BAABUSALAAM, YAWAKUTANISHA USO KWA USO MASOUD NA MUHIYA - NAHAWAND, BAYATI NA AJAMY YASHAMBULIWA Follow Us On: INSTAGRAM: / miladu_tv FACEBOOK: / babdeo miladu/ TIKTOK: www.tiktok.com... RU-vid: / @babdeomiladu
Jamani eeeeh! Narudia hapa kwa muhiya ananikumbusha kina Riyadh Sanbatwi, Abdelhaleem Haafidh . Masud hayafikii haya maji tuache uongo km mtu wa Fanni hasa kawasikilize hao wamba ndy utajua muhiya nan
Unavyo ongea Tz ni 1 nae masoud unamtukanisha kwa watu wa leo maana masoud hivi sasa ni mpiga kelele tu na sauti ya kichwani ndio imebaki kwake ufundi wa pumzi pumzi hana kabisa 😂