ni Rose Vitalis Swai) Historia yako inatia moyo,na kutokukata tamaa.
@paulina.baynit7970
@paulina.baynit7970 4 года назад
Hongera sana pd Laswai, mimi nimepata bahati ya kukufahamu ukiwa Karatu. Nafahamu ulivyo kuwa mchapakazi, mnyenyekevu na mcha Mungu sana. Mungu azidi kukulinda kukutunza na kukubariki.
@davidamundala9720
@davidamundala9720 4 года назад
Mzuri sana ndungu, Baba Mungu apewe sifa kwa uwito wako wa upekee yenyi kuonyesha ukubwa na uwezo wake Baba Mungu. Kitume njema ndungu. D.alphonse Marie.
@eustacemgawe5454
@eustacemgawe5454 4 года назад
Baba naomba Mungu aendelee kubariki utashi wako katika kumtumikia kwa uaminifu na ukamlifu wote.
@catherinebonaventure9514
@catherinebonaventure9514 4 года назад
Barikiwa sana padri wangu Mungu azidi kuwa nawe daima uzidi kutuongoza AMINA
@paulosabina1034
@paulosabina1034 4 года назад
Mungu azidi kukubariki sana na kukuonhiza katika utume wako.
@restustanjau322
@restustanjau322 4 года назад
Hongera sana baba Padre.kwa kweli mpango WA Mungu kwa wanadamu huwa unatimia
@modestkapesa3200
@modestkapesa3200 4 года назад
Hongera Sana Baba padre kwa wito, ningeshauri hii historia ya Baba ingewekwa kwenye kumbukumbu za kanisa ili iweze kuwahamasisha vijana kuitikia miito mbalimbali
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC 4 года назад
Sana tunashukuru kwa maoni
@happymaiga4963
@happymaiga4963 4 года назад
Hongera baba ujaliwe utume mwema. Kweli wewe umeitwa kuwa mtumishi wa Mungu
@godfreymwambwalo5282
@godfreymwambwalo5282 4 года назад
Hongera sana Baba naomba utoe CD ushuhuda huu ni mzuri sana
@blandinakimbe4019
@blandinakimbe4019 3 года назад
Barikiwa sana
@neemajohn563
@neemajohn563 4 года назад
Hongera Sana father mungu ni mwema Kila wakati
@rosemarychuwa8696
@rosemarychuwa8696 4 года назад
HAKIKA TUACHE MUNGU AITWE MUNGU, HONGERA SANA FR, 🙏🙏🙏 NAKUMBUKA UMETUHUDUMIA PIA PAROKIA YA BASHAILAMBO (KARATU)
@deogratiasrugangila3100
@deogratiasrugangila3100 4 года назад
Hongera sana baba kwa kusikia wito bora na hakika historia yako ni mafunzo tosha kwa vijana wetu.itapendeza waandishi wakakufuata huko uliko ili kumbukumbu hizi zikae vizuri
@baltasartemu2153
@baltasartemu2153 4 года назад
Ungemwacha asimulie historia yake....unamtoa relini
@lugembesimon7035
@lugembesimon7035 4 года назад
Hongera sana,Ila tunaomba radio maria wamfuate ana kwa ana
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC 4 года назад
Usijali janga la corona likiisha tutakwenda
@kelvinsoko2326
@kelvinsoko2326 4 года назад
hongera sana padre mungu ana kusudi lakehuu ndio ulikuwa witu wako
@chrismwanjalika9892
@chrismwanjalika9892 4 года назад
Naomba Mungu Upate kumtumikia kama Padre kwa muda mrefu zaidi ya kawaida.
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC 4 года назад
Asante sana
@hendrycomonsiwenga1084
@hendrycomonsiwenga1084 3 года назад
@@KANISAKATOLIKITANZANIATEC Hongereni sana.
@vincentjacob320
@vincentjacob320 4 года назад
Namkumbuka sana Laswai wakati sisi tunaanza Form one Sanu Seminari yeye alikuwa kiranja wa Chakula.Kiukweli huyu mtu ni mvumilivu na mstaarabu sana.Ni mwenye hekima na busara sana wakati wote.Ni mtu wa kushauri pale mambo yanapokuwa hayaendi sawa.Natamani ningepata no zake nimsalimu
@geminassenga5303
@geminassenga5303 4 года назад
Hongera Sana Baba Padre
@martinmiston4403
@martinmiston4403 4 года назад
Mungu atukuzwe kwa ukuu wake..
@johannesmakwandi8000
@johannesmakwandi8000 4 года назад
Mungu akutie nguvu Baba nimependa sana
@josephinelyimo2423
@josephinelyimo2423 4 года назад
Hongera sana padri
@roseswai5570
@roseswai5570 4 года назад
Baada ya Upadrisho wake pia nilibahatika kukutana nae pale Msimbazi centre anayosema ninkweli tupu aisee mwacheni Mungu aitwe Mungu tu.
@gabrielkimario3115
@gabrielkimario3115 4 года назад
Kumbe hata Mimi sijachelewa nami natamani
@jasperorare6076
@jasperorare6076 4 года назад
May God be God forever he is indeed God
@godsgiftgreat4752
@godsgiftgreat4752 4 года назад
Historia yako Baba inasisimua sana.
@johnbusansa1502
@johnbusansa1502 4 года назад
Hata huku kwetu sumbawanga Diocese kuna Padre aliacha kazi ya serikali na akaenda seminary akiwa na umri mkubwa... Alipewa jina la YOHANE MARIA VIANE.. MWENYEZI MUNGU KAMCHUKUA😭 katika Miaka5+ ya Utume wake... MUNGU amrehemu... 🙏🙌
@cletusmwanauta9798
@cletusmwanauta9798 4 года назад
Bila shaka ni marehemu father sungura huyo
@pleonardkashatila4555
@pleonardkashatila4555 4 года назад
Ndiyo padre John Sungura alitoa huduma hapa Chala shirika LA masista Mungu ampe pumziko LA milele.
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC 4 года назад
Poleni sana...Mungu amlaze mahala pema peponi
@valechinga7893
@valechinga7893 4 года назад
Mungu akubariki baba
@melkiadesmogella6402
@melkiadesmogella6402 4 года назад
Nilisoma nae Ntungamo major Seminary Bukoba. Acheni Mungu aitwe Mungu.
@emmanuelmbaruti9676
@emmanuelmbaruti9676 3 года назад
Kweli Mungu ni mkubwa tulikuwa Sanu Seminari tuombee wengine tuliokuwa wasindikizaji
@johnnymallebo1189
@johnnymallebo1189 3 года назад
Mwenye namba na huyu padre
@johnbusansa1502
@johnbusansa1502 4 года назад
🙏🙌💪
@RwegarulilaIZIDORY
@RwegarulilaIZIDORY 4 года назад
Nimefurahi kufuatilia historia ya baba padri, inavutia na inaamasisha.
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC 4 года назад
Asante sana..mungu akubariki
@aidanitelesphory1362
@aidanitelesphory1362 4 года назад
Jamani naomba niunganishwe na Padre huyu
@chrismwanjalika9892
@chrismwanjalika9892 4 года назад
Fuata njia njema.
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC 4 года назад
Sawa nitakupa mawasiliano yake
@giftanna6351
@giftanna6351 4 года назад
Kweli naona una wito!
@giftanna6351
@giftanna6351 4 года назад
Tupatie mawasiliano ili kuomba ushauri
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC 4 года назад
ngoja niombe ridhaa yake kwanza
Далее
новое испытание
00:40
Просмотров 329 тыс.
На самом деле, все не просто 😂
00:45
новое испытание
00:40
Просмотров 329 тыс.