Тёмный
No video :(

BALAA MC ANGECHOMWA MTU VISU, MAMA YANGU HIZI LAWAMA/ WE DEMU NAKUPIGA /HUTOKI HUMU NDANI 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 55 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 166   
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Месяц назад
Haaaaa😂 kweli muhuni ni muhuni jamn. Daaa mc balaa umeuwa aise hapa
@GoodluckAlex-vd6vc
@GoodluckAlex-vd6vc Месяц назад
Bangi ishachemka hapo kichwani😂😂
@yunyun799
@yunyun799 Месяц назад
😂😂😂
@hirizonetz9558
@hirizonetz9558 Месяц назад
Wahuni siyo watu wazuri atachinja mtu hapo😂😂
@MohamediKalanje
@MohamediKalanje Месяц назад
Et angelala na mimi wiki nzima 😂😂😂
@KiduBoyJr.
@KiduBoyJr. Месяц назад
Yaani hapo kuna mtu kashaibiwa tayari usicheze na wahuni😂😂
@kaditokenya6873
@kaditokenya6873 Месяц назад
Kama kweli sanya anaunyama nipe like nimpelekee❤
@kelvindendya3781
@kelvindendya3781 Месяц назад
Kwanza angelala na mm wiki mzmaa😂😂😂
@Topcentclassic
@Topcentclassic Месяц назад
huyo bibie alivyo serious dah ...hahahaha sema safi sana
@zuzuutv8782
@zuzuutv8782 Месяц назад
Sema like nyingi kwadada kajua kukiwasha
@MohamediKalanje
@MohamediKalanje Месяц назад
Moo Town katika hv ni kweli hii mwanang umepqtkan yan kuliko zote
@kiddybrown7154
@kiddybrown7154 28 дней назад
Na mna bahati mwanangu ana mwili mdogo lakini angekuwa mtu wa gyme,heehe 😂😂😂😂Namkubali sana mwanangu 🔥🔥🔥🤞
@NgarasaaJunior
@NgarasaaJunior Месяц назад
Tatzo la wasaniii wa singelii mudaa woteee wanawaza kulogwaaa ndo maana Mambo ya umetumwaaaa😅😅
@DakshMastermind-x8u
@DakshMastermind-x8u Месяц назад
Angalia tena video hujaelewa amemind kwasababu matukio kama aya yamemtokea na akaibiwa vifaa vya studio sasa kulogwa kumeingiaje hpo
@issaadamu9847
@issaadamu9847 День назад
Maisha kweli kaka 😂😂😂
@user-zz9rt5ux1c
@user-zz9rt5ux1c Месяц назад
WCB pamoja sana ❤❤
@joebinarysignals
@joebinarysignals Месяц назад
Watu washakula zao ndum unawaletea prank 😂😂😂
@Dulla_kite
@Dulla_kite Месяц назад
Daah wasani wasingeli bangi nyingi 😂😂😂😂
@yunyun799
@yunyun799 Месяц назад
😂😂😂
@hamidambonea1826
@hamidambonea1826 Месяц назад
Asimin umeuwaaaa❤❤❤
@NajafaEdward
@NajafaEdward 2 дня назад
Xagent najafa ap nakubali
@Thatscene2024
@Thatscene2024 Месяц назад
dah huyo dada mumpe hela nyingi sana maana kahatarisha maisha yake sanaa
@felicianboss6953
@felicianboss6953 Месяц назад
Hii vurugu ngoma nagwa anasubiri 😂😂😂😂😂😂mc balaa sio kuimba tu hadi kuigiza unajua°°
@Officialroykhan_255
@Officialroykhan_255 Месяц назад
23:17 Anaingia Mlemle 😂😂
@LuckyTemu
@LuckyTemu Месяц назад
Mdada aleko singo nakupenda 😢❤
@Abdul-zb8on
@Abdul-zb8on Месяц назад
Hii
@LuckyTemu
@LuckyTemu Месяц назад
@@Abdul-zb8on upo singo mai
@ThomCleative
@ThomCleative Месяц назад
Nakubali
@nurumasunga6079
@nurumasunga6079 Месяц назад
WASANII ACHEN BANGI
@husseinyusuph5458
@husseinyusuph5458 17 дней назад
Uking'atwa na nyoka lazima uongeze unajibu safi sana balaa
@franklinmkundi201
@franklinmkundi201 Месяц назад
Wa kwanza mimi nipeni like zangu
@ngido255
@ngido255 Месяц назад
Angekutana na chibuduma nipe Tena nipe sijaona kingewaka🤣
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Месяц назад
Haaaa eti nikiwa nyumban naweka usanii mfukon😂😂😂 uwiiiiiiii
@sosteneskebwe1028
@sosteneskebwe1028 Месяц назад
Yani nilukuwa namkubali lkn Leo sijuh kwann kanitoka
@yunyun799
@yunyun799 Месяц назад
😂😂labda kwa sababu ya hasira alizo zionyesha
@yohanamagehematictok
@yohanamagehematictok Месяц назад
Leo ndio nimeamini mziki wa singeli ni wawahuni ukizingua wanaondoka na wewe😂😂😂😂😂
@juniorking7123
@juniorking7123 Месяц назад
Mzee inabid uangalie na wasanii wakuwafanyia kipindi
@husseinyusuph5458
@husseinyusuph5458 17 дней назад
Show inachekesha sana hii kweli nimipinduko sema balaaa mpaka nimwmuonea huruma dah
@nassororashidi33
@nassororashidi33 Месяц назад
😂😂 wakiendaga police wanatolewaga hao
@kitemaog6372
@kitemaog6372 Месяц назад
Balaaa mc kajaaa vizuri ad raha😂😂😂
@juniorking7123
@juniorking7123 Месяц назад
Mmmmh ipo siku watu watapigana kwel
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 29 дней назад
Watauwana kweli, maana kila mtu na hasira zake. Kujuta badae.
@funnytv9361
@funnytv9361 Месяц назад
Angelala na mimi wiki nzima kwanza ni ndugu yenu Ausio" 😂😂😂😂
@kitemaog6372
@kitemaog6372 Месяц назад
Singeli tu ze woldi😅
@Obocriss584
@Obocriss584 Месяц назад
Sanya leo mumeyakanyaga kwa wahuni
@AfricaQueen
@AfricaQueen Месяц назад
Hivi ni Kweli 🗣️🗣️🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😂🤣😂😂😂🤐🤐
@mpendwalove4390
@mpendwalove4390 Месяц назад
Kuweni makini na hawa watu 😂😂😂
@Kibiriti_Sports
@Kibiriti_Sports Месяц назад
Mc balaaa amekamatika😂😂😂😂
@user-sn1ge5ol2g
@user-sn1ge5ol2g Месяц назад
NAISUBIRI YA CHID BENZ😂😂
@HadiaMohammed-ec2dn
@HadiaMohammed-ec2dn Месяц назад
AAAah watajuta kwnn wamemuektia😂
@Joh-p9f
@Joh-p9f Месяц назад
Kuna ya Adam mchovu 😂
@ThomasBenedicto
@ThomasBenedicto Месяц назад
😂😂😂😂
@fahadfifa4190
@fahadfifa4190 Месяц назад
Kwanza jela ana chumba chake 😂🔥
@raystudio7563
@raystudio7563 Месяц назад
huyu jamaaa kweli ni BALAA😂
@mwakiboy968
@mwakiboy968 Месяц назад
Media yenu inadhalilisha watu😂😂
@djhajiztz
@djhajiztz Месяц назад
kivipi
@aronboy1
@aronboy1 17 дней назад
Ila hiki kipind huwa cyo poakitakuja kuleta majanga ckumojah
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 29 дней назад
Balaa balaaa kweliiii😂😂😂
@user-wb6vq4qn3g
@user-wb6vq4qn3g Месяц назад
Kwanza ndugu yenu kweli au😂
@medaicetz
@medaicetz Месяц назад
Kisu wapi umeshindwa kumchapa hata kofi na ulkua naye karbu😂😂
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 22 дня назад
Duuuu!!!!!' Kumbe waimba singeli uwa ni wahuni kweli
@ashilafujuma7080
@ashilafujuma7080 Месяц назад
😂😂😂 Wameyamuny
@muckymaccode134
@muckymaccode134 Месяц назад
🎉🎉
@user-xj8in9qn8i
@user-xj8in9qn8i Месяц назад
Jama yangu apo kapata moto😮😮😮
@sautiyaradiramazani-xv3fr
@sautiyaradiramazani-xv3fr 26 дней назад
Ivi ni kweli daah monta sanya kakutana na mc banazo kichwa bangi
@HerconSembuche
@HerconSembuche Месяц назад
hatariiiiiiii sana
@ce-08
@ce-08 Месяц назад
Kweli wee n balaa😂😂
@gundajr2883
@gundajr2883 Месяц назад
Kuna siku hki kipind litatokea tukia baya maan prank mnazofany na haya maisha haya yet mach
@Gee16.01
@Gee16.01 Месяц назад
Wasafi ni media kubwa sana,, jamaa alijiiona mbali zaidi😢,, af gafra demu analeta mizengwe aaaaaa harari amind😂
@PiliMohamed-q4q
@PiliMohamed-q4q Месяц назад
Ebwana
@djhajiztz
@djhajiztz Месяц назад
say sanya
@saidseleman2829
@saidseleman2829 Месяц назад
Mo town sanya 🔥🔥🔥 Halaaaaa 😂😂😂😂
@fauziakitenge8061
@fauziakitenge8061 Месяц назад
Mumeenda kuhoji mvuta bange 😅😅😅
@saramgeni5820
@saramgeni5820 Месяц назад
😂😂😂😂😂Leo angepigwa mtu
@PiliAbdallah-vc2no
@PiliAbdallah-vc2no Месяц назад
Sema mo hiyo michezo acha itakuja ikutokee puani nakwambia kama hapo angemchoma kisu tu kesi kwako
@user-ki4vg8qp7f
@user-ki4vg8qp7f Месяц назад
Hivi hiviii
@aloycefrank3194
@aloycefrank3194 Месяц назад
Hivi hivi hivi hivi 😂😂😂😂😂
@Swahilimovie-h5p
@Swahilimovie-h5p Месяц назад
Ni hatariiii 😅😅😅
@ramsoshenge387
@ramsoshenge387 Месяц назад
😅😅😅😅Sanya katumia mda mwingi kumtuliza balaa ashakubali liwalo na liwe yani ile ubaya ubwela ndo hii 😂😂😂😂
@sokiboy
@sokiboy Месяц назад
noma sanaa kweli hii kweliii hiviiiii duuu
@shaybu-nj2pe
@shaybu-nj2pe Месяц назад
Balaa yupo sahh wanatakiwa wabadilike uwez juwa mtu yupo ktk mawqzo gn
@SongeaGirl0
@SongeaGirl0 6 дней назад
Kwahiyo mmeingizana mc mmemungiza na mc kawaingiza nyinyi kwenye 18 hatari sana
@PhabianGetere
@PhabianGetere Месяц назад
sanyaaaa
@AminaAminaa-ox7ft
@AminaAminaa-ox7ft 17 дней назад
Mwanaume km huy kuishinae siwez
@GoldenKayage
@GoldenKayage Месяц назад
Bonge moja la kipindi ❤❤❤❤❤ nipe like hapa
@Docantz
@Docantz Месяц назад
Usicheze na mhuni😂😂😂😂
@erickmahona5357
@erickmahona5357 Месяц назад
Ila bangi izi
@halimaamini8015
@halimaamini8015 Месяц назад
Jina tu mc balaaa sasa balaa ni kitu cha kawaida 😅
@mustaphajuma2051
@mustaphajuma2051 Месяц назад
mmh hiyoo ingilishii au English 😂😂😂😂😂😂
@yaziduabdallah2836
@yaziduabdallah2836 Месяц назад
Balaaa
@mwinyiado1129
@mwinyiado1129 Месяц назад
43 namba
@user-rw1xh2tt8c
@user-rw1xh2tt8c 10 дней назад
Ya leo angeumia mtu
@geraldlucas844
@geraldlucas844 Месяц назад
Anaingia mlemleee😅
@taufikimustapha8082
@taufikimustapha8082 Месяц назад
Balaaaaaaaah
@dennisnjonanje62
@dennisnjonanje62 Месяц назад
Kama ningekuwa mimi ningempasua Sanya fasta, pranki siyo ustaarabu
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 29 дней назад
Dk 0 tu wahuni wanachafukwa😂😂😂
@MichaelAmosMzini
@MichaelAmosMzini Месяц назад
Kwamba jela nachumba changu 😂😂😂😂😂
@Djugaripro
@Djugaripro Месяц назад
Sanya kuna mutu atakuja kupigwa kisu alafu ulete balaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@EstherJohn-w9p
@EstherJohn-w9p Месяц назад
Huy ndo mwana ume sas co platifoma ana lia lia t😂😂😂😂
@MwajumaAthuman-wv9mo
@MwajumaAthuman-wv9mo Месяц назад
Xaxa tibuduma mbn kafunga mlango😅😅😅
@BarakaAmosi-gb4ve
@BarakaAmosi-gb4ve Месяц назад
Wahun watu wasingel wahwafai wanakutoa main
@samwesupa6906
@samwesupa6906 Месяц назад
Ana machungu
@JaphethChuwa
@JaphethChuwa Месяц назад
Wana vya Arusha vinakolea kichwan hapo hawaelew hapo
@ChinoKidds-b2q
@ChinoKidds-b2q Месяц назад
INGEKUWA media ndogo hapa pangewakaaa kaheshim wasafi tu 🎉😅😂
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg Месяц назад
😂🤣🤣😂😂waimba singeli Ndo mnahasira ivo
@Davio123
@Davio123 Месяц назад
Kaingia 26 KRRRRRPAAAH 😂
@DANY50080
@DANY50080 Месяц назад
Bro ebu ongeza dakika basi haha😡😡😡😡😡
@makambosafari2746
@makambosafari2746 Месяц назад
❤❤❤❤
@tagx_boe
@tagx_boe Месяц назад
Which name of your president 😮
@PauloDoo-gy5fc
@PauloDoo-gy5fc Месяц назад
Balaa Mc kwa uhuni huu sitokuja kukuamini ukija kusema umezurumiwa na Promota hela show 😂😂😂 Mapromota nahisi wamemuelewa vzuri Balaa Mc hapa 😄
@JoyceElias-h1x
@JoyceElias-h1x Месяц назад
Huyu nae Hana lolote itakuw kuachwa na dem. Wake hasira zak anamalizia kwa huy dada
Далее
WASANII HAWA NI NDUGU WA DAMU KABISA UMESHAWAHI KUJUA??
10:15