Kama kuna siku Mtumishi Lema ameongea ukweli ni leo. Jamii/Wananchi ndio chanzo cha udhaifu wa nchi. Nilijiuliza maswali hayo hayo, hakukuwa na mtu yeyote alichukua video chap wakati Mr. Kibao alivyowekwa pingu? It's very sad! Yaani Kenya wametuacha mbali sanaa!! Waliua KANU kama karatasi kwa ushirikiano wa wananchi wote. Where are you and me?? Tuweke maswala ya nchi mbele.
Very well spoken. Nimewaza hayo uliyoyaongea. Nilijiuliza ina maana ndege nzima hawakuweza kurusha habari kwamba lema amekamatwa? SHAME ON US. Nakupata kutoka USA. Wananchi ni wajinga sana. Na watanzania ni waoga sana mbali ya ujinga. Ni kweli kabisa. Tuombe mungu iko siku wataamka ktk usingizi mzito. Na nyinyi Allah atakulipeni kheri.
Mh lema wewe ni genius .. daaah Unazungumza pont muhimu sana NIMEKUSIKILIZA SANA KWA UNDANI HADI NIMETOKWA NA MACHOZI !! VIONGOZI WA DINI WANANYAMAZIA KIMYA HILI JANGA IPO CKU HII LAANA ITAWATAFUNA TU.
Hakika Lema anasema kweli, wananchi wengi ni wanafiki, pamoja na waumini wa dini zote, mashehke na wachungaji wajitokeze kuwaelimisha waumini wao kujiokoa na hali ya nchi inavyokwenda, wasiogope kwani wakishindwa kufanya hivyo ni dhambi, wawashawishi waumini wao kuibadirisha serikali kupitia uchaguzi ujao, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Wananchi wenye akili wanasubiri uchaguzi sio maandamano,Kama mungetumia busara na kusubir uchaguzi musingepoteza watu wenu kwa sababu za kuiga Gen z wa Kenya, suburini uchaguzi hakuna kiongoz yeyote angependa fujo kwenye utawala wake
Hii kitu inaumiza sana nchi yenye amani ila umoja hatuna wala upendo hatuna tumeshakuwa wabinafsi ndiomana tumefikia huku tuliko fika 😢hatujajua kesho yetu itakuwaje ingawa tayari tumeyaona haya
HESABU 35:31 Mtu ameniletea shells tayari you are now in case we need to get together with the repairment and maintenance of the new testament of goods import and export of the new ones and they are all very much for all the LORD