Hapana sis mashabiki haturizik bna hata wakati team imeshapata ushindi kuna ugum gani wa yeye kupewa hata dakika15 tu akikaa sana bench atapoteza kujiamini ni maoni tu syo lazima maan hatujui kocha yey anaona nin ila amfikirie nayeye japo hata dakika15🙏🙏🙏🙏💚💚💚💚
Jamani kocha ana majukumu yake,viongozi wana majukumu yao, mashabiki na wanachama na wapenzi wana majukumu yao. Sio vizuri kuingiliana ktk.majukumu yetu. Tumpe kocha uhuru wa kutimiza wajibu wake. Kila mmoja wetu anapenda kuwaona wote wakicheza lakini bado kocha ndiye mwamuzi na ndilo jukumu lake. Sisi kazi yetu kupiga makelele majukwaani na kwenye vijiiwe vya kubishana na akina Kisugu na GB 64. Haitakuwa sahihi kama Gamondi siku moja akatufundisha jinsi ya kushangilia na kubishana na akina Jemedari , hiyo kazi haiwezi na atakuwa anatukosea na sisi basi tusimkosee Gamondi na benchi lake. AMINA.
@@RodgersMoshi-k4j Jamani nimesema uongozi, kocha wanafahamu kuliko sisi na kama hatuwaamini semeni watoke. Shida ni Baleke au ninini? Wao ndio walimleta na wao ndio hawamtumii na sio Baleke tu, yupo pia msheri, Nkane, Faridi , Sure boy, Kibwana nk. Sisi tunataka matokeo mazuri hizi siri za kambini achaneni nazo. Ukimchunguza sana bata hutakula nyama yake.
Mlimsajilii wa nini sasa eti dube na mzize wote wanafunga kwahiyo mnataka baleke afunge akiwa benchi apewe nafasii kwani dube anakosa nafasi ngapii mchezajii apewe nafasi achezee ko alisajiliwa akae benchi au ndo mihemko kumkomoa mtani
Sio kweli mtu hata San saiv awekwi kocha ana ttz saiv sema matokeo timu inashinda lkn km inatokea tunapoyeza mechi tn hizi za kawad kelele zitakuw nyingi hivi kwel kibwama hata kukaa benchi saiv hakaa na kumpa namana 2 job ama nkane kweli wale wanacheza nafas yake anajiskiaje kibwama
HIVI NDIO MNAMALIZA MCHEZAJI, MBONA KAWAFUNGA WAJEREMANI KWA MBONGE KICHWA NA KATUHESHIMISHA MIMI SIKUBALIANI NA KOCHA ,MWONYESHENI MAGOLI WALIZOFUNGA WAKATI HUYO SIMBA,GAMONI HAPA KASOSEA
Mnatamani saaana makolokwinyo hiyo hali yenu ya migogoro na kukosa raha ije kwetu....mmefeli. Gamondi anajua anachokifanya so shut up your mouth@@jumanneenos2481
Jamani washabiki nabwanachama wenzangu acheni Lugha mbovu kocha ndio anajuavamtumievnani kwa muda gani.Upuuzi maanavyake nini? Hii ni mexhi ya ngapi mpaka mseme hovyo? Kuweni na subra Baleke ataecheza sana.msiangalie sasa angalieni na kesho.
Me sishangai maana julian Alvarez ameondka man city kw sbb apati nafas kubw yakucheza ila ukija kimfumo pale city uwez muweka benchi haland anaekupa kitu kila day kwcbb ya mtu mwngne acheze icho ndo kinachoendlea yanga Alvarez anaondka city pep bado anamuhtaj ila mwisho wa sku inakua tfaut
Yaani mashabiki wa Simba wanatusanifu sana "eti tulimsajili wa nini kama hachezi" Nadhani swali hili atujibie Eng. Hersi. Hersi ebu ingilia Baleke apewe hata dk 30 tu mechi ya ligi. Inamuathiri kisaikolojia kukaa bench tunaomba sana viongozi wetu.
Acheni kutuzingua dube akaze mguu na clement alenge na afungue magoli ,ebu mpeni nafasi baleke wakongo wanapiga KAZI hawana uzembe au msonda mpeni namba akiwashe
Uyu kocha wetu kweny makipa ndo kabisa ana ubaguzi mkubwa sana so haki iyo bora angekuwa nabi tu nahisi kuna wachezaji apo yanga wanamchukia na kumsema vibaya huyo kocha bila kujua ni bora nabi kuliko uyo gamond na nabi hakuwa na ubaguzi hadi raha na timu inapata matokeo mazuri