Тёмный

BALAA!! ONA SHOMBO ZA GOD YANGA AMCHEKA FEITOTO KUTOLEWA KIMATAIFA, AMUITA MZEE WA UNO 

Truth Media
Подписаться 71 тыс.
Просмотров 23 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 29   
@AgnesMakunege
@AgnesMakunege 2 месяца назад
Feitoto ana sifa😢😢😢
@killingmleke1810
@killingmleke1810 2 месяца назад
Chama kaondoka simba tofauti na alivyoondoka fei
@LusianaMyoka
@LusianaMyoka 2 месяца назад
Fei zarau zinamfanya wameseme mbona chama Yuko vizuri Hana shida
@ItangishakaMuhammad
@ItangishakaMuhammad 2 месяца назад
Mini Niko Rwanda Na nimeangalia mchezo ila fei alicheza vizuli
@augustinemainde
@augustinemainde 2 месяца назад
Maskini Azam !😂😂😂😂Bora Coastal Union walikuwa wanashangaa mataa Angola😅😅
@MalaikaBright-rv6yb
@MalaikaBright-rv6yb 2 месяца назад
Uno 😂😂😂😂😂 dah Godi yanga bana 🎉🎉🎉
@SeanNilla
@SeanNilla 2 месяца назад
Haina haja ya kumzungumzia fei.
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 2 месяца назад
WEWE ACHANA NA FEI TOTO WALA HAKUHUSU. ULIMSEMA SANA CHAMA KUWA MZEE WEWE UNAIONGELEA AZAM EBU JITAFAKALI.
@mariaerenest5632
@mariaerenest5632 2 месяца назад
Mzee wa mauno kaangukia pua
@janejoel2465
@janejoel2465 2 месяца назад
Mmh😂😂😂 colombiana
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 2 месяца назад
Mponjolooooo😂😂😂😂😂 ni yupi?
@marianamontoedi1318
@marianamontoedi1318 2 месяца назад
Kabisa 😂😂😂😂
@williamreuben4866
@williamreuben4866 2 месяца назад
Ninyi ndio mnamtafuta Fei
@LinusKyando
@LinusKyando 2 месяца назад
YULE anayeizodoa YANGA pale AZAM AJIANDAE KUPATA VIDONDA VYA TUMBO
@MathayoRajabu
@MathayoRajabu 2 месяца назад
Yote tumefanya
@shaameshaame2837
@shaameshaame2837 2 месяца назад
Mwana kulifind, mwanakuliget😂😂😂😂😂
@alexsakilu2650
@alexsakilu2650 2 месяца назад
Fei Toto amekosa ugali na sukari
@SelemaniMarko
@SelemaniMarko 2 месяца назад
Uno wala hakukatwa
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 2 месяца назад
God wa Yanga Fei toto unamsema sababu aliwaacha. God Yanga ua chuki na Fei toto. Kwani wachezaji wangapi wanaondoka kwenye timu?mbona Chama amekuja kwenu mmeona mashabiki wa Simba wananawatukana au kumsema vibaya Chama?acha utoto wewe ni mzee mzima unamsakama Fei toto. Huo ni utoto wako.
@killingmleke1810
@killingmleke1810 2 месяца назад
Fei kaondoka yanga kwa kuzudhiaki sana tupo ktk mashindano anatuachu tena kwa kutufitini lazima tumchukie na alijua tutashindwa but kashindwa yeye.lakin chama kaondoka pasipo kashfa wala kiwasunbua simba tena kaomdoka mkataba umeisha kwa hiyo usifananishe na alivyoondoka fei
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 2 месяца назад
Utopolo mkiwachwa achikieni wacheni chuki na Fei mpira ni maslah
@ramadhanimrungu5806
@ramadhanimrungu5806 2 месяца назад
Nyinyi c mnasema chama Chiba mala mzee au kina nani kama sio nyie madunduka
@ramadhanimrungu5806
@ramadhanimrungu5806 2 месяца назад
Sawa kabisa waambie madunduka yasiojielewa
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 2 месяца назад
@@ramadhanimrungu5806 chama Mzee ndio kama sio mzee mbna mmempatia mkataba wa mwaka mmoja kakojoe ulaleee
Далее