Тёмный

BABA YANGU KIPOFU Full episode /12/  

BabaJoan
Подписаться 558 тыс.
Просмотров 547 тыс.
50% 1

#love

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,1 тыс.   
@BabaJoani
@BabaJoani 3 месяца назад
JAMANI COMMENTS ZENU ZOTE NINAZISOMA KWAIO USIACHE KUKOMENT KWA KUHOFU KWAMBA SITOIONA COMMENT YAKO, ENDELE KUTOA COMMENT ILI NIZIFANYIE KAZI ASANTENI, NAWAPENDA MNO WATU WANGU MUNGU AWABARIKI
@MwahanjeNdegwaNdegwa
@MwahanjeNdegwaNdegwa 3 месяца назад
🇰🇪 Usijali tpo pamoja Hku kenya tunakukubali sana broo🇰🇪 We jembe brother.
@lucyodhiambo5554
@lucyodhiambo5554 3 месяца назад
Tunakupenda 😂😂hata kuliko mabwana zetu endelea kuleta zingine utuchangamke hapa RU-vid 😂😂😂😂bwana yangu asisome hii comment sita lala nyumbani leo jamani 😂😂😂
@MERCYmercy-rl3lu
@MERCYmercy-rl3lu 3 месяца назад
Tunakupenda sana baba karobo ❤
@amarikakozi8452
@amarikakozi8452 3 месяца назад
Nataka number yako brother
@ZiadaNiyinkuru
@ZiadaNiyinkuru 3 месяца назад
❤❤❤❤ nakupend san munachez vizir
@J74251
@J74251 3 месяца назад
Kutoka Kenya Hapa Niko nakufatilia mwanzo mwisho Kaka kazi nzuri Sana ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤🎉❤
@SmilingCaterpillar-yy3jc
@SmilingCaterpillar-yy3jc 3 месяца назад
Baba joan naomba nami nipatie scene Moja nawew from MWANZA. NAPENDA sana kazi zako
@chantalmariesony2996
@chantalmariesony2996 3 месяца назад
😂😂😂😂 baba kalobo ongera sana mukojo munakojowa Kwa ndoo😂😂😂 zujath muongo kwenye Glass 🍷
@Junior-l4u4p
@Junior-l4u4p 3 месяца назад
Jamani leo nim wahi hata ddakika haijaisha naomba like zangu from burundi
@BothainaBothaina-k6c
@BothainaBothaina-k6c 3 месяца назад
Kazi safi Sana hongereni Baba karobo unatufunza Sana mambo mengi mungu ashidi kukuongezea kupita hapo ulipofika🎉🎉❤
@Allymwaliza-p1g
@Allymwaliza-p1g Месяц назад
naombauniunge nagurupula Whatsapp
@MashMashile
@MashMashile 3 месяца назад
Baba Joan love your movie mw w maisha unanifundisha sana ...unafundisha maisha
@Cutenaah
@Cutenaah 2 месяца назад
Baba karobo no one
@MudyAboud
@MudyAboud 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂 nlikuwa nangoja mtuamwagiwe mkojo mecheka had mejizindukia😂😂😂😂😂😂
@KelvinKalinga-rf4jt
@KelvinKalinga-rf4jt 3 месяца назад
😂😂😂😂 Hilo kojo amelinywa leo dadeki
@niyogushimadorine6086
@niyogushimadorine6086 3 месяца назад
Nimechelewa nawapenda sana team kalobo tujuane. Fromm Burundi 🇧🇮 ♥️ ❤️ 💖
@tete-h1m
@tete-h1m 28 дней назад
❤❤❤
@etsareliza6687
@etsareliza6687 3 месяца назад
Yaani kila m2 niwakwaza anaomba like haya na wamwisho tutaomba nini. Baba kalobo hongera sana na ma.kalobo kacheza vzr 🎉🎉
@DamarisDammie
@DamarisDammie 3 месяца назад
Dakika ya kumi huyu mama karobo angemwagiwa tu kwa mdomo ili afunge hiyo mdomo ako n kiherere xx watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@amosbarasa3516
@amosbarasa3516 3 месяца назад
😂😂😂😂😂 She's amazing I say, I like how she acts
@DamarisDammie
@DamarisDammie 3 месяца назад
@@amosbarasa3516 huyu n moto jameni 😂😂😂
@ashamwanganzi6400
@ashamwanganzi6400 3 месяца назад
😂😂😂yaan kwel aki anakera kinyama wallah😂😂😂😂
@amosbarasa3516
@amosbarasa3516 3 месяца назад
@@ashamwanganzi6400 but sio Kwa ubaya
@MiriamKiroko
@MiriamKiroko 3 месяца назад
Also in Kenya 🇰🇪
@AksantibiganikiroJoel
@AksantibiganikiroJoel 3 месяца назад
Napenda sana asante Joël form congo ❤❤❤
@VanessaSide
@VanessaSide 3 месяца назад
❤❤❤❤❤
@alexandrodieumerci8955
@alexandrodieumerci8955 3 месяца назад
From Burundi 🇧🇮 mjue kuwa mnanibagua sana maana sijapewa hata like 10 , jameni
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala 3 месяца назад
Hapana jaman❤❤ karibu sana
@jonnyndixh9414
@jonnyndixh9414 3 месяца назад
​@@SadaKigwangalahyo like unataka haijafika
@Abomalek-o2e
@Abomalek-o2e 3 месяца назад
❤❤
@mpajibinaisa7238
@mpajibinaisa7238 3 месяца назад
Oyaa ntakibhazo ilike ngizo ngaho tola
@HajiMwanz-to3vg
@HajiMwanz-to3vg 3 месяца назад
Sisi kama wa tanzania atunaga ubaguz ndugu kama like utapata tuuu😂
@IlhamShaban-vq3kx
@IlhamShaban-vq3kx 3 месяца назад
Jamn waooooh❤🎉 mpewe mauwa yenu
@EstherEsther-u2k
@EstherEsther-u2k 3 месяца назад
Part 13 I don't want to miss any part am sending love from Uganda 🇺🇬
@Fadhakir21
@Fadhakir21 3 месяца назад
Kazi za sisi waha sio za kitoto like moja kwanza ya baba karobo ❤Nisovyeko😂😂😂
@Mwinyh-lp1mo
@Mwinyh-lp1mo 3 месяца назад
1:38 tembere limengia mkojo 😁😁 tutakula 😂😂😂😂
@AsmaRamadhani-ok6iv
@AsmaRamadhani-ok6iv 3 месяца назад
Nyuki hahhahahahahahahahhaah umenifurahisha san pia umetusabraiz wana baba joani
@FaustinaAngelo-d4d
@FaustinaAngelo-d4d 3 месяца назад
Tena so kitoto kaua balaa
@HappyYusuph-ru3nn
@HappyYusuph-ru3nn 2 месяца назад
Waha hatujawahi kukwama hata siku moja
@tresorkinyeshe6965
@tresorkinyeshe6965 3 месяца назад
Kweli baba lobo nimusanii kaabisa anaombwa ku like vidéo zakwake na musahada ila number 13 siiyone sijuwe kama hipo de njo mwisho
@stevedavid1198
@stevedavid1198 3 месяца назад
From Nairobi Kenya 🇰🇪 hizo likes jamani
@نورة-ذ3غ2ث
@نورة-ذ3غ2ث 3 месяца назад
Safi sana kazi nzuri sana hongerani Kwa nyote
@Cutenaah
@Cutenaah 2 месяца назад
Baba karobo no one
@Jacky-u5h
@Jacky-u5h 3 месяца назад
nimefurahi leo.kutoka kenya nafatilia mno.like hata mbili mtaridhika
@zephbaraka
@zephbaraka 3 месяца назад
Mnipee like leo... Kazi safi nmekuwa nkiifuatilia Sana Kwa muda.......Kenya tunaipenda hii sana
@suleimankipyego5143
@suleimankipyego5143 3 месяца назад
Nipeni like jamani mimi mkenya nko Canada 🇨🇦
@amosbarasa3516
@amosbarasa3516 3 месяца назад
Us Kenyans 🇰🇪 we are proud following daily Bro, Kazi nzuri sana pongezi sana
@user-martins
@user-martins 3 месяца назад
Siwezi kukosa kuwa pamoja nanyi kwa ali nnanikosha. Kutoka Moçambique. Naomba like zangu
@JanethKimath-d5n
@JanethKimath-d5n 3 месяца назад
Naombeni jamani muwe mnawahi kuzitoa ni nzuri sana tunazimisi sana mkichelewesha
@perissigano
@perissigano 3 месяца назад
From Kenya 🇰🇪🇰🇪 likes zikuje❤❤❤
@Phoebenafula
@Phoebenafula 3 месяца назад
Wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪Naomba likes
@fredrickowino3
@fredrickowino3 3 месяца назад
Nawafuatilia sana kutoka huku kenye kazi nzuri sana ila munachelewa sana
@mvinyo99
@mvinyo99 3 месяца назад
Hongera Kwa KAZI nzuriii baba Joan Waomb likes toen maonii KIPI kiongezeke au maoni mengne sio kuomba likes tu😊
@fammamourchy2164
@fammamourchy2164 3 месяца назад
Maombi weeeeeeh 😅😅😅😅😅😅😅 Utapeli mama Kalobo shauri yako Ubaya utakurudia Baba Kalibo tunasubiri ukweli 🎉
@ksaskaka
@ksaskaka 3 месяца назад
Kazi nzuri sana baba karobo ❤❤❤
@Cutenaah
@Cutenaah 2 месяца назад
Baba karobo no one
@sandejacob623
@sandejacob623 3 месяца назад
naomba fashion atengeneze nyimbo ya baba yangu kipofu , itakuwa vizuri sana
@sikujuakigwada3146
@sikujuakigwada3146 3 месяца назад
Wakwanza leo, likes zangu nataka
@AnnaAmanda-v4q
@AnnaAmanda-v4q 3 месяца назад
Sijawahi pata like me nawapa nyie tu na mm naomba 😢😢❤😂
@Cutenaah
@Cutenaah 2 месяца назад
Baba karobo no one
@constantinndayishimiyenshu4948
@constantinndayishimiyenshu4948 3 месяца назад
Thank you baba Kalobo from Rwanda
@FlayLizzy
@FlayLizzy 3 месяца назад
Baba kalobo anajuwa kuingiza kama kipofu natamani niwe kama yeye❤❤❤
@RosaVicenteMulota
@RosaVicenteMulota 3 месяца назад
Mama karobo utakoma tu huo mwanzo tu😂
@stivemgonja4657
@stivemgonja4657 3 месяца назад
Mnahangaika na like lakin kulike za wengine aaah
@SamanthaMugisha-n9x
@SamanthaMugisha-n9x 3 месяца назад
From Burundi Sas nao omba like munazipeleka wp jaman😂 bol mutoe maon ety like zangu daah! Ongelen Jaman next ep naigojea
@HendriBunuas
@HendriBunuas 3 месяца назад
Baba karobo anaweza 👍mimi kutoka MZ nigongeh like 20 tu
@BensonJairo-o5y
@BensonJairo-o5y 3 месяца назад
Wakwanza Leo nipeni likes zangu kutoka kenya
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 3 месяца назад
😂😂😂😂
@MasnamussaPp
@MasnamussaPp 3 месяца назад
Aminia bb karobo ila heee mama karobo tapeli apuliza huku akitafuna 😂nakufuatilieni mwanzo mwisho from yemenia❤hizi story zenye kuelimisha
@GloriaNahimana-x8p
@GloriaNahimana-x8p 3 месяца назад
Leo20 kutoka 🇧🇮🇧🇮 naomba like zangu🎉❤🎉
@herenherman8077
@herenherman8077 3 месяца назад
Mambo zako❤
@GloriaNahimana-x8p
@GloriaNahimana-x8p 3 месяца назад
@@herenherman8077 poa
@GloriaNahimana-x8p
@GloriaNahimana-x8p 3 месяца назад
​@@herenherman8077Poa
@GloriaNahimana-x8p
@GloriaNahimana-x8p 3 месяца назад
​@@herenherman8077fiti
@TaussiMansoor
@TaussiMansoor Месяц назад
@Sakina-jl6fn
@Sakina-jl6fn 3 месяца назад
Nipitieni uku twendelee na safari
@JONATHANMUMOMUSIC
@JONATHANMUMOMUSIC 3 месяца назад
from Kenya hakika mungu na hawabariki sana sisi tunawapenda from Kenya❤
@PriskusMarunda
@PriskusMarunda 3 месяца назад
Nimekuwa wakwanza naombeni like zangu
@JullianaEmmanuel-tm5xg
@JullianaEmmanuel-tm5xg 3 месяца назад
Nyuki yaan ww utafka mbingun umechoka sana, lkn hongera
@abedsaidy7263
@abedsaidy7263 3 месяца назад
😂😂
@minaelpaul9219
@minaelpaul9219 3 месяца назад
@@JullianaEmmanuel-tm5xg alitakiwa awe mchungaji wa ukweli
@FaustinaAngelo-d4d
@FaustinaAngelo-d4d 3 месяца назад
​@nyukitvonlinemwendelezo wa ndoa ya kahaba
@rukiahassan7001
@rukiahassan7001 2 месяца назад
Nyuki umefika fikaje uku naona kwako ni donta tv
@JAPONAISMBUTOBINSIKU
@JAPONAISMBUTOBINSIKU 3 месяца назад
mama karobo kiboko nabado atatafuta waganga wakihenyeji ili amutafute kumuhuwa baba karobo. niko congo❤
@KambaleMbangale
@KambaleMbangale 3 месяца назад
Leo Wakwanza mimi
@MalhasanSaid
@MalhasanSaid 3 месяца назад
Plz leteni episode ya 13 haraka plz kazi nzuri sana🎉🎉🎉
@Cutenaah
@Cutenaah 2 месяца назад
Baba karobo no one
@Jamespandei
@Jamespandei 3 месяца назад
kazi nziri form kenya
@Hermesntibandetse
@Hermesntibandetse 3 месяца назад
Mama kalobo kajua kucheza Sana makofi kwake
@jemeswambua3174
@jemeswambua3174 3 месяца назад
Dio wakwaza Leo kutoka 🇰🇪
@Cutenaah
@Cutenaah 2 месяца назад
Baba karobo no one
@Everayubu
@Everayubu 3 месяца назад
Mm jaman ujue sielew kile kipengelee cha yule mbaba na mke wake wanajikojolea cjui kinamaanaa ganii kweny hii moveee mmeniachaa
@JoffiAlenga
@JoffiAlenga 3 месяца назад
😢😅😂😂😊 Jr has been in a rush with my family's and cool house in the morning 😁 I think I want you guys to sell the car and the car is my favorite color I think I want to sell it for you and I want you to be a good friend of mine too lol and
@JullianaEmmanuel-tm5xg
@JullianaEmmanuel-tm5xg 3 месяца назад
Ila ukiomba kwa Iman unapona, na sio kuamin mtu
@lartiste243lovangel3
@lartiste243lovangel3 3 месяца назад
Usijali baba kalobo tuna kufata sana Congo RDC naomba like zenu jamina Nami nafanya music 🎵
@zarejapheth7247
@zarejapheth7247 3 месяца назад
Aki msisimko wa mamake Karobo linaniingia hadi kwenye nyonga, huyo hatari sana, nasahau eti ni kuigiza tu namuona kama Shetani huyu, Karobo ana akili huyo mtoto anipagawisha, Mungu awajalie makubwa mema
@Cutenaah
@Cutenaah 2 месяца назад
Baba karobo no one
@pkcamlesh2465
@pkcamlesh2465 Месяц назад
Bwana kikojozi na binti kujamba mumenimaliza katika maguzungumzo ya kufanyia ufumbuzi tatizo lenu😂😂😂😂🖐️✋duh nmecheka mpaka mbavu zmeuma😂
@philohmutua2968
@philohmutua2968 3 месяца назад
Team hamam nini nafwatilia baba karobo nikiwa tabuk. Nawewe❤❤❤
@PatriciaMshanga
@PatriciaMshanga 3 месяца назад
Jamn baba Joan penda wew sana movie tamu sana Big up brother
@InnocentSeth-k1f
@InnocentSeth-k1f 3 месяца назад
Vizuri kwa jinsi munavyo endelea kufanya kazi Ila huwa munachelewa
@IssaAbdillah
@IssaAbdillah 3 месяца назад
From kenya 🎉hapa nomaa sna Kwa mkojo 😂😂😂,,,
@kinanaissango3492
@kinanaissango3492 3 месяца назад
Kuna wahusika hatuwaoni Kwa Sasa walikua WA moto tunaomba warudishwe kazi zijazo nice job
@Cutenaah
@Cutenaah 2 месяца назад
Baba karobo no one
@ishararamazani1
@ishararamazani1 3 месяца назад
Nitafurahi kwa mwisho baba karobo aone alaf aifanye siri ili aone mambo ya mama karobo nawaza ndjo itakuwa utamu wa hii kitu
@MCMussa-tl8kn
@MCMussa-tl8kn 3 месяца назад
Wakwanz jaman naomb like hata 10 maan nimejitahid kusubir sana♥️♥️
@ShabaniRamadhani-s8h
@ShabaniRamadhani-s8h 3 месяца назад
KAZI nzuri sana kaka tunajifunza mengi sana my brother 💪💪
@Cutenaah
@Cutenaah 2 месяца назад
Baba karobo no one
@RukundoHamdan
@RukundoHamdan 3 месяца назад
Kitu kizuri sana wakwanza nipe lik
@LewisHamiltonGLD
@LewisHamiltonGLD 3 месяца назад
Mchungaji kimekuramba after kufanyia neno la mungu mchezo mama'ke karobo unafanyisha mchungaji dhambi aky hadi akaibiwa kila kitu 😂😂😂baba Joan tuko pamba Kwa pamba tunaenjoy pia tunajifundisha🎉🎉🎉
@hagayinkundimana
@hagayinkundimana 3 месяца назад
Muombaji Mukora sana Link kwangu from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@PeterMgani-v7c
@PeterMgani-v7c 3 месяца назад
Baba joan unajitahidi ~sana kaza buti yan utafikiri mov za. Kinaijeria safi sana nimeipenda
@minaelpaul9219
@minaelpaul9219 3 месяца назад
Kwa maombi haya hata kama ni ya kinafiki mbn mungu atajibu
@Kwaricha
@Kwaricha Месяц назад
Wewe unaweza sana umempita mpaka mbusi anae toa snake boy ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@AliIbrahim-gg2sx
@AliIbrahim-gg2sx 3 месяца назад
leo kdogo nimewahi likes zangu plz.
@TumainiUrio-k7o
@TumainiUrio-k7o 3 месяца назад
Nabarikiwa na movie zenu zina maadili hata watu wazima na watoto wanaweza kuangalia❤️❤️ Baba karobo umeuaaaaaa
@SarahBimuloko
@SarahBimuloko 3 месяца назад
Najuliza kwa nini apo mwanzo ya iyi films peko watu wenye shepu néné nene
@Priscilah-c7g
@Priscilah-c7g 15 дней назад
😂😂😂hawa wachumba wawili wana shda gn jamani 😂😂.kikojozi na mnyambaji😂😂😂😂😂😂
@lucykellymlenga-nm1br
@lucykellymlenga-nm1br 3 месяца назад
Jamana nawaomba like hata moj TU jamn
@MICHAELOWINO-s7g
@MICHAELOWINO-s7g 15 дней назад
From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ata like moja washikaji wangu
@AnoriteMungusa
@AnoriteMungusa 3 месяца назад
🔥🔥👍👌
@breakingpot2545
@breakingpot2545 3 месяца назад
Keep going its interesting,tunafuatilia hapa KE
@SilviaDirecto.
@SilviaDirecto. 3 месяца назад
like mama karobo n tabia take mbaya
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 месяца назад
Tena yakunuka kama hiloo kojoo amemwagiwaa
@BonifasNikodem
@BonifasNikodem 3 месяца назад
Pole sana baba joan ninapenda sana movies zako kwasababu ninajifunza mambo mengi sana kwenye haya maisha kupitia movies zako
@EdsonObadia-d9z
@EdsonObadia-d9z 3 месяца назад
Hahahaaa mama karobo
@HassanSalehMohd
@HassanSalehMohd 2 месяца назад
Allah atuhifadh waliongia kwenye ndoa natuliokuwa hatujaow Allah atupe wake wema insha Allah.😭😭😭😭
@PurityJohn-b7w
@PurityJohn-b7w 3 месяца назад
Kuna kinyambizi na kikojozi😅😅😅😢
@rosemarenga832
@rosemarenga832 3 месяца назад
Umesahau pastor wa mchongoooo😂😂😂😂
@PurityJohn-b7w
@PurityJohn-b7w 3 месяца назад
@@rosemarenga832 weeuuhh 😅🤦 hawa watanzania wataniuwa bana
@rosemarenga832
@rosemarenga832 3 месяца назад
@@PurityJohn-b7w hahaha 😂🤣🤣 bado ujathema ad utheme
@PurityJohn-b7w
@PurityJohn-b7w 3 месяца назад
@@rosemarenga832 toka hapa nmesusus venye ulikuwa unataka🤣🤣🤣🤣🤣
@rosemarenga832
@rosemarenga832 3 месяца назад
@@PurityJohn-b7w Sis ndio watanzania🤗
@christineamuku1254
@christineamuku1254 2 месяца назад
Watching from Kenya much love❤❤❤ baba Karobo kazi nzuri
@scompanyswahili3024
@scompanyswahili3024 3 месяца назад
Huyu mama karobo huyu mimi simpendi ila hii character kapatia hongera mama karobo
@nasramakumbuli9742
@nasramakumbuli9742 2 месяца назад
Kaz zako mzur sana zinaleta ujumbe kweny jamii zetu Kwa wale wa mama weny tabia kama ya mama karobo.🫡
@rasoamaelo8759
@rasoamaelo8759 3 месяца назад
First to comment
@ZAHARASALUMU-l6m
@ZAHARASALUMU-l6m 3 месяца назад
Nani kamuona mchngaji nyukii😂😂😂😂😂😂😂
@glorymanga3650
@glorymanga3650 3 месяца назад
Nikimaliza kuangalia movie ndo nitakoment vzuri
@WilliamsJoshua-oq8wr
@WilliamsJoshua-oq8wr 3 месяца назад
Keep it up my friend❤❤❤❤❤❤
@sadcome3213mapenzi
@sadcome3213mapenzi 3 месяца назад
Wakwanza ❤ Leo jamani like zangu hapa
@JosephNtalima
@JosephNtalima 2 месяца назад
Kaz nzur sana baba karoboo mungu akikuzeee kipaji chakooo I really appreciate what you doing
@TomFundi
@TomFundi 3 месяца назад
Baba kalombo mkojo kwa matembele, zujat kwa glass 💐 chukua maua yako
@GangoJr
@GangoJr 2 месяца назад
Naitwa MOHAMEDI YUSUFU GANGO nasoma lgti hombolo dodoma nasema kazi nzuri sana movi zako Zina mafunzo mazuri Yani good work
@REHEMANCHALIKA
@REHEMANCHALIKA 2 месяца назад
𝐊𝐮𝐦𝐛𝐞 𝐜𝐨𝐦𝐦𝐞𝐧𝐭 𝐲𝐚𝐟𝐚𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐭𝐚𝐦𝐛𝐮𝐥𝐬𝐡𝐚 𝐤𝐰𝐰𝐧𝐳𝐚😂
Далее
BABA YANGU KIPOFU Full episode/13/ #love
35:52
Просмотров 537 тыс.
PL Ch4 Lect03
59:21
Просмотров 386
BABA YANGU KIPOFU Full episode /45/ #love
20:10
Просмотров 230 тыс.
BABA YANGU KIPOFU Full episode/44/ #love
20:05
Просмотров 406 тыс.