Тёмный

APR FC 2-0 Azam FC | Highlights | CAF CL 

Azam TV
Подписаться 2,8 млн
Просмотров 207 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 346   
@HusseinHussein-f7n
@HusseinHussein-f7n 2 месяца назад
hongeren APR jambo letu limeenda vzr si mulikuwa munashangiria kushika nafasi ya pili haya hiyo nafasi ya pili
@jeanclaudegasana5491
@jeanclaudegasana5491 2 месяца назад
Congratulations APR FC ❤
@Magic_vybz
@Magic_vybz 2 месяца назад
Kigali stadium ni nzuri sana
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 месяца назад
AZAM team mnazengua , mnaziba nafasi za watu , mnaenda tolewa kirahisi .. ongera APR mlicheza mpira mzuri sanaaa..
@GhayaAbdallah
@GhayaAbdallah 2 месяца назад
Congratulations APR 🎉❤💋
@youngb8672
@youngb8672 2 месяца назад
Apr oyeeee mlitaka sasa mmefika wap washenz sana SiMba forever. Mlitubania sana sana kikowap
@godfreyhiza1075
@godfreyhiza1075 2 месяца назад
Big up Azam, you get points of evaluation...hope next season ...Africa shall know you!!
@IsayaKesseni
@IsayaKesseni 2 месяца назад
Azam ni timu ya kipuuzi sana kazi kukamia yanga na Simba amna kingine
@BabuGga-td3mg
@BabuGga-td3mg 2 месяца назад
Azam uongozi mbovu, wanawalea sana wachezaji , familia iachie watu serious wanao ujua mpira kuwa sio kitu cha masihara.
@amosmahona433
@amosmahona433 Месяц назад
Very good
@UMUNEZEROTV
@UMUNEZEROTV 2 месяца назад
Congratulations to APR FC SONGA MBERE
@Mashauri-Ai
@Mashauri-Ai 2 месяца назад
*Mbele
@BeatriceMsonge-jv1mz
@BeatriceMsonge-jv1mz 2 месяца назад
⁠@@Mashauri-Ai😂😂😂 uko mbele kuna pyramid ndo maan kajikuta anaandika mbere
@suzankafwemba1919
@suzankafwemba1919 2 месяца назад
@@BeatriceMsonge-jv1mz 😂😂😂
@NgunoSangano-j2q
@NgunoSangano-j2q 2 месяца назад
Azam ovyo kabisa
@SalvatoryMbigili-m2f
@SalvatoryMbigili-m2f 2 месяца назад
Piramidy nae anaweza akafa we subili😅​@@BeatriceMsonge-jv1mz
@lana-zk5or
@lana-zk5or 2 месяца назад
Azam was everywhere 😂😂😂 Azam tv Azam fc Azam on APR jersey as a sponsor 😂😂😂 And after all thaaaat APR FC won😂😂😂 Congrats to all LIONS n LIONESS
@emmanuelthomas1078
@emmanuelthomas1078 2 месяца назад
Prince Dube ndo alikataa huu ushenzi🙄🙄🙄
@williamkimweri2293
@williamkimweri2293 2 месяца назад
Na huu ushenzi ndy aliutaka Feisali
@franklazaro2008
@franklazaro2008 2 месяца назад
Ww ndiyo umeongea ukweli
@EmmanuelCharzy
@EmmanuelCharzy 2 месяца назад
Tikiwaambia APR ni tim nzuri wanasema ni kibonde kucheza na simba kiko wapi wenye usajili wa maaana
@calvintheone299
@calvintheone299 2 месяца назад
Hakuna timu apo azam hawapo sirius
@SalvatoryMbigili-m2f
@SalvatoryMbigili-m2f 2 месяца назад
Apr hamna team sema azam ndo hovyo kabsa yaan bora angeenda hata namungo
@AmirMbuyu
@AmirMbuyu 2 месяца назад
Hongera APEREEE mmewafanya Azam walichostahili 😢
@HumvayezuLaurance
@HumvayezuLaurance 2 месяца назад
Rubonekandamwemeraburiyanajiriberi❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 2 месяца назад
Pumbavu sana Azam muwe mnatafuta nafasi ya 5 mna aibisha nchi.
@MaigeNgasa
@MaigeNgasa 2 месяца назад
Kabisa si waling'ag'ania nafass ya bili 🦁🦁🦁
@nyirinkindieugene1944
@nyirinkindieugene1944 2 месяца назад
Congs APR
@kelvinjosephat2742
@kelvinjosephat2742 2 месяца назад
Azam were never ready for this,, disappointing 😞
@albertvalentino130
@albertvalentino130 2 месяца назад
azam --- " wainalillah wainallilah rajuun "
@OmarRwamakuba
@OmarRwamakuba 2 месяца назад
Watanzaniya. Azamu siyotimu yakufunga APR.
@alexandrymichael2637
@alexandrymichael2637 2 месяца назад
Sisi sio milima tuta kutana endelea kuonea watoto tu mwenzenu kala 10😂😂
@United4ever1
@United4ever1 2 месяца назад
Maybe Yanga or Simba, Not Azam.
@FaaidaTVtz
@FaaidaTVtz 2 месяца назад
​@United4ever1 Eti may be.
@JonathanNelson-l8h
@JonathanNelson-l8h 2 месяца назад
Kuna miamba ipo Tanzania achana na azamu😂😂😂tutakutana tu
@selemanAbdallah-tg1ib
@selemanAbdallah-tg1ib 2 месяца назад
​@@FaaidaTVtzhata mm kanshangaza na mayb yake,...et maybe like seriously!!!....
@thoussetailor
@thoussetailor 2 месяца назад
Apr fc Oyeeeeeeeeee congratulations 🎊 🎊
@Ericz.70
@Ericz.70 2 месяца назад
🇷🇼♥️🇹🇿kunda sanaaa
@Nasbu-tb6cs
@Nasbu-tb6cs 2 месяца назад
APR congrats Azam ni mandazi tuu
@sammychansa1797
@sammychansa1797 2 месяца назад
Hashim imbwe kuongea tu kushinda,aaaaaaaaah😂
@MichaelJoseph-uc4zk
@MichaelJoseph-uc4zk 2 месяца назад
😂😂😂😂
@saidisalumu2418
@saidisalumu2418 2 месяца назад
Wanapoteza pesa na kututia aibu wachezaji awana upambanaji kabisa😢😢
@Muhammedually
@Muhammedually 2 месяца назад
Dube kaona mbali,bakharesa jenga kiwanda kwenye kiwanja pale hakuna timu hapo
@emmanuelrurangwa7388
@emmanuelrurangwa7388 2 месяца назад
Azam ni team ya denser , APR 🇬🇦🇬🇦 Nguvu za Lion
@ghhkjjjj
@ghhkjjjj 2 месяца назад
Make Rwanda proud🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@festohaule9716
@festohaule9716 2 месяца назад
Azam sio timu ya ushindani ..timu shiriki tu hii...
@mugaboadrien9452
@mugaboadrien9452 2 месяца назад
Songa mbere team ya geshi
@NM-yl2uw
@NM-yl2uw 2 месяца назад
ni Songa mbele timu ya Jeshi
@storytime1204
@storytime1204 2 месяца назад
​@@NM-yl2uwsio watanzania ni wa rwanda so kila mtu na anavyotumia kiswahili kwake yeye ni sawa
@Patriotism-x3v
@Patriotism-x3v 2 месяца назад
Ndo anaelekezwa atumie vizuri, hakuna shida😅​@@storytime1204
@selemanAbdallah-tg1ib
@selemanAbdallah-tg1ib 2 месяца назад
​@@storytime1204Bado haitakuwa sawa hata Kama n warwanda kosa n kosa tu,...
@NM-yl2uw
@NM-yl2uw 2 месяца назад
@@storytime1204 nimemkosoa ili awe vizuri
@ev.diogenetuyishimiretd2965
@ev.diogenetuyishimiretd2965 2 месяца назад
Apr fc nzuri
@MutuyimanaPamela-r8j
@MutuyimanaPamela-r8j 2 месяца назад
The lion 🦁 wake up
@PineTree-n9y
@PineTree-n9y 2 месяца назад
Hapo uongozi wote ubomolewe na na benchi la ufundi kocha anapanga kikosi kwa kuangalia wachezaj anaowapenda
@muhamyainnocent-jj4zi
@muhamyainnocent-jj4zi 2 месяца назад
Mkumbuke APR fc imerudi tena Mkumbuke yile ya 2004 ikiwa ndani Jimmy Gatete,imerudi tena Mtaishi wapi Well comeback
@KubwimanaSpeciose-kq2bt
@KubwimanaSpeciose-kq2bt 2 месяца назад
Thank you azam for show us match
@MohammedMohammedhamza-h5j
@MohammedMohammedhamza-h5j 2 месяца назад
Kwamza unatakiwa utafautishe friend game. Na mechi za kimataifa
@brunoh_bx
@brunoh_bx 2 месяца назад
Azam bado ni timu ndogo sana hapa Tz haina tofauti na mashujaa
@TuyishimireViateur-z7z
@TuyishimireViateur-z7z 2 месяца назад
Pore sana azam
@shadrackjuliuskaboya5239
@shadrackjuliuskaboya5239 2 месяца назад
*nilisha waambia azamu niwakishua sana*
@nkusiemmanuel9860
@nkusiemmanuel9860 2 месяца назад
APR FC Juuuuuuuuuuu❤
@IradukundaNeema-p1j
@IradukundaNeema-p1j 2 месяца назад
Nice 👍 apr❤❤
@iptisamismaill-f6h
@iptisamismaill-f6h 2 месяца назад
Azam ni sawa mwanaume mwenye kisukar alafu ana mke mzuri😂😂😂
@NyitaneNyitane
@NyitaneNyitane 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@imanikazinja7100
@imanikazinja7100 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@betramsambali
@betramsambali 2 месяца назад
😢😢😢😢😢😢 sawa ni kweli
@habakubanadonatien
@habakubanadonatien 2 месяца назад
Christopher karenzi nakusaramiya sana mungu akubrikye sana
@kachuismart8924
@kachuismart8924 2 месяца назад
Azam wamecheza mpira Mbovu kinoma😢😢😢
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 2 месяца назад
Azam wanadhaliliaha Tanzania
@nintabou3275
@nintabou3275 2 месяца назад
YANGA Itatowa hiyo aibu subirinu
@hakimundabila7940
@hakimundabila7940 2 месяца назад
Wanafuata nyendo za mabingwa wa kihistoria
@OlesyekuKadege-cq4eo
@OlesyekuKadege-cq4eo 2 месяца назад
Inaumiza kwel azam watoke mapema afu ina wachezaj quality
@tindaboyking6847
@tindaboyking6847 2 месяца назад
Mtangazajiiiiiiiiiiiiiiiii babaaaa eee babaaa😂😂😂
@YusuphAlly-y9o
@YusuphAlly-y9o 2 месяца назад
Azam jamani haaa hatuwa yamawazo hukuzinatoka timu ndogo sana kama vitaloo yaburundi
@MustaphaHasani-u1v
@MustaphaHasani-u1v 2 месяца назад
Azam watamkumbuka sana prince dube
@Dizzoboy-36
@Dizzoboy-36 2 месяца назад
Big energy
@damianmcba9525
@damianmcba9525 2 месяца назад
Huyo feisal isipokuwa Bongo hata ahonekani,,,Tangu yupo Yanga mashindano ya kimataifa afanyi chochote hata Taifa Star,,,, yy ikiwa ndani ya bongo ndio machachari mengi nje ya Bongo ni Mzoga tu
@mtumeananiasjohachim8760
@mtumeananiasjohachim8760 2 месяца назад
Ni kweli aisee
@mohamedmbalazi748
@mohamedmbalazi748 2 месяца назад
Umesema kweli hajawahi fanya maajab kwenye international games. Sifa za kijinga wanampa ila hamna kitu
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 месяца назад
Azamu ni wapuunzi sanaa,hela wanazo,miundombinu ipo vinzuri, wanalipwa vinzuri, sa cjui wana nongwa gani azamu mumetuferisha
@vinny.morales
@vinny.morales 2 месяца назад
Wamekalia udini tu
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 2 месяца назад
Azam mlijiona mnaweza kumbe mlienda kuiaibisha TANZANIA, MSIONE SIMBA WANAPAMBANA MKAONA UTANI.SIMBA KUBWA
@shanmlawa
@shanmlawa 2 месяца назад
Azam awajawaheshm apr wamefunguma hali wapo ugenini
@alexandrymichael2637
@alexandrymichael2637 2 месяца назад
Hawajui kama kuna black magic et wame logwa 😢😢
@KUGASIMA
@KUGASIMA 2 месяца назад
APR yetuuuuu🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁
@FAZILMOHAMEDI
@FAZILMOHAMEDI 2 месяца назад
Pyramid anawasubil kwaiyo kaa kwa kutulia
@AdamVaughan-g3d
@AdamVaughan-g3d Месяц назад
466 Gleichner Stravenue
@DidierHabimaba
@DidierHabimaba 2 месяца назад
Sorry kiswahili nani kinya Rwanda Apr hejoru piramide ltwitege gifuti 🎉❤ Azam 😂 ntakundi mutegure sezo yubutaha
@JohnGoryo
@JohnGoryo 2 месяца назад
Marehem alikuwa na mdomo sana
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 2 месяца назад
Pesa mnazo ila hamko serious kwenye mpira Dube kumbe alisema kweli
@florianrweyongeza7458
@florianrweyongeza7458 2 месяца назад
MINUTE 6:28 clear penalt
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 2 месяца назад
Tatizo kubwa la Azam ni kipa hili hamlioni Kocha hajuwi kuipanga timu
@triphonechami1037
@triphonechami1037 2 месяца назад
Sidibe
@mtumeananiasjohachim8760
@mtumeananiasjohachim8760 2 месяца назад
Huyu kipa ndio yule waliyemsifia kuwa anaiweza yanga
@AbAbdullay
@AbAbdullay 2 месяца назад
Yan sisi washabiki mwaka huu tulijua ata makundi tutafika ila kwa kweli metuangusha sina cha kusema kwa washiriki wezitu wa timu jelani ila naipenda sana azam fc ila mna kuangusha nimeumiasana
@SimonMseyeki
@SimonMseyeki 2 месяца назад
Azam wasenge tu namungo Wana status nzur zaid Yao caf itoshe tu kusemea hawawez iz ligi Wana uwezo mdogo kama izo kamera na watangazaj wa huu mchezo kutokea uko rwanda
@TheQuickTimesNews
@TheQuickTimesNews 2 месяца назад
Camera 📷 za feke sana za Azam
@azizsaid3776
@azizsaid3776 2 месяца назад
usitukane
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 2 месяца назад
Usitukane haifai kaka Punguza jazba Mzee Bakhresa
@NyitaneNyitane
@NyitaneNyitane 2 месяца назад
Munazinguwa mutukanwe tu. Nyie Kama simba na yanga abila kutukanwa amuind. Kazi ya kukamia simb na yang. Badala mukaze kwenye gem Kam izo zenye faida.
@Kama-211-5y
@Kama-211-5y 2 месяца назад
Apr cngz our team
@ChejoBuchejo-mm8bb
@ChejoBuchejo-mm8bb 2 месяца назад
AZAM WASENGE TU,,,walizani mapinduzi cup hiyo
@rukundojeanbosco7930
@rukundojeanbosco7930 2 месяца назад
APR FC tupa ndani
@JohnWamylon
@JohnWamylon 2 месяца назад
Senge Sana Azm laan 😢
@richardnganya2311
@richardnganya2311 2 месяца назад
APR wamejinywea juice ya Azam kwa mrija wakiwa nyumbani!
@niyomuragejeanclaude5720
@niyomuragejeanclaude5720 2 месяца назад
APR ❤
@patricklaiton8939
@patricklaiton8939 2 месяца назад
Mkianza kulinganisha Feitoto na Aziz KI ANZANI HAPA KWENYE MECHI YA MAANA
@MashyakaEmmanuel
@MashyakaEmmanuel Месяц назад
Tou naipig san 6:40 azam
@OmarRwamakuba
@OmarRwamakuba 2 месяца назад
Niliyatamka mwanzokusema azamu mbeleya APR. Hawataweza. Wanacyoweza nikutengeneza UNGA wakupikiya cyapati. Iyitimu ya APR. Nitimu yamajeshi ikumbukwe Ivo uko Tanzania. Siyo vitalo. Yaburundi
@VincentJamesNampunda
@VincentJamesNampunda 2 месяца назад
Hatutaki kuwaona Tena huku mwaka Jana na mlituboa hata APR sasa upangiwe na nani Bora hata KMC wapuuzi
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 2 месяца назад
Aibuuu hiiiii jamani lokhoooo azam mnanini
@YohanaHaonga-y7q
@YohanaHaonga-y7q 2 месяца назад
Azam wanatuaibisha aisee sana niheri TU wangebaki kuuza askrimu
@GeorgiaVedasto
@GeorgiaVedasto 2 месяца назад
na badoo 😂😂😂
@MeshackMalemba-zm6cl
@MeshackMalemba-zm6cl 2 месяца назад
Yana uwanja mzr san
@rahmalutengwe2901
@rahmalutengwe2901 2 месяца назад
Kocha kiukweli Hana maarifa, alishindwa kuwasoma APR, kwanza APR hawana uzoefu wa mashindano haya.APR sio timu ya kunitoa AZAM
@tmcchannel4767
@tmcchannel4767 2 месяца назад
Kwa hali hii ya azam, simuoni feisal akiwa azam msimu ujao. Kama simba watakuwa serious kumhitaji feisal itakuwa ni nafasi sahihi sana kwao na hata kama hawatamhitaji timu itakayokuja na offer nzuri feisal ataondoka azam sababu hapati kile ambacho anatamani apate yeye kama mchezaji star ndani ya ardhi ya Tanzania
@Boston___14
@Boston___14 2 месяца назад
🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@WillyB.Mnyaga-rh4hx
@WillyB.Mnyaga-rh4hx 2 месяца назад
Azam wamecheza vizuri, ila waamuzi wamewaumiza azam
@ManuDibango-n4c
@ManuDibango-n4c 2 месяца назад
No no no wewe ulihangaliya match gani? Azam hawakuceza wanajuwa kurara uwanjani tu
@Champion_3
@Champion_3 2 месяца назад
How did This Azam manage to become second in the Tanzanian League??? They really play Haram ball
@victorcephas3618
@victorcephas3618 2 месяца назад
Azam ni timu isiyo na malengo yoyote kuchukua medali ligi ya ndani ama kimataifa ni timu ya burudani na biashara pamoja na kuikamia Simba.
@heychanel5443
@heychanel5443 2 месяца назад
Mwadutengushye ntabyanyu, kunanirwa agakipe nka APR?
@SogoroAdam
@SogoroAdam 2 месяца назад
Yangu Leo Azam kam inagombania nafasi ya pili au ya kwanza marefu waminyen mtakavyo Kwan hawan wakifanyacho wanatuaibishs
@jamilplatnumz
@jamilplatnumz 2 месяца назад
Tunaipenda Azam bhanaaa😂😂
@mugaboadrien9452
@mugaboadrien9452 2 месяца назад
Apr oyeeeeee
@ndatimanaeric4537
@ndatimanaeric4537 2 месяца назад
APR OYEEEEEEE
@livinuskamugisha5296
@livinuskamugisha5296 2 месяца назад
Kazi kuwakazia simba na yanga tu kimataifa Aaaa
@ClauDen-j7i
@ClauDen-j7i 2 месяца назад
Wow!!!!!!
@hidayajuma7946
@hidayajuma7946 2 месяца назад
Oooo mavi matupu
@IssaMataro-hp4bd
@IssaMataro-hp4bd 2 месяца назад
madhara ya kukumbatiwa na marefa kwenye ligi yetu goli la pili walilofungwa azam ni kama magoli waliyonyimwa yanga kwenye dabi kwamba no offside
@Thereallucasmachius
@Thereallucasmachius 2 месяца назад
Feisalii anawaponzaaa😢😢😢 kiko wap
@vinny.morales
@vinny.morales 2 месяца назад
Hivi Azam wana shida gani lakini? Maana kama pesa ya kusajili na kulipa mishahara mikubwa wanayo ila matokeo mtihani.
@United4ever1
@United4ever1 2 месяца назад
Azam itafute kipa, maana huyu hana faida
@JumaNyanda-ng1cz
@JumaNyanda-ng1cz 2 месяца назад
Azma hawawezi kit Bora namngo
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 2 месяца назад
Naombeni kujua hivi haya makenge ma azamu yalivyotolewa huku yana dondokea shirikisho au yanarud kuuza barafu za mzee bahlesa
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk 2 месяца назад
Wanarudi kwenye NBC,hii preliminary hata hivyo msimu huu hakuna kudondokea shirikisho anayetolewa CL hatua yeyote ni nyumbani tu.
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 2 месяца назад
@@Joe-tr2vk ok 👍
@NyitaneNyitane
@NyitaneNyitane 2 месяца назад
Walienda kufany biashara zasiri si kucheza mpira. Wangekuwa wako silias na soka ingekuwa inatish kisoka ila wapo ili waendesh biara zao. Biashar zao zinaenda na sisi wanatualibia sok letu. Bora wasiwe na timu wafany majukum mengine y utangazaji na vingine
Далее
бабл ти гель для душа // Eva mash
01:00
APR VS AZAM HIGHLIGHTS
1:44
Просмотров 57
EXTENDED  HIGHLIGHT: APR FC 2 - 0 AZAM FC
19:10
Просмотров 102 тыс.
Simba SC 2-0 APR FC | Highlights | Simba Day 03/08/2024
10:47