Hivi sikuizi serikali yetu yatanzania inamchango gani navijana wanao fanya vizuli darasani zamani nakumbuka walikuwa wanapelekwa nchi zanje kuendelezwa kimasomo na selikali na kulikuwa nashule maalum za vipaji watoto wenye vipaji uwezo wakimasoma shuleni
Sijaelewa mahudiano ya kanisani au msikitini na mafanikio katika maisha au masomo, mbona Steve Jobs wala Elon Mask hawakwenda huko kwenye nyumba za dini? I don't get it man