Ninachojiuliza ataingia kwenye mfumo wetu wa teamwork na sio ufather au kuridhika na mshahara.watoto wa jangwani daima mbele nyuma kwety mwiko...asije kuwa kama skudu makudubela.
alliy kamwe unafaya vizuri sana nduguyetu nasisi tukonawewe lakini kunamakosa yanafayika usikasirike kuhusu ndugu yetu jamayetu manji manji likuwa mukezaji wetu wazamani alitupa furaha sasa yeye ametagulia mbeleya haki hata siku 2 hazijapita wewe unaigiya mitaani kufaya furaha ya chama ugesubiri siku 3 chama yupo yanga ipo kwakweli sio vizuri sisi tupohuku marecani tulishagazwa kuona wewe ukomitani kwa furaha bada manji kufa
Kaondoka chama kaja mutale mtoto mdogo miaka 22 kwa hiyo hakuna hasara zamu yenu kuchukua majina simba wanachukua vijana mbwembwe zitaisha kweli simba ina vipaji amefanya mazuri alipo kua simba malizieni uzee ujana wa simba