BAHATI BUKUKU:AFUNGUKA KUHUSU KUZUSHIWA KIFO 'BADO NAISHII'.ROSE MUHANDO AMERUDI KUNDINI | MASANJA TV TANGAZA NASI MASANJA TV TUPIGIE SASA KWA NAMBA 0712329490 SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Gospel Updates: 👇 👇 / @masanjatvgospel
Nangoja Sana mum Hiyo album mpya.Utaishi hadi Adui washangae. Songa mbele mama binadamu atabaki Kua binadamu tu na mwenye wivu. Waombee waishi miaka Mingi Ili washuhudie makuu ya Mungu maishani mwako. Love you so much mama💞💞
Namshukuru Mungu. Bahati yu hai Ilo tangazo la ibilisi la kumzushia bahati amekufa. Ninalifuta kwa damu ya YESU. Na pia bahati ataendelea kuishi Na kuyasimulia matendo ya BWANA.
wakenya mna tabia mbaya sana kutusema vibaya.utafikiri ninyi ni malaika.watu wabaya wakuzusha mambo machafu wako kila sehemu usiseme waTZ kama vile wote tunahusika.Hata sisi hatupendi mambo kama haya.mnakera sana sometimes kujudge watu mnaweka huko wote kwa ujumla that is bad.mbadilike
Hakika napenda nyimbo zake bukuku ana sauti ya kipekee kabisa na haigi mtu kama wanavyofanya waimbaji wangine wanaiga hadi wanaharibu ladha ya muziki mungu amuhifadhi bukuku na amlinde AMEN
Navo kupenda bahati bubu bac tyu mungu ndie ajuayee !! Na mungu azidi kukuweka na miaka mingi nakuombea hao wanao kuombea mabaya na kukuzushia yawarudie wao wenyewee!! Kwa jina la yesu!
Aiiii that's greet I love that ....kumbe Bukuku upo wenye wanakuuwa wafe wao...si Bukuku Endelea pia uwasamehe wote na umejibu maswali vizuri God bless and help you more ....keep it up.....!!!! Congracts .....!!!! From Kenya
Madam Bahati asante mungu akupe nguvu na akusaidie sana na akuinue,uendeleze KAZI ya mungu,na waimbaji wote WA nyimbo za nnjili,nyimbo zenu zanibariki sana
Mimi ni shabiki mkubwa wa Bahati bukuku.ukiinuliwa namwanadamu utashuswa bali ukiinuliwa na mungu utakua juu. napenda hii wimbo sana. nakupenda bukuku wachana na maneno ya wanadamu songa mbele na yesu.
I'm member Christianity especially in Rc church by the way from a long time nafuatilia effectively kazi ya mikono yako bwana aliyokutunuku NEVER GIVE UP My lovely sister l think one day atawashangaza bwana
Mchamungu Hana mambo mengi kwanza ukimkosea mchamungu utapata shida wewe na kingine mungu atateta nawewe mchamungu hashindani na binadamu yupo bize namungu wake na maisha yake baati mama yangu uko vizuli sana wabaya wote walo kuandama mungu ata shugulika nao lilax na kingine mungu yunawe mpaka mwisho love you mum wangu ❤️❤️❤️❤️❤️
2mambo ya nyakatu 20:15 imeandikwa usiongope ,chapa injili kama vile hujawahi kuimba imba sana. Adui zako njia zao ni Giza na utelezi. Nimechukia sana. I love u dogo langu in Jesus name. Amen
May the Lord gives You long life to keep moving with gospel. You shall not die but live to declare the works of the Lord. I break that evil spirit of fake death moving around be covered by the blood of Jesus Christ.
Karibu sana mum ni kwa neema tu wenye uvumi zao watashindwa kwa Damu ya YESU Kristo na haufi sasa hadi siku MUNGU atakuamlia.....nabarikiwa sana na gospel zako sana.
Nimejaribu kufanya utafiti kwenye byombo mbalimbali byatarifa inje nandani kuhusu kufo sha dada kipenzi BAHATI BUKUKU Sijapata jibu Namshikuru mungu kweli From USA 🇺🇸 . Kazabuti mama.
Bahati Bukuku Mungu akupe Maisha marefu na ya mafanikio, Taarifa tulizozipata zime tushangaza sanaaaa, Kumbe watu wengine ni sawa nguruwe hawana thamani yeyote kukutangazia kifo...Mimi siishi Africa lakini nazipenda nyimbozako sana,,,Kila siku nasikiliza na kuangalia video zako kwa youtube.ca WWatu wanakutakia mabaya kwa sababu roho zao mbaya Mungu Akubariki na akupe maisha marefu,,,,,
Gospel star wa bwana I'm so happy to hear that you are live and God continue to help you in your work.evil people who published the fake news be cursed in Jesus'name Amen
You are a good singer , I really like your songs, especially magonjwa yote and waraka I don't know how to explain how much I love your songs GOD BLESS YOU
Pole sana Bahati Bukuku kwa kuzushiwa kifo Mungu wa mbinguni akukinge na mauti inayopangwa na wanadamu dhidi yako. Endelea kuwaombea na kuwasamehe bure maana hawajui walitendalo.
Yaani msambazaji afanya mwenzake kaongea kwa uchungu hivi.Mungu akusamehe bure.Ubarikiwe sana mama utaishi hutakufa.Endelea kuwasamehe usiwaweke moyoni,watupe nje.