Тёмный
No video :(

AZIZ ANDAMBWILE NA KIBWANA WATOA YA MOYONI BAADA YA KUSAIN MKATABA MPYA. 

Yanga TV
Подписаться 666 тыс.
Просмотров 87 тыс.
50% 1

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 93   
@protasmalala7559
@protasmalala7559 Месяц назад
We jamaa kwa mwandishi WA habari mzuri kuwahi kuwashuhudia!maswali ya msingi Sana unauliza..hongera Sana.
@AbrahamanHussein
@AbrahamanHussein Месяц назад
Ishallah nakuamin mdogo wangu uko pow💚💛🖤🫶✍️✍️✍️💪💪💪
@AmanaAmos-hv3yz
@AmanaAmos-hv3yz Месяц назад
Karibu sana Aziz jagwani,team kubwa,changamoto kubwa pambana tu💪💪💪
@user-ql6hg7fy9p
@user-ql6hg7fy9p Месяц назад
Ikawe heri kwenu na timu nzima kwa ujumla, kwa neema ya Mungu mjaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa zaidi.
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 Месяц назад
MUNGU ni mwema karibu Sana AZIZ kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@simonIbrahim-hc8vm
@simonIbrahim-hc8vm Месяц назад
Naipenda Yanga sanaaaaa nipo tayari kufia hii logo thankyou God 💋💋🙏🙏
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 Месяц назад
Waallaah mm nimefurahi sana mwanangu kibwana kuongeza mkataba mungu akupambanie nakupenda sana
@veelmng7746
@veelmng7746 Месяц назад
Karibu sana kijana, nimekuona kwenye mechi una talent kubwa sana , ukiongoze bidii utafika mbali sana. Mungu akupe afya njema
@5googleuuu727
@5googleuuu727 Месяц назад
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote twende zetu KUJISAJILI. Ila Tuwe juu zaidi
@joojombi2341
@joojombi2341 Месяц назад
Kila la kheri inshallah maendeleo mazuri na kazi Iendelee
@EllyTeddy
@EllyTeddy Месяц назад
Andambwile umeingia sehemu sahihi sana karibu yanga Africa mungu akusaidie
@claratango9262
@claratango9262 Месяц назад
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
@chollejr_
@chollejr_ Месяц назад
Ko Aziz andambwile atacheza😂😂😂 CAF champion 🏆 league,lkn timu nzima ya makolo watakua shirikisho 😂😂😂
@RichardAmos-eo9dh
@RichardAmos-eo9dh Месяц назад
Karibu sana midfielder ya boli#Aziz
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo Месяц назад
Karibu azizi kisiwa cha raha yang africas
@saimonjmai801
@saimonjmai801 Месяц назад
Tuna wategemea Sana Mungu awatunze 🔰🔰💪
@emmanuelthomas1078
@emmanuelthomas1078 Месяц назад
Huyu Azizi ni Victor Wanyama Mtupu 🔥🔥🔥🤔🤔🤔
@AlenAlen-m2e
@AlenAlen-m2e Месяц назад
Nakutakia msimu mzuri kak fanya san mazoez ongeza juhudii kak unanuka shida
@user-tf2kr5hv7z
@user-tf2kr5hv7z Месяц назад
Kalibu sana jangwan aziz andambile
@fosteryona7581
@fosteryona7581 Месяц назад
Sisi wanyakyusa ni wakarimu sana dah! Yaani ukimwaangalia tu unajua huyu mwaisa
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises Месяц назад
Aziz karibu jangwani pia
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Месяц назад
Karibu sana Jangwani🎉💚💛💛💚
@davismwape7500
@davismwape7500 Месяц назад
Home uuwashe moto ss hapo andambwile....kila la kheri
@fazo-kl9fu
@fazo-kl9fu Месяц назад
Akili kubwa sana uongoz wetu mungu aendelee kuwalinda
@maliadii4829
@maliadii4829 Месяц назад
Karibu Aziz tumekuona unaweza tuna hakika utajifunza kwa wakubwa waliopo hapo wenye uzoefu ili kusudi tukutungie wimbo Kama wengine tunakutakia kila la kheri
@ezrageofrey9668
@ezrageofrey9668 Месяц назад
your welcome aziz andambwile awaiting for the good to come💚💚💚
@goodluckabdul7316
@goodluckabdul7316 Месяц назад
Karibu sanaaaaa Aziz
@EliasHassan9
@EliasHassan9 Месяц назад
Karibu sana andambwile
@ceciliadaudi1632
@ceciliadaudi1632 Месяц назад
All the best champ 🎉🎉
@Fine_boe_11
@Fine_boe_11 Месяц назад
Young African champion of caf champions league 24/25 🔰
@adamuayubumwendolwa7723
@adamuayubumwendolwa7723 Месяц назад
Ni Andabwile sio Andambwile
@DaudFulberth
@DaudFulberth Месяц назад
Good💪💪💪💪💪💪
@ayubhumakuya8466
@ayubhumakuya8466 Месяц назад
Ckaribu kamanda🎉🎉🎉
@NahlaRashed
@NahlaRashed Месяц назад
Naona cku ata haziendi tuanze ayo mamechii😂😂😂😂
@RenatusKasinga
@RenatusKasinga Месяц назад
Nakubari kaka angu kibwana
@maliadii4829
@maliadii4829 Месяц назад
Nilikuwepo kwa mkapa kwa mara ya kwanza nilikuona ukichexa na tabora niliogopa sana nilivosikia hujasaini kwani walah niliona kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa asante sana kwa kuendelea kuwepo nasi huku kilimanjaro tunakuombea INSHAALLAH nakuomba alwatan msomee mwanangu hi comment kibwana
@PascaziaBenedict
@PascaziaBenedict Месяц назад
Yanga oyeeeeee
@IsmailKipande-ss1ty
@IsmailKipande-ss1ty Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤❤ yanga
@ramadhanimrungu5806
@ramadhanimrungu5806 Месяц назад
Chief kingalu waukae
@HusseinJumahussein-lf1xk
@HusseinJumahussein-lf1xk Месяц назад
Welcome⭐⭐💚💚🔥🤲🙏💪
@amaniomar1755
@amaniomar1755 Месяц назад
Karibu kijana
@chollejr_
@chollejr_ Месяц назад
Uyu kibwana 😂😂😂katoa wapi unywele 😂😂😂
@EsterPeter-h9d
@EsterPeter-h9d Месяц назад
Yangaaaa tamuuu
@emanuelyngoi4440
@emanuelyngoi4440 Месяц назад
Good ❤ yanga 🎉🎉🎉
@filemonkwaja6181
@filemonkwaja6181 Месяц назад
Yanga bingwa
@brandinamwakasendeka4756
@brandinamwakasendeka4756 Месяц назад
Am the first today
@LuckyTemu
@LuckyTemu Месяц назад
Anko kibwana umeongea kiakili kubwa❤
@SylvesterSafari-nf4fy
@SylvesterSafari-nf4fy Месяц назад
Tunaomba na interview ya chama na mwana wa mfalume dube
@user-zx9jd4jt8e
@user-zx9jd4jt8e Месяц назад
Gud signing
@abdullatifuhashimu4594
@abdullatifuhashimu4594 Месяц назад
Kwani jezi hizi za yanga sinakitu gani maana akiva mtu tu anabadirika
@yusuphkimomwe4276
@yusuphkimomwe4276 Месяц назад
Toa vitaulo baba,chief kingalu
@kisinza6077
@kisinza6077 Месяц назад
Nilisema kwa kiwango kikubwa cha Kibwana hawezi kuachwa, bahati nzuri kibwana left & right kwake fresh tu. Na huwa hashuki kiwango yaani huwa hana zile siku mbaya sana kazini.
@andersonbruno6255
@andersonbruno6255 Месяц назад
Chief baba...🔥🔰🇹🇿
@user-to9xw2mc9m
@user-to9xw2mc9m Месяц назад
Karibu jangwani🎉azizo
@MomadeMudimoz70-cs2ud
@MomadeMudimoz70-cs2ud Месяц назад
💛💛💚💚🔰🔰🔥🔥🔥
@StavoBella-pf6hu
@StavoBella-pf6hu Месяц назад
Mwamba kutoka mbeya sas
@jr_mkumbojr
@jr_mkumbojr Месяц назад
Wasenge mnanipelekesha kinoma na sitaki kukosa kitu daaah😅😅😅😅
@fatmasaaed144
@fatmasaaed144 Месяц назад
Yani utake usitake utakopa ata Bandon tuu izi raha😂😂😂😂😂😂
@jr_mkumbojr
@jr_mkumbojr Месяц назад
@fatmasaaed144 sina namna hii ni familia yangu napaswa kuihudumia kama hivi,lipa ada,nunua bidhaa zao na angalia contents zao🪡💚👌🧘‍♂️
@barakamwafwalo4680
@barakamwafwalo4680 Месяц назад
Yaani ukikosa bando tu video kadhaa zimemwagika 😂😂
@jr_mkumbojr
@jr_mkumbojr Месяц назад
@@barakamwafwalo4680 ni marufuku kukosa
@JamesMeshack-y8
@JamesMeshack-y8 Месяц назад
😂😂😂😂😂
@salumkitam6960
@salumkitam6960 Месяц назад
Kwann umempa mkataba mwaka mmoja wakati Bado mdogo
@user-hy3en6vk5f
@user-hy3en6vk5f Месяц назад
Mmenikera sana yaani Mmemuuza Azizi Ki 😭😭😭 daaah anyway Mungu atusaidie Wananchi 💔💔💔
@mamuwadomu8448
@mamuwadomu8448 Месяц назад
Unauhakika ? Basi kesho utamuona mazoezin AZIZ K tunae
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 Месяц назад
Aziz ki yupo sana jangwani ana miaka mbili nyingine mzee.
@amaniomar1755
@amaniomar1755 Месяц назад
Wewe @user-hy3en6vk5f nakuona unajaribu kuanzisha vugvugu uwachanganye wananchi
@user-ql2hc7zt6b
@user-ql2hc7zt6b Месяц назад
Muñgu mwema
@saididuri3518
@saididuri3518 Месяц назад
ni ujinga kumuacha zawad mauya na kumsanili aziz andanbwile kuna wanaotazama mpila kwa uelewa watanielewa.
@samsonkomba0000
@samsonkomba0000 Месяц назад
N andabwile
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je Месяц назад
Kibwana mngemtoa tu kwa mkopo
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 Месяц назад
Kwa nn wamutowe kwa mkopo mbona nkane kabaki kiwago cha kibwana nikikubwa sana kama ww huoni wengine tunaona tuache chuki na wachezaji tuwape moyo
@JordanKaunga
@JordanKaunga Месяц назад
Mh unaoji vizul sana
@fatmasuleiman3885
@fatmasuleiman3885 Месяц назад
Tunawapenda sana dua kwenu kila siku kwenu maaduwi wengi In sha Allah mwenyezimungu awalinde Amiin
@user-cl4dx3kc6k
@user-cl4dx3kc6k Месяц назад
Ili ndo jangwa pekee lenye maji ya kutosha na burudan ziendeleee!!!!!
@QuilalaselemaneSaide
@QuilalaselemaneSaide Месяц назад
❤❤❤
@AbujadiAbdalaAbujadiAbujad
@AbujadiAbdalaAbujadiAbujad Месяц назад
kiukweli mashabiki yanga tunainjoi tenakwasana tu nawatakia kwakilalaeli nimwana Mozambiquei 🇲🇿
@marymoshi572
@marymoshi572 Месяц назад
@Chinaomary-rn3qf
@Chinaomary-rn3qf Месяц назад
Mmh
@chollejr_
@chollejr_ Месяц назад
Rafu zmeongezeka😂😂😂
@DismasPhidason-vu6bt
@DismasPhidason-vu6bt Месяц назад
Kwahiyo atuna jersey za mazoezi??
@Samweldlemaanda
@Samweldlemaanda Месяц назад
Kila la kher xana mwaang
@AgnesNangale
@AgnesNangale Месяц назад
Nyanga raha san
@mariamjuma1670
@mariamjuma1670 Месяц назад
👏💛💚
@chollejr_
@chollejr_ Месяц назад
Kibwana katoa wapi madevu
@dastankhalifa5672
@dastankhalifa5672 Месяц назад
Anajua kuongea na anaonekana anajua anachokitaka ,Kila la kheri kwake
@proisolution7166
@proisolution7166 Месяц назад
NAOMNA ALWATAN MFIKISHIE UJUMBE HUYU AZIZ MWAMBALASWA NA SHEKAN,KUWA KWA MAUMBILE WALIO KUWA NAYO WAKIITUMIA HII NAFASI YAO KWA YANGA YAANI NIDHAMU,NA KUACHA MAJIVUNO(SIFAA) NDIYO VIUNGO WENYE SIFA +MTASINGWA KUBEBA TAIFA LETU-WATUMIE TRAINING FACILTY ZA YANGA KAMA MAYELE ALIVYOKUWA ANAFANYA.
@proisolution7166
@proisolution7166 Месяц назад
AFANYE MAZOEZI SANA APUNGUZE UNENE HILI AENDANE NA KASI YA YANGA ASIBWETEKE PLEASEEEE
@zakayomaendeleo
@zakayomaendeleo Месяц назад
😊😊😊
@YusuphLukindo-vi9ow
@YusuphLukindo-vi9ow Месяц назад
🎉🎉🎉🎉
@filemonkwaja6181
@filemonkwaja6181 Месяц назад
Bwana kibwana,
@LukindoMchome-qv3vo
@LukindoMchome-qv3vo Месяц назад
Yanga bingwa
Далее
Smoke 😱
00:26
Просмотров 1,2 млн
BABA YANGU KIPOFU Full episode /31/ #love
40:19
Просмотров 151 тыс.
Smoke 😱
00:26
Просмотров 1,2 млн