Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa utendaji wako mzuri ikiwa ni pamoja na jitihadi zako za kuwaweka vizuri wapinzani.
Nimefurahishwa na kikao cha viongozi hawa wawili na hasa mrejesho wa agenda zilizoongelewa.Agenda zilizoongelewa ni pamoja na kesi ya Mwenyekiti wa chadema Mh.Freeman Mbowe.Na kwamujibu wa Tundu mwenyewe amesema amemueleza Rais kuhusu kesi za kisiasa ikiwemo Yaani Mwenyekiti huyo,na kuomba Rais asaidie
Mama ni muwazi, ameliona hilo na ameweka wazi (maadui zaidi wapo/watatokea ndani ya Chama chake) Hivyo WaTz tuwe makini sana na watu wanaopenda kutugawa kwa Dini, Ukabila, Ukanda na Vyama vya Siasa nk.
CCM ni Ile Ile sioni Kwa nini wapinzani wako exited, Kikwete alikuwa anawaalika Ikulu na kaondoka bila kubadilisha katiba! Mnaongea saaana well ngoja tuone
Hatua hii inatupatia picha kuwa nyota ya asubuhi inaanza kuchomoza na Taifa kurejea katika uhalisia wa kitanzania. Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania.
Kwa kusudio lile lile la Zitto,Tundu Lissu nae amemueleza na kumuomba Rais asasidie katika kesi hiyo.Tafakuri yangu hapa ni je,dhamira ya Zitto inatofauti gani na dhamira ya alichokiomba Tundu mbele ya Rais?
Kuna mengi chini ya carpet, mwenye nafasi kubwa ya kuyajua kati yetu wote ni mkuu na amiri jeshi wa nchi. Naamini Rais ataamua kwa manufaa ya nchi yake na sio kumridhisha mtu au kikundi cha watu wachache. Tinamwombea Rais wetu afanye maamuzi yenye tija kwa Taifa letu.
Kinachotakiwa ni kumsapoti Mh. Raisi (Raisi ni binAdamu si Mungu na hata huyo Mungu Mola Muumba kuna baadhi ya watu wasojitambuwa humkosowa Mungu na hufikia hata kumtukana Mungu) ! So mama ameanza kwa busara na hekma mashaallah na kadhalka tuelewe kuwa anapambana na changamoto nyingi; kuunguwa kwa Masoko, mauwaji, mafisadi, wasariti rushwa nk. Hivyo tumwwche mama apige kazi na tumuombee dua njema na tuondoe tofauti zetu za Dini, Kabila, Kanda na Vyama vya Siasa nk. Inshaallah KAZI IENDELEE.
@@salimmalaka256 Acha upumbavu wewe. Tanzania hakuna uhuru wa mahakama. Mahakama za Tanzania, hususan katika kesi za kisiasa, zinaendeshwa na serikali kwa mlango wa nyuma. Raisi akiamuru leo Mbowe aachiwe, anaachiwa kwa kupitia DPP. Hata ile kesi ya Masheikh wa UAMSHO wapumbavu wengi kama wewe munadhani wameachiwa na muhimili wa mahakama. Yale yalikuwa ni maamuzu ya raisi (serikali) baada ya kumtaka DPP afute kesi na awaachie huru. Amka mjinga wewe!.
hao mafahari wawili ni wepi? ni nani na nani. msikilize rais akihojiwa na chombo fulani cha habari amejibu nini? usiongee tu kama unajua kuliko wengine jipime
Ni jambo zuri na lenye kuvutia watu wenye mapenzi mema kwa taifa letu ila ninaamini sii wana ccm wote wamefurahishwa na hicho kitendo maana wao ni wanufaika wakubwa kwa chuki dhidi ya wapinzani
Nahisi Grace Kagoma si Jina halisi ni nyoka mwenye sumu Kali. Grace una "comment" mara nyingi in a "negative" way dhidi ya Lissu. Nahisi unaweza kuwe ndie uliye kula njama, na kutekeleza ugaidi aliofanyiwa Lissu. Unachuki za wazi kabisa dhidi ya Lissu. Pole sana Grace wa uongo unae jificha kwa jina hilo. Kumbuka huu ni ulimwengu na hii ni dunia kila kitu kitapita!
Ngurumo unaongea Sana unahisi wewe ndo unayeijua nchi na namna ya kutatua matatizo. Unaposema majizi ya awamu ya tano unamaana gani. Kama majizi yalijenga flying over, yakaimarisha nchi, yakatupatia umeme bila kukatika, yakaimarisha uchumi bila kukopa Sana. Tungemwomba Mungu aturudishie hayo majizi.