Лучшее на RU-vid
Кино
Авто/Мото
Видеоклипы
Животные
Спорт
Игры
Приколы
Развлечения
Хобби
Наука
Авторизоваться
Зарегистрироваться
No video :(
BALAA MC ANGECHOMWA MTU VISU, MAMA YANGU HIZI LAWAMA/ WE DEMU NAKUPIGA /HUTOKI HUMU NDANI
Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 55 тыс.
50%
1
Видео
Поделиться
Скачать
Добавить в
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Опубликовано:
26 авг 2024
Поделиться:
Ссылка:
Скачать:
Готовим ссылку...
Добавить в:
Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии :
166
@ukhutfatumah1154
Месяц назад
Haaaaa😂 kweli muhuni ni muhuni jamn. Daaa mc balaa umeuwa aise hapa
@GoodluckAlex-vd6vc
Месяц назад
Bangi ishachemka hapo kichwani😂😂
@yunyun799
Месяц назад
😂😂😂
@hirizonetz9558
Месяц назад
Wahuni siyo watu wazuri atachinja mtu hapo😂😂
@MohamediKalanje
Месяц назад
Et angelala na mimi wiki nzima 😂😂😂
@KiduBoyJr.
Месяц назад
Yaani hapo kuna mtu kashaibiwa tayari usicheze na wahuni😂😂
@kaditokenya6873
Месяц назад
Kama kweli sanya anaunyama nipe like nimpelekee❤
@kelvindendya3781
Месяц назад
Kwanza angelala na mm wiki mzmaa😂😂😂
@Topcentclassic
Месяц назад
huyo bibie alivyo serious dah ...hahahaha sema safi sana
@zuzuutv8782
Месяц назад
Sema like nyingi kwadada kajua kukiwasha
@MohamediKalanje
Месяц назад
Moo Town katika hv ni kweli hii mwanang umepqtkan yan kuliko zote
@kiddybrown7154
28 дней назад
Na mna bahati mwanangu ana mwili mdogo lakini angekuwa mtu wa gyme,heehe 😂😂😂😂Namkubali sana mwanangu 🔥🔥🔥🤞
@NgarasaaJunior
Месяц назад
Tatzo la wasaniii wa singelii mudaa woteee wanawaza kulogwaaa ndo maana Mambo ya umetumwaaaa😅😅
@DakshMastermind-x8u
Месяц назад
Angalia tena video hujaelewa amemind kwasababu matukio kama aya yamemtokea na akaibiwa vifaa vya studio sasa kulogwa kumeingiaje hpo
@issaadamu9847
День назад
Maisha kweli kaka 😂😂😂
@user-zz9rt5ux1c
Месяц назад
WCB pamoja sana ❤❤
@joebinarysignals
Месяц назад
Watu washakula zao ndum unawaletea prank 😂😂😂
@Dulla_kite
Месяц назад
Daah wasani wasingeli bangi nyingi 😂😂😂😂
@yunyun799
Месяц назад
😂😂😂
@hamidambonea1826
Месяц назад
Asimin umeuwaaaa❤❤❤
@NajafaEdward
2 дня назад
Xagent najafa ap nakubali
@Thatscene2024
Месяц назад
dah huyo dada mumpe hela nyingi sana maana kahatarisha maisha yake sanaa
@felicianboss6953
Месяц назад
Hii vurugu ngoma nagwa anasubiri 😂😂😂😂😂😂mc balaa sio kuimba tu hadi kuigiza unajua°°
@Officialroykhan_255
Месяц назад
23:17 Anaingia Mlemle 😂😂
@LuckyTemu
Месяц назад
Mdada aleko singo nakupenda 😢❤
@Abdul-zb8on
Месяц назад
Hii
@LuckyTemu
Месяц назад
@@Abdul-zb8on upo singo mai
@ThomCleative
Месяц назад
Nakubali
@nurumasunga6079
Месяц назад
WASANII ACHEN BANGI
@husseinyusuph5458
17 дней назад
Uking'atwa na nyoka lazima uongeze unajibu safi sana balaa
@franklinmkundi201
Месяц назад
Wa kwanza mimi nipeni like zangu
@ngido255
Месяц назад
Angekutana na chibuduma nipe Tena nipe sijaona kingewaka🤣
@ukhutfatumah1154
Месяц назад
Haaaa eti nikiwa nyumban naweka usanii mfukon😂😂😂 uwiiiiiiii
@sosteneskebwe1028
Месяц назад
Yani nilukuwa namkubali lkn Leo sijuh kwann kanitoka
@yunyun799
Месяц назад
😂😂labda kwa sababu ya hasira alizo zionyesha
@yohanamagehematictok
Месяц назад
Leo ndio nimeamini mziki wa singeli ni wawahuni ukizingua wanaondoka na wewe😂😂😂😂😂
@juniorking7123
Месяц назад
Mzee inabid uangalie na wasanii wakuwafanyia kipindi
@husseinyusuph5458
17 дней назад
Show inachekesha sana hii kweli nimipinduko sema balaaa mpaka nimwmuonea huruma dah
@nassororashidi33
Месяц назад
😂😂 wakiendaga police wanatolewaga hao
@kitemaog6372
Месяц назад
Balaaa mc kajaaa vizuri ad raha😂😂😂
@juniorking7123
Месяц назад
Mmmmh ipo siku watu watapigana kwel
@Thisisgrace979
29 дней назад
Watauwana kweli, maana kila mtu na hasira zake. Kujuta badae.
@funnytv9361
Месяц назад
Angelala na mimi wiki nzima kwanza ni ndugu yenu Ausio" 😂😂😂😂
@kitemaog6372
Месяц назад
Singeli tu ze woldi😅
@Obocriss584
Месяц назад
Sanya leo mumeyakanyaga kwa wahuni
@AfricaQueen
Месяц назад
Hivi ni Kweli 🗣️🗣️🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😂🤣😂😂😂🤐🤐
@mpendwalove4390
Месяц назад
Kuweni makini na hawa watu 😂😂😂
@Kibiriti_Sports
Месяц назад
Mc balaaa amekamatika😂😂😂😂
@user-sn1ge5ol2g
Месяц назад
NAISUBIRI YA CHID BENZ😂😂
@HadiaMohammed-ec2dn
Месяц назад
AAAah watajuta kwnn wamemuektia😂
@Joh-p9f
Месяц назад
Kuna ya Adam mchovu 😂
@ThomasBenedicto
Месяц назад
😂😂😂😂
@fahadfifa4190
Месяц назад
Kwanza jela ana chumba chake 😂🔥
@raystudio7563
Месяц назад
huyu jamaaa kweli ni BALAA😂
@mwakiboy968
Месяц назад
Media yenu inadhalilisha watu😂😂
@djhajiztz
Месяц назад
kivipi
@aronboy1
17 дней назад
Ila hiki kipind huwa cyo poakitakuja kuleta majanga ckumojah
@mwinukafundibombanjombe
29 дней назад
Balaa balaaa kweliiii😂😂😂
@user-wb6vq4qn3g
Месяц назад
Kwanza ndugu yenu kweli au😂
@medaicetz
Месяц назад
Kisu wapi umeshindwa kumchapa hata kofi na ulkua naye karbu😂😂
@SalamaNauthar
22 дня назад
Duuuu!!!!!' Kumbe waimba singeli uwa ni wahuni kweli
@ashilafujuma7080
Месяц назад
😂😂😂 Wameyamuny
@muckymaccode134
Месяц назад
🎉🎉
@user-xj8in9qn8i
Месяц назад
Jama yangu apo kapata moto😮😮😮
@sautiyaradiramazani-xv3fr
26 дней назад
Ivi ni kweli daah monta sanya kakutana na mc banazo kichwa bangi
@HerconSembuche
Месяц назад
hatariiiiiiii sana
@ce-08
Месяц назад
Kweli wee n balaa😂😂
@gundajr2883
Месяц назад
Kuna siku hki kipind litatokea tukia baya maan prank mnazofany na haya maisha haya yet mach
@Gee16.01
Месяц назад
Wasafi ni media kubwa sana,, jamaa alijiiona mbali zaidi😢,, af gafra demu analeta mizengwe aaaaaa harari amind😂
@PiliMohamed-q4q
Месяц назад
Ebwana
@djhajiztz
Месяц назад
say sanya
@saidseleman2829
Месяц назад
Mo town sanya 🔥🔥🔥 Halaaaaa 😂😂😂😂
@fauziakitenge8061
Месяц назад
Mumeenda kuhoji mvuta bange 😅😅😅
@saramgeni5820
Месяц назад
😂😂😂😂😂Leo angepigwa mtu
@PiliAbdallah-vc2no
Месяц назад
Sema mo hiyo michezo acha itakuja ikutokee puani nakwambia kama hapo angemchoma kisu tu kesi kwako
@user-ki4vg8qp7f
Месяц назад
Hivi hiviii
@aloycefrank3194
Месяц назад
Hivi hivi hivi hivi 😂😂😂😂😂
@Swahilimovie-h5p
Месяц назад
Ni hatariiii 😅😅😅
@ramsoshenge387
Месяц назад
😅😅😅😅Sanya katumia mda mwingi kumtuliza balaa ashakubali liwalo na liwe yani ile ubaya ubwela ndo hii 😂😂😂😂
@sokiboy
Месяц назад
noma sanaa kweli hii kweliii hiviiiii duuu
@shaybu-nj2pe
Месяц назад
Balaa yupo sahh wanatakiwa wabadilike uwez juwa mtu yupo ktk mawqzo gn
@SongeaGirl0
6 дней назад
Kwahiyo mmeingizana mc mmemungiza na mc kawaingiza nyinyi kwenye 18 hatari sana
@PhabianGetere
Месяц назад
sanyaaaa
@AminaAminaa-ox7ft
17 дней назад
Mwanaume km huy kuishinae siwez
@GoldenKayage
Месяц назад
Bonge moja la kipindi ❤❤❤❤❤ nipe like hapa
@Docantz
Месяц назад
Usicheze na mhuni😂😂😂😂
@erickmahona5357
Месяц назад
Ila bangi izi
@halimaamini8015
Месяц назад
Jina tu mc balaaa sasa balaa ni kitu cha kawaida 😅
@mustaphajuma2051
Месяц назад
mmh hiyoo ingilishii au English 😂😂😂😂😂😂
@yaziduabdallah2836
Месяц назад
Balaaa
@mwinyiado1129
Месяц назад
43 namba
@user-rw1xh2tt8c
10 дней назад
Ya leo angeumia mtu
@geraldlucas844
Месяц назад
Anaingia mlemleee😅
@taufikimustapha8082
Месяц назад
Balaaaaaaaah
@dennisnjonanje62
Месяц назад
Kama ningekuwa mimi ningempasua Sanya fasta, pranki siyo ustaarabu
@mwinukafundibombanjombe
29 дней назад
Dk 0 tu wahuni wanachafukwa😂😂😂
@MichaelAmosMzini
Месяц назад
Kwamba jela nachumba changu 😂😂😂😂😂
@Djugaripro
Месяц назад
Sanya kuna mutu atakuja kupigwa kisu alafu ulete balaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@EstherJohn-w9p
Месяц назад
Huy ndo mwana ume sas co platifoma ana lia lia t😂😂😂😂
@MwajumaAthuman-wv9mo
Месяц назад
Xaxa tibuduma mbn kafunga mlango😅😅😅
@BarakaAmosi-gb4ve
Месяц назад
Wahun watu wasingel wahwafai wanakutoa main
@samwesupa6906
Месяц назад
Ana machungu
@JaphethChuwa
Месяц назад
Wana vya Arusha vinakolea kichwan hapo hawaelew hapo
@ChinoKidds-b2q
Месяц назад
INGEKUWA media ndogo hapa pangewakaaa kaheshim wasafi tu 🎉😅😂
@AishaHaji-jn7sg
Месяц назад
😂🤣🤣😂😂waimba singeli Ndo mnahasira ivo
@Davio123
Месяц назад
Kaingia 26 KRRRRRPAAAH 😂
@DANY50080
Месяц назад
Bro ebu ongeza dakika basi haha😡😡😡😡😡
@makambosafari2746
Месяц назад
❤❤❤❤
@tagx_boe
Месяц назад
Which name of your president 😮
@PauloDoo-gy5fc
Месяц назад
Balaa Mc kwa uhuni huu sitokuja kukuamini ukija kusema umezurumiwa na Promota hela show 😂😂😂 Mapromota nahisi wamemuelewa vzuri Balaa Mc hapa 😄
@JoyceElias-h1x
Месяц назад
Huyu nae Hana lolote itakuw kuachwa na dem. Wake hasira zak anamalizia kwa huy dada
Далее
32:30
MR MWANYA AMCHAPA KOFI MOTOWN SANYA MIMI SIWEZ KUIBA LAKI MBILI
Просмотров 74 тыс.
8:42
🔴#LIVE_ ALLY KAMWE ALIVYOMBANA AHMED ALLY "WEWE WA SHIRIKISHO TUPISHE KIDUME NAONGEA" IBWE HOI 🤣
Просмотров 4,9 тыс.
00:17
"Не трогай меня... иначе.. " оригинал-@TheLandofBoggs #voiceacting #boggs #озвучка
Просмотров 483 тыс.
1:04:28
В Китае КУПИЛА Грузовик Mercedes. Сама буду перегонять в Россию
Просмотров 1 млн
00:16
Может быть ты знаешь что надо делать?🤯
Просмотров 1,5 млн
2:18:39
Михаил Шац впервые о разводе, измене и новом еврейском счастье // А поговорить?...
Просмотров 582 тыс.
28:19
PLATFORM AMWAGA MACHOZI BAADA YA KUIBIWA NYUMBANI KWAKE, HALI MBAYA | HIVI NI KWELI?
Просмотров 67 тыс.
29:32
ZEE CUTE HAKUTARAJIA HILI LITOKEE KATIKATI YA INTERVIEW YAKE, AMFUKUZA SHABIKI ALIYEVAMIA
Просмотров 94 тыс.
3:01
😂 UTPENDA DOTTO MAGARI ALIVYOTINGA KIZIMKAZI NA CHAI MAHARAGE AGAWA MISHIKAKI YA CHAZA NA KOME
Просмотров 36 тыс.
17:19
UTACHEKA BABA LEVO alivyomtambulisha MCHEKESHAJI MUONGO kuliko WOTE/"Nitamtoa UNDERGROUND kisa MONDI
Просмотров 74 тыс.
12:43
HASHEEM IBWE APATA KIGUGMIZI MBELE YA AHMED ALLY/MPIRA SIO VITA/TUTAKUTANA TU/MLIPIGWA TANO
Просмотров 3,8 тыс.
10:15
WASANII HAWA NI NDUGU WA DAMU KABISA UMESHAWAHI KUJUA??
Просмотров 597 тыс.
19:50
CHEF GUDLOVE AMWAGA MCHELE/ HII NDIO SIRI YA UTAJIRI WAKE/ USO KWA USO NA MWIJAKU, UTACHEKA😂
Просмотров 83 тыс.
32:16
CHINO AIBIWA GARI MAZINGIRA YA KUTATANISHA 🤣🙌 ALIA KAMA MTOTO
Просмотров 158 тыс.
31:45
AZIMIA NYUMBANI KWA DULLVAN / HUYU AKIFA NIFUNGWE MIMI | HIVI NI KWELI
Просмотров 192 тыс.
11:52
HASHEEM IBWE AINGIA KWENYE 18 ZA KAMWE NA AHMED/WEWE UMETIA AIBU TAIFA/SIKU SABA LIGI YA MABINGWA
Просмотров 4,5 тыс.
00:17
"Не трогай меня... иначе.. " оригинал-@TheLandofBoggs #voiceacting #boggs #озвучка
Просмотров 483 тыс.