Тёмный

ASHUKURIWE MWENYEZI 

RAJO PRODUCTIONS
Подписаться 458 тыс.
Просмотров 2,9 млн
50% 1

Waimbaji: Friends of Eddo
Mtunzi: Ray Ufunguo
Audio Production: Essence Productions
Video Productions: RAJO Productions
Organist: Ray Ufunguo
Karibuni kutazama kazi hii njema iliyoandaliwa na Producer Eddo kutoka Essence Productions akishirikiana na Ray Ufunguo wa RAJO Productions.
RAJO Productions inajivunia kumlea na kuweza kumpata Producer mwenye kiwango kizuri kabisa, Tumpokee Eddo kutoka Essence Productions.
Mungu arubariki sote

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,4 тыс.   
@julliekilonzo1442
@julliekilonzo1442 9 месяцев назад
Wimbo mzuri sana wa kumaliza mwaka ❤❤❤❤❤Ray Ufunguo huu mwaka umetupeleka na rieng ❤ .. Mungu na akuzidishie mwaka ujao 🙏🙏🙏🙏
@mbubadonpick
@mbubadonpick 2 месяца назад
Ak vile nmetafuta hii song since jana nlivyotoka church after kuisikia kwa statuses karibu niachane nayo lakn moyo unakataa and finally am here with it...truly it's God who secures us🙏
@JulesAtangana-t4q
@JulesAtangana-t4q Месяц назад
S'il vous plaît c'est depuis quel pays ? Cette mélodie qui envoie au paradis
@maggierattz8552
@maggierattz8552 Месяц назад
Barikiwa basiiiii 🙏 🙏 tena sana
@EvansNyariki-lx3pq
@EvansNyariki-lx3pq 18 дней назад
Ushapata sasa
@cyrusmoseti4252
@cyrusmoseti4252 6 месяцев назад
Well coordinated, instrumental and movement match perfectly well.If I wasn't an Adventist, I 'd be a catholic faithful. Beautiful composition 🥁🥁🥁💯🎶🎤
@ChristerKihwili-jo1rm
@ChristerKihwili-jo1rm 3 месяца назад
Tulio rudia malambili mbili taratibu mnanikanyaga kwaupendo wakristo tumtumikie nakuwajibika mpaka kieleweweke 🙏🙏
@LilTerry988
@LilTerry988 10 месяцев назад
Wimbo mtamu wenzangu mmiminiwe baraka tele...@Ray unafanya kazi njema
@roscomedia.
@roscomedia. 4 месяца назад
Everytime someone likes this comment I'll be coming back to listen once again. I'm blessed big time.
@LiahAmin-t8e
@LiahAmin-t8e 2 месяца назад
Kilindi cha Moyo wangu..... Kimejaa maneno ya Kushukuru... Ashukuriwe Mwenyezi.. Anayeketi kaika patakatifu.... Usiku Mchana... Mwanzo wa Mwaka Mpaka Mwisho wake.... Ni Mungu aketiye juu anayenilinda.... Midomo yangu itaimba maneno ya Kushukuru.... Asante nakushukuru Bwana wa Mbingu....
@margaretkanyoro4137
@margaretkanyoro4137 2 месяца назад
Thank you ❤
@michmbolingaba7310
@michmbolingaba7310 8 месяцев назад
I came across this oh-so wonderful song yesterday (Saturday), Jan. 27, 2024 through TikTok video and fell instantly in great love with it. Listening to this special song, I felt over the moon and felt like all my burdens were taken away from me. Then I decided to share it with some of my fellow DRC 🇨🇩 people. I'm really happy that all of them have come back to me with many words of thankfulness and praise for the Lord for this song. I say thanks a million to those who have come up with ideas of writing such an absolute wonderful song. I don't know if you are from Tanzania 🇹🇿 or Kenya 🇰🇪 but I would like to say: Asante sana ju ya nyimbo hii (Ashukuriwe Mwenyezi). 🔥🔥🔥🔥💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖🙏🤝🇨🇩🤝🇹🇿🤝🇰🇪
@rajopro
@rajopro 7 месяцев назад
Thank you so Much. This feedback is an amazing one. We are happy for you and your friends. The song is from Tanzania, and the song writer is also from Tanzania. May God keep on Blessing you.
@raelakiru6291
@raelakiru6291 10 месяцев назад
Ray Ufunguo proves to be my favourite Catholic Artist, I really love your songs, keep going, we sing most of your songs in my church. Thanks for always blessing us with your heavenly songs, Mungu akujalie uzidi kumtumikie, Amina 🙏🙏
@stellamarisndenge7353
@stellamarisndenge7353 6 месяцев назад
Ray Ufunguo and Lawrence Kameja,,,,, any time
@margaretkaringa4203
@margaretkaringa4203 6 дней назад
Hii song nimeitafuta weeh karibu nikufe moyo...mungu asantee
@mkambuyabisinia1450
@mkambuyabisinia1450 11 месяцев назад
Tiktok imenifikisha hapa..hongereni nimepata wimbo wangu wa siku yangu ya kuzaliwa mwezi huu wa November...mwanzo wa mwaka hadi mwisho wake ni Mungu ..
@philipmshote7485
@philipmshote7485 11 месяцев назад
Me toooo😂😂😂
@rajopro
@rajopro 10 месяцев назад
Mungu azidi kukubariki
@vivianagura9826
@vivianagura9826 10 месяцев назад
Me too it's such a blessing song. I celebrate my birthday with this song. So elevating 🙏
@mkambuyabisinia1450
@mkambuyabisinia1450 10 месяцев назад
@@philipmshote7485 happy birthday
@mkambuyabisinia1450
@mkambuyabisinia1450 10 месяцев назад
@@rajopro amina
@johnmusyoki8749
@johnmusyoki8749 11 месяцев назад
What more can we say kama sio kumshukuru mwenyezi. A beautiful piece. Congrats RAJO PRODUCTIONS. 👏👏👏
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Thank you
@-danniedanniel1447
@-danniedanniel1447 9 месяцев назад
Kilindi cha moyo yangu,kimejaa, maneno ya kushukuru. Ashukuriwe mwenyezi, anayeketi katika patakatifu. Usiku mchana, mwanzo wa mwaka, mpaka mwisho wake. Ni Mungu aketiye juu anayenilinda, midomo yangu itaimba maneno ya kushukuru. Asante nakushukuru Bwana wa mbingu. Anayewaalii..sha ndege wa angani. Ndiye anayeshusha neema Kwa viumbe vyote. Jua na mwezi nazo nyota za angani. Ndiye aliyeziratibisha,(akanipaa... Zawadi ya maisha. ❤❤❤❤
@anastaciamuema
@anastaciamuema 9 месяцев назад
@@rajopro😅😅
@mcback4384
@mcback4384 9 месяцев назад
Moyo wangu*
@stellamarisndenge7353
@stellamarisndenge7353 6 месяцев назад
🤣🤣🤣🤣 I have being singing like this. " Kilimi cha moyo wangu"
@teddysilayo3438
@teddysilayo3438 11 месяцев назад
Nzuriiiiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Mungu awalinde Muendelee kumtukuza milele
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Amen. Barikiwa sana
@LuciaKinuthia
@LuciaKinuthia 11 месяцев назад
I wish the song could extend abit longer.....i cant get rid of it playinh it again and again you bless us soo much Ray may God bless you and congratulations
@rajopro
@rajopro 10 месяцев назад
Ubarikiwe sana
@nellynduku4543
@nellynduku4543 11 месяцев назад
asante bwana wa mbingu,, ni wewe unajua Siri za moyo wangu,,, asante Kwa umbali umenitoa na Nina imani nitamaliza salama,, glory to the most high
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Uzidi kubarikiwa
@annekanana306
@annekanana306 9 месяцев назад
From tiktok to here..❤❤ Ashukuriwe mungu 🙏
@ashleyseche8082
@ashleyseche8082 6 дней назад
Hii ngoma acha tu I feel like I'm dining with God, Jesus Christ and the holy spirit 🥱❤️
@lorraineatieno6544
@lorraineatieno6544 21 день назад
ACK mimi bt wakatoliki nimekubali munaomba...so nice and b blessed🙏🙏🙏
@naomimakena6658
@naomimakena6658 10 месяцев назад
Wooow!! Mtamu sana ,binadamu twastahili kushukuru mungu Kwa ulinzi wake Hadi mahali tulipo siku ya Leo.
@rajopro
@rajopro 10 месяцев назад
Asante sana kwa kutazama
@mykheymutua
@mykheymutua 9 месяцев назад
Ray Ufunguo has really been putting sme crazy efforts in his compositions, much respect to the dude
@mercymburu8227
@mercymburu8227 11 месяцев назад
Asante mwenyezi Mungu tangu mwanzo wa mwaka Hadi Leo nashukuru 🙏🙏🙏
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Asante sana na ubarikiwe
@nancykaona2054
@nancykaona2054 10 месяцев назад
… I’m proud to be catholic. Yaani maneno yanasikika vyema, nyimbo ipo taratibu. Eeee MUNGU ENDELEA KUWATUNZA MAKUHANI WAKO🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@lindselk9057
@lindselk9057 11 месяцев назад
Kweli kilindi cha moyo wangu kimejaa maneno ya kushukuru mwenyezi. A blessing it is
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Uzidi kubarikiwa
@karenthuranira6883
@karenthuranira6883 8 месяцев назад
No matter how many times I listen to this song. So sweet, so smooth. All praises to the Most High God. Well done team Rajo. You lead and others follow. Much love from Kenya
@joycemluga1125
@joycemluga1125 11 месяцев назад
Wimbo mzuri inamfanya kila anaesikiliza azame ktk kutafakari ukuu wa mungu 🥀🥀🌹🥀🥀❤️ mungu azidi kuwafamya baraka ktk kazi yenu🙏
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Barikiwa sana
@emmagatty9120
@emmagatty9120 11 месяцев назад
May the Almighty God bless you guys. You are amazing😍 lots of love from +254❤❤❤❤
@janemwirikia6817
@janemwirikia6817 21 день назад
I always play this song every morning ❤thank you God for each and every new day🙏
@clareClare-rt5tm
@clareClare-rt5tm 8 месяцев назад
Proud to be catholic napenda hii nyimbo sana inanipea furaha Kila tyme ❤❤❤
@masimasi8175
@masimasi8175 9 месяцев назад
Asante Mungu wangu nakushukuru...usiku mchana,mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wake..ni Mungu akatie juu ananilinda.. Waauu such a beautiful blessing song. Thanks Team
@mercykavaya5284
@mercykavaya5284 11 месяцев назад
Huu wimbo umeweza nawaombeeni na mbarikiwe nyote..kazi safi tena zaidi
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Asante sana, ubarikiwe sana
@raelakiru6291
@raelakiru6291 10 месяцев назад
Just as his name suggests, Ukweli Ray Ufunguo anatufungulia mlango wa mbinguni through his songs. Thank You so much Ray, I hope you see this comment
@rajopro
@rajopro 10 месяцев назад
Asante sana. Mungu azidi kukubariki
@raelakiru6291
@raelakiru6291 10 месяцев назад
I am humbled 🥰☺, Thanks so much@@rajopro
@catherinekarimi9993
@catherinekarimi9993 10 месяцев назад
❤❤kameja ad your team/choir,,Sina mengi,,ni mungu tu,,,amazing what a beautiful song,,, Kilaasubuhi mpaka niimbe hio wimbo,,
@rajopro
@rajopro 10 месяцев назад
Ubarikiwe sana
@angelosonge2389
@angelosonge2389 9 месяцев назад
Mungu akupe maisha marefu Ray. Ubalikiwe na Bwana. Vijana wa siku hizi wanasema huna dhambi hata moja.
@habimanarobert4847
@habimanarobert4847 5 месяцев назад
Wimbo nimeupenda sanaaa!yani sitosheki kuwusikiriza naurudia mpaka
@MERCYNTUDUMUA
@MERCYNTUDUMUA 6 месяцев назад
Who is here 2024....a blessing song
@atimrosemary-d3v
@atimrosemary-d3v 4 месяца назад
Wimbo mzuri Sana, thanks to Ray Ufunguo for active participation in supporting unity among the Christians.
@anthonytido
@anthonytido 10 месяцев назад
Sina neno zaidi ya kusema nawapenda na mungu awabariki kila siku ya maisha yenu
@rajopro
@rajopro 10 месяцев назад
Uzidi kubarikiwa
@CarolineMutua-fn3do
@CarolineMutua-fn3do 11 месяцев назад
Kilimi Cha moyo wangu kimejaa maneno ya kushukuru 🎉🎉🎉🎉you can't imagine how blessed I am ...
@jacklinewabomba4119
@jacklinewabomba4119 4 месяца назад
ASante sana mtunzi wa huu wimbo na waibaji kwa ujumla ❤❤❤ nimependa sana. kama muimbaji pia nafeel kubarikiwa.
@catherinekerubo7282
@catherinekerubo7282 11 месяцев назад
I can't get enough of this song,yaani nimeirudia since morning till now,such a nice song that has bless my entire day🙏
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Be blessed
@mburuben2254
@mburuben2254 8 месяцев назад
My favourite jam of 2024, always on repeat mode... So blessing.
@rajopro
@rajopro 8 месяцев назад
Be blessed
@nakamogababra7120
@nakamogababra7120 8 месяцев назад
Me too, I don't know how many times I play it
@severafabian6737
@severafabian6737 Месяц назад
Hii ndio Roman Catholic......Hatari sana!❤❤
@AgathaMuthee-b5s
@AgathaMuthee-b5s 9 месяцев назад
Nikiona Ray Ufunguo, Najuanga hapo kuna wimbo.
@millardkevogo1594
@millardkevogo1594 6 месяцев назад
Kilindi cha moyo Wangu kimejaa maneno ya kumshukuru mwenyezi. Hakika tunapaswa kumshukuru Mungu kila wakati kwa makuu yote anayo tutendea.
@christinenabwire2649
@christinenabwire2649 7 месяцев назад
Kweli aimbae husali mara mbili, jamani mungu azidi kuwabariki awape nguvu muimbe miaka yenu yote, I wish mngekuwa kenya ningewajoin huu wimbo ndio my daily anthem
@mercywanjiku6989
@mercywanjiku6989 9 месяцев назад
Wimbo mtamu sana🙏ashukuliwe mwenyezi Mungu amelinda kutoka mwanzo wa mwaka mpaka Sasa , asante kwa zawadi ya maisha .....kilindi Cha moyo 🙌
@margaretobenga710
@margaretobenga710 8 месяцев назад
Pianist Ray Ufunguo ni👏👏👏👏👏👏hongera Sana. Wewe ni fundi wa ukweli Mwenyezi Mungu akuzidishie baraka. Nausikiliza wimbo huu kutoka Washington.
@simonwambua5896
@simonwambua5896 21 день назад
The bad thing with this song is is that it's very short...I need more of it brethens.
@EvanceOdero-sq2oo
@EvanceOdero-sq2oo 11 месяцев назад
The love I have for this song... I'm so excited about it......... 💞💞🎹🎼
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Thank you so much
@josephallamanochoir-kibada9420
@josephallamanochoir-kibada9420 9 месяцев назад
Proud to be a Catholic. A great piece of work. God bless you for evangelizing through holy music.
@eliastajewuo2971
@eliastajewuo2971 11 месяцев назад
Ray never disappoint wherever I sow him playing piano ni Mambo mazuri2❤
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Shukrani sana
@gilbertoke
@gilbertoke 11 месяцев назад
This is beautiful. One of the best from Rajo this year ❤❤🎉
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Thank you so much
@Ykdejan
@Ykdejan 11 месяцев назад
Wimbo mtamu ulio na baraka..hongera 🎉
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Shukrani sana
@peterngowi1124
@peterngowi1124 9 месяцев назад
Nipo hapa nasikiliza kwa kurudia rudia mpaka mwaka unaingia🎉 happy new year 2024 in advance😊
@emilwafula801
@emilwafula801 3 месяца назад
Kwaya ilipilkwa ikaiiva hizo sauti🔥🔥🔥🔥 weldone my Catholic sisters n brothers... beautiful song.🥰🥰🥰🥰
@joycefuraha2218
@joycefuraha2218 4 месяца назад
Yaani huu wimbo sichoki kuuskiliza❤️❤️❤️
@Mathews-w5n
@Mathews-w5n 3 месяца назад
Very true
@brendahwawire4130
@brendahwawire4130 10 месяцев назад
Hongera wimbo huu mtamu kweli ❤❤❤❤Mungu awazidishie maarifa muweze kutoa nyimbo zaidi
@mercyborh2595
@mercyborh2595 6 месяцев назад
Beautiful voices💕💕, iam from west Africa and iam dancing to every bit to the song 🎵. Keep winning great sisters and brothers of mama Africa 🌍😘😘😘😘
@christineriunga3007
@christineriunga3007 11 месяцев назад
Kuimba ni kisali mara ya pili ,wimbo huu umenibariki sana....can't stop watching ❤🙏
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Asante sana kwa kutazama. Ubarikiwe
@alubogladys3077
@alubogladys3077 11 месяцев назад
May God keep thz boys kameja and piano man alive really u guys make good music❤❤❤❤
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Thank you so much
@jacksonruitiari9245
@jacksonruitiari9245 11 месяцев назад
# Ray Ufunguo, @Kamenja,, bigup guys song iko perfect, mpangilio wa sauti uko waoohhh. Mbarikiwe saana.
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Asante sana, ubarikiwe
@bryantwaf4077
@bryantwaf4077 9 месяцев назад
Beautiful song to finish a blessed 2023 and usher in another year of hope
@agatonngailo6632
@agatonngailo6632 11 месяцев назад
Hakika ashukuriwe mwenyezi katika maisha yetu binafsi kwa kunilinda toka januari mpaka Sasa honger Ray ufunguo kwa wimbo mzur
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Shukrani sana. Uzidi kubarikiwa
@danielmwangi5595
@danielmwangi5595 9 месяцев назад
Very nice song may our Lord God bless you Good people,,sauti nazo,waaaaauuuu
@Mc_Martinny1
@Mc_Martinny1 10 месяцев назад
Mungu akubariki kwa wimbo mzuri! umetulia kweli! tunaomba nota zake
@marywambui82
@marywambui82 4 месяца назад
Tiktok pushed me hadi huku😂 ndo nishafika tayari kupokea hizi baraka jamani 🙏🙏
@bonkeselemani503
@bonkeselemani503 Месяц назад
😂
@mechtildakiiza870
@mechtildakiiza870 3 месяца назад
Mungu Baba azidi kukutia nguvu ; awe kiongozi wako daima. Amtumainie hatatahayari azidi kukuinua ni yeye yule asiyebadilika kamwe. Alfa na Omega. Nimwamba imara. Ubarikiwe kiongozi.
@albanusmutua347
@albanusmutua347 6 месяцев назад
Mr Ray ufunguo congratulations for hosting our sister, I respect you brother, you make me proud of being a catholic
@Benard.s.benard
@Benard.s.benard 7 дней назад
Mbarikiwe sanaaaaa hakika mmeufikisha ujumbe wa mungu mbarikiwe sanaaaaa 🙏🙏🙏🙏🙏😂🌹🌹🌹🌹
@michaelwesonga4084
@michaelwesonga4084 3 месяца назад
Nice song that's why I love my Catholic church ❤❤❤❤
@agustinoraphaeli9380
@agustinoraphaeli9380 11 месяцев назад
Hakika Mungu ni mkuu sana hongereni sana kwa kazi nzuri na Yesu aishie milele awatunze
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Asante sana, ubarikiwe
@maryanyango6022
@maryanyango6022 11 месяцев назад
Everytime I see the name Ray Ufunguo, definitely the song is on point Hongera❤❤
@rajopro
@rajopro 10 месяцев назад
Thank you so much
@stellamarisndenge7353
@stellamarisndenge7353 6 месяцев назад
My twin
@BLASTUSMAGONGO
@BLASTUSMAGONGO 4 месяца назад
Hakika mungu ashukuliwe mungu muda wote pia hongera sana kwa mtunzi wa wimbo
@marymimina
@marymimina 11 месяцев назад
Kumbe si mimi pekee naenjoy wimbo, yaani Kila moja kwenye video hii anakatika tu. Kweli ni Mungu anastahili Shukrani zetu. Ray you are God's favourite. Hiyo nayo nimeona kabisa endelea na huu moyo wa kumtumikia kabisa na akuongezee miaka mingi na heri duniani utumie kipaji chako kuleta watu wengine katika nyumba ya Bwana🙏🏻🥰, Hongera sana to the team👏👏👏👏
@armansabbor-ui3jb
@armansabbor-ui3jb 11 месяцев назад
Nawependa sana jamani munguu awabariki napenda sana nyimbo zenu
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Nashukuru sana Mary, Ubarikiwe sana
@rajopro
@rajopro 10 месяцев назад
Mungu akubariki sana @marymimina
@marymimina
@marymimina 10 месяцев назад
Nanyi mbarikiwe zaidi🙏🏻🥰
@michaeltsakhara
@michaeltsakhara 10 месяцев назад
@Catherinekamau-x2j
@Catherinekamau-x2j 28 дней назад
I thank you God for holding my hand this.The song is soul lifting ❤❤❤
@FRJohnNgugi-ey6pz
@FRJohnNgugi-ey6pz 8 месяцев назад
Wimbo mtamu saana umenikumbushaa mwaka wangu wa ubadilisho kutoka ushemasi kua padree
@GraceMathias-mm7hx
@GraceMathias-mm7hx 8 месяцев назад
Ongera sana
@francismutemi-j8i
@francismutemi-j8i 8 месяцев назад
Kazi mzuri kabisaa echo kwa mwalimu.... He has coordinated the moves to make a presentable view.... Congratulations 🎉🎉
@irenenjuguna2870
@irenenjuguna2870 9 месяцев назад
Waoh waoh Ray Ufunguo does it again. Beautiful What a way to end the year Thanking God for everything God bless the work of your hands
@v.k.m5475
@v.k.m5475 10 месяцев назад
Wow! Wimbo mtamu sana. Hongereni saaaana na Mungu awabariki kwa uinjilishi wenu. Nimeshea kwa wengi 🎉🎉🎉🎉
@rajopro
@rajopro 10 месяцев назад
Mungu akubariki
@clementinemumbua7910
@clementinemumbua7910 7 месяцев назад
A radio station imenileta uku,coz they play this song everyday early in the morning
@Jokimuventures
@Jokimuventures 10 месяцев назад
We need more songs like this to make earth feel like heaven
@petermcmjumbe3887
@petermcmjumbe3887 Месяц назад
Aki how can you make such a sweet song so short?
@suzenberic5532
@suzenberic5532 5 часов назад
😂😂
@HONORATHAFAUSTINE
@HONORATHAFAUSTINE 10 месяцев назад
Ray Ufunguo hujawai hacha kumfurahisha Mungu na watu wake baraka nyingi kwenu nikisikiliza nasisimka kea furaha moyon Mungu atukuzwe daima🙏🙏🙏🙏🙏💗💗💗
@rajopro
@rajopro 10 месяцев назад
Asante kwa maneno mazuri. Mungu azidi kukubariki pia
@shilamba118
@shilamba118 9 месяцев назад
I love u song my people,,,,❤❤❤❤am from Namibia,,,I love u all❤❤❤
@kipngetichpatrick6729
@kipngetichpatrick6729 11 месяцев назад
Aiseeeee! Hii nimetamani sana kuipata kazi safi sana @rajo @rayufunguo @tanzania production be blessed beyond this,
@rajopro
@rajopro 11 месяцев назад
Thank you so much
@mercymburu8227
@mercymburu8227 10 месяцев назад
Nani kama Mimi sitosheki kamwe na wimbo huu❤️❤️❤️
@Stellakorobe-nc8wq
@Stellakorobe-nc8wq 9 месяцев назад
Tiktok ndo imenifikisha huku.I love this song❤
@annancy9917
@annancy9917 9 месяцев назад
I can't get enough of this. Wimbo umejaa baraka. Mungu uwabariki watunzi na waimbaji wasipotee katika dunia. So much annointed men and women of Almighty God.
@vincentdaud9954
@vincentdaud9954 3 месяца назад
Mm huwa najiuliza usipokiwa catholic unakuwa wapi. Ahsante wazazi wangu kunizaa nikawakuta mkiwa wakatoliki na mm nikawa mkatoliki .raha sana
@maggymshay7666
@maggymshay7666 11 месяцев назад
From tiktok though I am not a catholic amazing song❤❤❤❤
@rajopro
@rajopro 10 месяцев назад
Be blessed
@mariejoseeminani8598
@mariejoseeminani8598 7 месяцев назад
Asanteni wanya kwaya, moyo unatuliya ukisikiya wimbo huu mubarikiweeeee!❤
@thethreestars9700
@thethreestars9700 9 месяцев назад
Mungu bariki waimbaji wote na uwatunze.
@naomimakena6658
@naomimakena6658 10 месяцев назад
Hongera pia Kwa mtawa wetu mpendwa Sr Cate Kwa talanta yako huko TikTok 🎉🎉🎉❤
@naomimakena6658
@naomimakena6658 10 месяцев назад
Umefanya tuutafute huu wimbo. Wapendwa twendelee kumtukuza Mungu Mwenyezi katika aushi yetu yote ,tusimsahau mungu hata dakika Moja. Yeye ni mungu mkuu . Asante sana ❤🙏
@rajopro
@rajopro 10 месяцев назад
Barikiwa sana
@juliethsanga5660
@juliethsanga5660 10 месяцев назад
​@@rajopro❤
@MercyAneno
@MercyAneno 3 дня назад
Who's is with me in October 2024❤
@margaretratemo6016
@margaretratemo6016 Месяц назад
It is God glorified . ashukuriwe mwenyenzi. i miss Arusha Njiro catholic ESAMI l am coming in the name of Jesus. watch this space.
@emilykwamboka5963
@emilykwamboka5963 2 месяца назад
My mum loved this song but she died this year January rest easy my mum
@marionkamau5239
@marionkamau5239 2 дня назад
My national anthem eveyday when i wake up..❤❤ thank you for this
@nakamogababra7120
@nakamogababra7120 8 месяцев назад
I don't know Swahili but the way I mastered the lyrics is amazing 🥰🥰
@ekaalebendictors7557
@ekaalebendictors7557 4 дня назад
I like this song so much, it praises God our creator in the best way, Thank you God,you are my everything
@LeilaMosh
@LeilaMosh 6 месяцев назад
Kawimbo katamu sana kinanipa raha sana najiona kama niko mbinguni jamani
Далее