Тёмный

ASKOFU WA DINI YA MOWAR ROHO AAHIDI KUSILIMU. 

Straight Path Dawah
Подписаться 69 тыс.
Просмотров 4,4 тыс.
50% 1

Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. 📹

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 71   
@almuhorig1077
@almuhorig1077 2 дня назад
Sheikh ramadhan usichoke mwalimu wetu ...Tuwe tunakumbuashana sehem penye unahitaji usaidizi tupe taarifa ...Tupo pamoja tutajumuika sote tuendele kwa safari ya wema 💪💪💯
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 дня назад
Allah awafungulie nyote na awalipe kheri
@Swaleh-px1ug
@Swaleh-px1ug 2 дня назад
​@@StraightPathDawahAmeen
@suleimanmosooud9405
@suleimanmosooud9405 День назад
Nabari yenu yasimu Bora muiweke mrazote ili isisahaulike
@SmilingBreadLoaf-dx5de
@SmilingBreadLoaf-dx5de 2 дня назад
Jazakalaah Akhii ramadan wlh unafanya nabii mohamed scw inshaalah Allahu akuube tawaabu usiwache inshalah.
@softymoha5484
@softymoha5484 2 дня назад
masha Allah....msikiti wa mkurueni..unapendeza....alhamdhulillah..kwa kazi mulio ifanya....Allah...awazidishie....
@AssdfAssd-g3y
@AssdfAssd-g3y 2 дня назад
Mashallah mashallah nilipomuona tu nikakumbuka Allah amfanyie wepesi inshallah kazi munayo ifanya Allah atawalipa ❤❤
@alwaysthink0220
@alwaysthink0220 2 дня назад
Doh sheikh wetu ume ruka karibu ni dondoke bwana masha Allah
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 дня назад
😂😂😂😂
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 2 дня назад
Askofu, Mungu akubariki na akuongoze ktk njia ya haki.
@raniahmamu2586
@raniahmamu2586 2 дня назад
Masha Allah ❤❤❤❤❤
@Jamila-c7k
@Jamila-c7k 2 дня назад
Pole kijana sharifu Allah atakujaalia khery Bora umerudi kwenye dini ya kiislam
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt День назад
Aaminayaarabi😭😭😭😭😭
@MohamedMatata-iu9mm
@MohamedMatata-iu9mm 15 часов назад
Allahu akbaru Allahukibaru.hakika tuitafute elimunkwani niibada ILIO kubwa mashallah ALLAH AKULIPE SHEKHE RAMA
@mariamhakim1463
@mariamhakim1463 2 дня назад
Mimi nimeanza kukufaham na kukufuatilia miezi mitatu sasa kwakweli najifunza nisio yajua katika uislam ,mwenyezi Mungu akulipe kwakila jambo akufanyie wepesi katika maisha yako
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 15 часов назад
Mungu akuongoze pia inshallah ubarikiwe sana assalamualaikum 🙏🙏🙏
@mariamhakim1463
@mariamhakim1463 10 часов назад
@@zaidiissa3714 Amin yarabilAllah meen 🤲
@SheeMaryam.M
@SheeMaryam.M 2 дня назад
Ma sha Allah washalom nmemmiss sana Na wale vijana wasanii😊
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 2 дня назад
Ndugu yangu katika Imani RAMADHANI usiache hiyo kazi ya dawa mitihani kukatishwa TAMAA IPO Kila sehemu unaweza acha Kisha ALLAH akakupa mtihani mkubwa zaidi kama nabii yunus
@ZayyanaBamuni
@ZayyanaBamuni 2 дня назад
Alhamdulillah daawah inaendelea
@bahsansheikh6042
@bahsansheikh6042 2 дня назад
Abdulkarim maneno yako yameni touch sanaa. Alhamdulillah kwa neemah ya uislamu. Ramadhan tuko pamoja brother.
@angle3600
@angle3600 2 дня назад
Mashallah,kazi nzuri na Mola akulipe ujira ulio mwema
@AishaTabi-e2z
@AishaTabi-e2z 2 дня назад
Usjoke shekh wetu mzuri❤❤❤
@swidiqrajab4519
@swidiqrajab4519 2 дня назад
Mashaa Allah Allah Awaremu wazee aliyo wataja na Wazazi wetu waliotangulia mbele ya haki اللهم اغفر لهم وارحمهم واسكنهم الفردوس الأعلى
@mwanajaa-v5x
@mwanajaa-v5x 2 дня назад
Jazaka Allahu kheir tu nakuombea dua sana Sheikh Ramadhan usichoke wala usikate Tamaa MUNGU yuko pamoja nawe na changamoto ni kawaida Insha Allah MUNGU akubariki tunakupenda sana pamoja na team yako.
@muhammadh670
@muhammadh670 День назад
Allahuma nsurna ikhwanina fikulimakan
@ibraimodinodino828
@ibraimodinodino828 2 дня назад
Orgulhosamente muçulmano sub Hanna allah
@111dudi
@111dudi 2 дня назад
Mungu akubariki na akuhifadhi ustaadh Ramadhaan
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 дня назад
Allahuma ameen 😂
@harunmuriiki8011
@harunmuriiki8011 2 дня назад
MashaAllah
@Nora-v1m3p
@Nora-v1m3p 2 дня назад
Kheir in sha Allah pamoja ustadh wangu
@stevenjimnah5696
@stevenjimnah5696 2 дня назад
@Steven Jimnah:asalam alaikum warahmatulahi wabarakatuh. niko na ndugu yangu na ange penda kuslim. niko Kariobangi (civo)
@josemu870
@josemu870 22 часа назад
Allah amuongeze nguvu amulide ampe afya subra dawa iendelee kwa neema ya uislamu barikiweni sana sana kwa mafundisho bora
@AishaTabi-e2z
@AishaTabi-e2z 2 дня назад
Inshallah nitatuma
@fashym725
@fashym725 День назад
Tabaraka Allah just like venye wako job,na mzee mtafsiri wa kijaluo❤ may Allah grant wish Yao kuwa waislamu dala maber.
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 2 дня назад
Mashaallah Allha 💖💖💖
@AdanAbdulahiosman
@AdanAbdulahiosman 2 дня назад
Masha Allah
@Abubakar-jh3wt
@Abubakar-jh3wt День назад
Mashallah, AllahBarik
@aishaally6602
@aishaally6602 2 дня назад
Mukorino uislamu umempendeza ameshine
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt День назад
MashaAllah
@FatimaAlmasse
@FatimaAlmasse 9 часов назад
Allah akulipe chehe amiin
@daidibrahimadam482
@daidibrahimadam482 2 дня назад
watching from Mandera
@SaidMgeni
@SaidMgeni 2 дня назад
مشأ الله تبارك الله
@mwanaidiissa10
@mwanaidiissa10 5 часов назад
Mashallah
@angle3600
@angle3600 2 дня назад
Mungu awaokoe wengi kama wewe
@AminiIlungajuma
@AminiIlungajuma 2 дня назад
We miss that washalo guy
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 дня назад
insha'Allah he will be coming oftentimes
@AbdirashidmohamedNoor
@AbdirashidmohamedNoor 2 дня назад
Mashaalah. Leo I'm the first person
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 дня назад
Mashallah
@husseinosman6592
@husseinosman6592 День назад
Namba ya simu leta sheikh
@sadiajelle5348
@sadiajelle5348 День назад
Asc sheikh Ramadan binkuriya insha Allah Allah akulipe nahi kheer na Allah atukutanishe wote weetu jannatul furdous insha Allah nili kuwa lauliza hiyo namba ya mpesa ime andikwa nA jina gaani insha Allah
@kennodhiambo
@kennodhiambo День назад
Jesus Christ is the Straight Path. Islam is described in Proverbs 14:12- "There is a way that appears to be right, but in the end it leads to death". Otherwise my brother Ramadhan you are doing a good work, I pray that you receive the grace of salvation by embracing Jesus Christ as Lord and Saviour of your life.
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 14 часов назад
Sisi waisilamu hatuja mkataa yesu tunamuamini kabisa maana tunajua kama mtume wamungu ila sio mtoto wamungu wala yeye sio mungu kwahiyo hakuna shida yoyote
@kennodhiambo
@kennodhiambo 14 часов назад
@@zaidiissa3714 Islam is purely antichrist. Dhambi kubwa katika uislamu ni shirk na mnaamini motoni imeandaliwa yeyote anayemwamini Yesu kama Mwana wa Mungu na pia Mungu. Nyinyi ni wapinga Kristo. Hebu tumia Quran unionyeshe jinsi mnavyomwamini Yesu kwa kuwa Quran yenyewe haina habari za Yesu bali Issa bin Maryam
@ZayyanaBamuni
@ZayyanaBamuni День назад
😂lla Washaloom sikuizi amekuwa mpole sana,au shekh hujampatia maik akahubiri
@kennodhiambo
@kennodhiambo День назад
"Kutamka shahada ndiyo sharti ya kuingia peponi", wueeh Waislamu si mtanivunja mbavu! Manabii wote walikuwa waislamu - Ibrahimu, Musa, Sulemani, Yesu, Daudi ... kwa hivyo hawako peponi kwa sababu hawakutamka shahada!!! Haki waislamu si mzingatie ukweli ili muwe huru. Yesu ndiye njia, ukweli na uzima, mtu haendi kwa baba pasi na kupitia kwake. Uislamu ni njia inayoonekana njema lakini mwishowe unaelekeza motoni.
@kennodhiambo
@kennodhiambo День назад
Namwonea huyu mzee huruma sana. Hawezi kujieleza vizuri katika lugha ya Kiswahili na anaahidi kuingia uislamu!!! Huyu ataweza kumwabudu Allah kweli kwa sababu ni lazima ajifunze Kiarabu ndiposa aweze kuswali. Isitoshe, mzee yuko na miaka sabini na itamlazimu aende madrasa afunzwe dini katika lugha geni ambayo inaandikwa na kusomwa in the opposite direction. Huu si ni mzigo mzito kwa mzee kama huyu? Nikinena haya mnasema niko na chuki. Hebu nyie waislamu mnielezee kama kuna shortcut mzee atatumia ili aweze kumwabudu Mungu wenu
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 14 часов назад
Hakuna kinacho shindikana kwa binadamu ukiwa naimanitu inawezekana boratu uwenaimani na muachie mungu akuongoze maswahaba walisilimu wakiwa wazee sana zaidi ya huyu lakini waliijua dini nakua muisila sio kujua kirabutu bali nikuacha yale manaya yote mungu aliokataza nakufanya mema mungu alio wahusia manabii wake na mitume wake nakumuamini mungu pekee kwakilajambo kuto mshilikisha na viumbe vyake vyovyote huo ndio usilamu hatawewe utaka kusilimu unaweza nikuamuatu namumuomba akuongoze katika njia iliyo sahihitu basiutafanikiwatu kwauwezo wake ubarikiwe sana assalamualaikum 🙏🙏🙏🇹🇿
@kennodhiambo
@kennodhiambo 13 часов назад
@@zaidiissa3714 si ni lazima ajifunze kiarabu sababu sala zote ni za kiarabu?
@noorkhalil1306
@noorkhalil1306 2 часа назад
​@@kennodhiambo Allah doesn't burden any soul with what it can't bear kama haezi soma kiarabu atasali kwa lugha enye anaelewa for the mean time and then slowly learn kiarabu
@kennodhiambo
@kennodhiambo День назад
Waah! Kumbe kuwa muislamu ni gharama hivyo! Eti kuna school fees, kulipa walimu wueeh! Yaani haya yote ni kwa sababu ya kusoma dini katika lugha ya kiarabu ili mtu aweze kuwasiliana na Mungu! Huu ni mzigo mkuu jameni. Yesu akasema, Njooni kwangu enyi mliolemewa na mizigo mizito nami nitawapumzisha. Wapendwa, njooni kwa Yesu Kristo - hakuna kuingia shule usome dini bali kupitia katika Biblia Roho Mtakatifu atakuongoza kwa yote. Ukija katika Yesu hutastahili kubadilisha jina wala kuingia shule kusoma lugha nyingine bali utamwabudu Mungu katika lugha unayoifahamu na pia hakuna sheria nyingi kama zilizo katika uislamu.
@bashirmahero7021
@bashirmahero7021 День назад
Hata ujaribu kubadilisha neema ndugu haiwezi nani kasema hivyo ama unanena kivyako tuu mbona chuki kwa hili jambo jema aky
@kennodhiambo
@kennodhiambo День назад
@@bashirmahero7021 chuki iko wapi ndugu yangu? Zingatia ukweli uwe huru. Nimenukuu tu yaliyosemwa na ndugu yangu Ramadhan. Miye sina chuki bali ninatakia heri. Njoo kwake Yesu utoke katika utumwa.
@kennodhiambo
@kennodhiambo День назад
@@bashirmahero7021 Nadhani umewahi kushuhudia mkristo akiokoka. Je huwa anapelekwa katika shule ili asomeshwe lugha ya Yesu? Ukweli ni kwamba ukiamua kuokoka leo utakuwa huru kabisa. Ni biblia tu tutakupatia na kukuelekeza katika ushirika. Hutahitajika kuingia chuoni ili kufunzwa dini na pia utamwabudu Mungu wa kweli kupitia kwa Yesu Kristo wa Nazareti. Najua unaona ninachokuambia ni upuzi lakini ndivyo neno la Mungu linavyosema katika 1Wakorintho 1:18 "Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu". Amua sasa kumpokea Yesu Kristo ili usihesabike kwa wale wanaopotea.
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 14 часов назад
Ndugu yangu unachoongea hakuna maana kabisa kitakacho kuokoa na moto ni ibazako na matendo yako atakakuokoa sio yesu anaokoa ni mungu mmojatu aliekuumba wewe na wengine nalieumba kilakitu sasa wewe ambaehutakikisoma siutakua mjinga na kupelekwa pelekwatu ndio maana unaona kunawatu waliamini wafunge mpaka wafe wakamione yesu kwasababu yakutosoma waliambiwatu waamini nawao wakaamini lakini kama wangesoma unafikili yangewakuta yalio wakuta?? Achaujinga ndio maana sikuhizi mnampelekapelekanatu kwakuto yajua maandiko sikuhizi Kuna wakristo wanaamini yesu nimungu wengine nimwana wa mungu wengine yesu nimtume wengine yesu ni nabii Yani hamjuihata mungu wao aliewamba huoni huo niwazimu nakuhusia ndugu yangu silimu umuabudu mungu alikuumba nakumtegemea yeyetu kwakilajambo nakuamini mitume wake wote kwayale maneno waliotuletea kutoka kwa mungu wao ambae ni mungu wetu inshallah endelea kujifunza iposiku utaujua ukweli pia fuatilia chenel nyingi zakiisilamu utajua mengi ubarikiwe sana assalamualaikum 🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿 niyaleyale
@YashkhanDae
@YashkhanDae 11 часов назад
Wewe kwanza hujui ni nini Iko Kwa Bibilia yenu...
@saeedisa9798
@saeedisa9798 День назад
MashaAllah
@مريمنيجيريا-د5ل
@مريمنيجيريا-د5ل День назад
Mashallah
Далее
MAMBO YAMECHEMKA SANA ASKOFU AMIMINIWA MAANDIKO NA PASTOR
1:01:04
Prank Orchestra
00:10
Просмотров 1,9 млн
WHO IS MORE GREEDY?!
00:18
Просмотров 934 тыс.