Mimi nimeanza kukufaham na kukufuatilia miezi mitatu sasa kwakweli najifunza nisio yajua katika uislam ,mwenyezi Mungu akulipe kwakila jambo akufanyie wepesi katika maisha yako
Ndugu yangu katika Imani RAMADHANI usiache hiyo kazi ya dawa mitihani kukatishwa TAMAA IPO Kila sehemu unaweza acha Kisha ALLAH akakupa mtihani mkubwa zaidi kama nabii yunus
Jazaka Allahu kheir tu nakuombea dua sana Sheikh Ramadhan usichoke wala usikate Tamaa MUNGU yuko pamoja nawe na changamoto ni kawaida Insha Allah MUNGU akubariki tunakupenda sana pamoja na team yako.
Asc sheikh Ramadan binkuriya insha Allah Allah akulipe nahi kheer na Allah atukutanishe wote weetu jannatul furdous insha Allah nili kuwa lauliza hiyo namba ya mpesa ime andikwa nA jina gaani insha Allah
Jesus Christ is the Straight Path. Islam is described in Proverbs 14:12- "There is a way that appears to be right, but in the end it leads to death". Otherwise my brother Ramadhan you are doing a good work, I pray that you receive the grace of salvation by embracing Jesus Christ as Lord and Saviour of your life.
Sisi waisilamu hatuja mkataa yesu tunamuamini kabisa maana tunajua kama mtume wamungu ila sio mtoto wamungu wala yeye sio mungu kwahiyo hakuna shida yoyote
@@zaidiissa3714 Islam is purely antichrist. Dhambi kubwa katika uislamu ni shirk na mnaamini motoni imeandaliwa yeyote anayemwamini Yesu kama Mwana wa Mungu na pia Mungu. Nyinyi ni wapinga Kristo. Hebu tumia Quran unionyeshe jinsi mnavyomwamini Yesu kwa kuwa Quran yenyewe haina habari za Yesu bali Issa bin Maryam
"Kutamka shahada ndiyo sharti ya kuingia peponi", wueeh Waislamu si mtanivunja mbavu! Manabii wote walikuwa waislamu - Ibrahimu, Musa, Sulemani, Yesu, Daudi ... kwa hivyo hawako peponi kwa sababu hawakutamka shahada!!! Haki waislamu si mzingatie ukweli ili muwe huru. Yesu ndiye njia, ukweli na uzima, mtu haendi kwa baba pasi na kupitia kwake. Uislamu ni njia inayoonekana njema lakini mwishowe unaelekeza motoni.
Namwonea huyu mzee huruma sana. Hawezi kujieleza vizuri katika lugha ya Kiswahili na anaahidi kuingia uislamu!!! Huyu ataweza kumwabudu Allah kweli kwa sababu ni lazima ajifunze Kiarabu ndiposa aweze kuswali. Isitoshe, mzee yuko na miaka sabini na itamlazimu aende madrasa afunzwe dini katika lugha geni ambayo inaandikwa na kusomwa in the opposite direction. Huu si ni mzigo mzito kwa mzee kama huyu? Nikinena haya mnasema niko na chuki. Hebu nyie waislamu mnielezee kama kuna shortcut mzee atatumia ili aweze kumwabudu Mungu wenu
Hakuna kinacho shindikana kwa binadamu ukiwa naimanitu inawezekana boratu uwenaimani na muachie mungu akuongoze maswahaba walisilimu wakiwa wazee sana zaidi ya huyu lakini waliijua dini nakua muisila sio kujua kirabutu bali nikuacha yale manaya yote mungu aliokataza nakufanya mema mungu alio wahusia manabii wake na mitume wake nakumuamini mungu pekee kwakilajambo kuto mshilikisha na viumbe vyake vyovyote huo ndio usilamu hatawewe utaka kusilimu unaweza nikuamuatu namumuomba akuongoze katika njia iliyo sahihitu basiutafanikiwatu kwauwezo wake ubarikiwe sana assalamualaikum 🙏🙏🙏🇹🇿
@@kennodhiambo Allah doesn't burden any soul with what it can't bear kama haezi soma kiarabu atasali kwa lugha enye anaelewa for the mean time and then slowly learn kiarabu
Waah! Kumbe kuwa muislamu ni gharama hivyo! Eti kuna school fees, kulipa walimu wueeh! Yaani haya yote ni kwa sababu ya kusoma dini katika lugha ya kiarabu ili mtu aweze kuwasiliana na Mungu! Huu ni mzigo mkuu jameni. Yesu akasema, Njooni kwangu enyi mliolemewa na mizigo mizito nami nitawapumzisha. Wapendwa, njooni kwa Yesu Kristo - hakuna kuingia shule usome dini bali kupitia katika Biblia Roho Mtakatifu atakuongoza kwa yote. Ukija katika Yesu hutastahili kubadilisha jina wala kuingia shule kusoma lugha nyingine bali utamwabudu Mungu katika lugha unayoifahamu na pia hakuna sheria nyingi kama zilizo katika uislamu.
@@bashirmahero7021 chuki iko wapi ndugu yangu? Zingatia ukweli uwe huru. Nimenukuu tu yaliyosemwa na ndugu yangu Ramadhan. Miye sina chuki bali ninatakia heri. Njoo kwake Yesu utoke katika utumwa.
@@bashirmahero7021 Nadhani umewahi kushuhudia mkristo akiokoka. Je huwa anapelekwa katika shule ili asomeshwe lugha ya Yesu? Ukweli ni kwamba ukiamua kuokoka leo utakuwa huru kabisa. Ni biblia tu tutakupatia na kukuelekeza katika ushirika. Hutahitajika kuingia chuoni ili kufunzwa dini na pia utamwabudu Mungu wa kweli kupitia kwa Yesu Kristo wa Nazareti. Najua unaona ninachokuambia ni upuzi lakini ndivyo neno la Mungu linavyosema katika 1Wakorintho 1:18 "Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu". Amua sasa kumpokea Yesu Kristo ili usihesabike kwa wale wanaopotea.
Ndugu yangu unachoongea hakuna maana kabisa kitakacho kuokoa na moto ni ibazako na matendo yako atakakuokoa sio yesu anaokoa ni mungu mmojatu aliekuumba wewe na wengine nalieumba kilakitu sasa wewe ambaehutakikisoma siutakua mjinga na kupelekwa pelekwatu ndio maana unaona kunawatu waliamini wafunge mpaka wafe wakamione yesu kwasababu yakutosoma waliambiwatu waamini nawao wakaamini lakini kama wangesoma unafikili yangewakuta yalio wakuta?? Achaujinga ndio maana sikuhizi mnampelekapelekanatu kwakuto yajua maandiko sikuhizi Kuna wakristo wanaamini yesu nimungu wengine nimwana wa mungu wengine yesu nimtume wengine yesu ni nabii Yani hamjuihata mungu wao aliewamba huoni huo niwazimu nakuhusia ndugu yangu silimu umuabudu mungu alikuumba nakumtegemea yeyetu kwakilajambo nakuamini mitume wake wote kwayale maneno waliotuletea kutoka kwa mungu wao ambae ni mungu wetu inshallah endelea kujifunza iposiku utaujua ukweli pia fuatilia chenel nyingi zakiisilamu utajua mengi ubarikiwe sana assalamualaikum 🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿 niyaleyale