Mungu nisamehe kwa nitakachoandika nauliza walinzi wa rohoni wa kanisani walikuwa wapi maana hakuna jambo linatokea bila taarifa Mungu lazima kasema nao na wamesinzia kiroho. Hii ni aibu Sio hapo tu makanisa mengi yanavamiwa tuwaombee walinzi Mungu aliowaweka kwenye lindo kwa majira na nyakati macho yao ya rohoni yaone na kile wanachoona wawe na nguvu ya kukifanyia kazi .