Safi sana wakili msomi mpenda haki,, hao walevi wa madaraka hawana ubunifu lakini pia hawapendi watu wa aina ya ney kusemakweli juu ya hiki kinacho tupata ss wananchi mungu atakua mbele yenu..
Nchi hii lazima ujikoshe kwa mkubwa ndo uonekane unafanya kazi,kuna nyimbo nyingi hazina maadili hawahangaiki nazo wanahangaika na upuuzi tu,nchi hii kila ukiamka inakuwa ya kishenzi
Hivi basata. Wamesomea .musc kweli???.au wapo kwaajiri ya kula kodi za wanamusc bila tija yyt. Musc wa uchi na maneno yasiyofaa kwajamii. Wanarubusu ila musc wakuwakumbusha. Viongozi. Nakueleza kilio cha wananchi kupitia mashaili wanaona ni kosa hii nchi sijuiagi wanapeana. Nafac bla taaluma au mtoto waa uncle ndio wanawekwa kwenye vitengo
Kuwa makini president wasije kukuteka hawa serikali wakakuuwa maana hawatakagi kuambiwa ukweli hawa wenye uchu wa madaraka kazi yao kupoteza watu wanao tusemea
Mbona nyimbo nyingine, za ngono mnaziruhusu sisizo na sitaha kwa jamii.. Ila kwa hii enye Ina gusa maeneo ya serikali, mko mto kuzuia... Wakati Hali halisi iko hivyo kwa jamii.
Kama wakoloni waliondoka wenyewe ninyi mtakua nani ipo siku mtaondoka tu serikali kama hii yani ni serikali inayotaka isemwe vizuri tu yawapi hiyo !!? Hata Issa bin Mariam watu walimpinga, MTUME MUHAMAD SWS alipingwa na wote wawili walipigwa lakini kweli ukweli wao ambao walitumwa kwatoka kwa mungu ulitufikia na tunajivunia Leo nyinyi msio penda kukosolewa mnajiona ni zaidi ya mitume mungu awalaani ,na Hao basatawenu
Tunakuelewa sana Nay kuimba against injustice ikiwemo watu kutekwa na mauaji ndio kazi ya msanii anayejielwa Mashtaka ni ya kipumbavu BASATA ni machawa wa Samia wanataka kujipendekeza kwa Bibi Chinja Chinja akiwemo huyo mwandishi aliyekuoji.
Matusi ya wasani wengine nyimbo hamzifungii ila msani anayesema ukweli wa mambo ya kila siku kuhusu utekaji mnamwita aje eti kuna kesi acheni mitego iwanase
Mbona wapo wasanii wanatengeza nyimbo za matusi na hatujawahi ona waitwa basata ila kutetea binadamu wenzake mnamuita basata tuwaeleweje hapo viongozi wetu
Uchochezi upi? Mbona nyimbo nyingi zinazo chochea ngono na uvunjifu wa maadili hatusikii zikifungiwa na kushtak wasanii? Basata machado tu. Wajue selekali inabadilika wananchi hatubadiliki. Waiheshim kaz yao waache uchawa.
Ziko nyimbo nyingi zinazo potosha jamii na mpaka viongoz wanaziomba zipigwe ila wimbo wa ney kutetea jamii ni mbaya hakika selikali yetu isiaibishwe na viongoz uchwara
Tuko huru ila bado mambo ya kikoloni yanaendelea,uko wapi uhuru wa kutoa maoni au kukosoa kama hata kutoa nyimbo inayowakosoa ni kosa...Ngoja tumuachie Mungu
Wanaojiihita wanahiphop wa bongo hawamfikii ney kwa kuwa mwanaume kamili na jasiri hata mara moja kaz yai kujiita wana hiphop wakat hawajui misingi ya hiphop xaid ya kunywa pombe bangi na kunywa kahawa
Hahaha Kambole hyo kesi haikuhitaji ww mwana sheria msomi,hata me nilie ishia darasa la 3 F nashinda hiyo kesi,kifupi kama mwanasheria drs la 3F jb n moja tu,alicho mansha rais wa kitaa ndicho alicho manisha yy,hizo maana zao wamemanisha wao kwsha
Huu wimbo umekiuka nini? Ni wimbo uko sawa na una ujumbe ulio nyooka. Mtu mkweli mbona anapitia magumu jamani? Na Basata ni machwa wa selikari na wenye pesa?
Hats kama sijui kama kweli kila wimbo unatakiwa kipata kibali cha basata ndio utoke mbona wimbo wa nyegez ulipigwa marufuku baada ya kutoka au sheria hii ilitungwa baadae
Hii ndiyo Tanzania baada ya kushitaki wanaosema watateka watu baada yahapo munawashitaki wanao ongea matendo yenu mabaya ya kuiba nakujilimbikizia mali huku watanzania ni masikini wakutupwa
Samahani , yassin Nakusahihisha kidogo anpofariki Raisi wa jamhuri basi nafasi yake huwa anashika makamo wa Raisi , Hahitaji kupigiwa kura Kwa muda ule Kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Tanzania. Tuwe na subra juu ya hili. Mwenye zimngu Akubariki, Amin.
BASATA Wana kigezo gani Cha kuthibitisha Huo Uchochezi.Nini maana ya uhuru wa kutoa mawazo na kujieleza!Big up Sana Ney wa Mitego uko vizuri Sana kwa tungo zake kwani zimesheheni Ujumbe kuntu,Ney huimbi Matusi,mbona wanaotukana na kuimbs Matusi hawaitwi,kwani nyimbo zao hawazipitii mashairi yake.?BASATA mmechemka kwa Hilo hamna point.
Basata Wamechemsha hivi away sikilizi ziara za viongozi wakuu,wakilalamika miradi mingi inakwamishwa na watendaji na Serikali kuwafukuza.waache kulazimisha vitu ambavyo havipo.Namshauri Nay wa Mitego baada ya hili awapereke mahakamani kudai fidia maana wanatumia jina lake kupata Kick dawa NI HIYO.
Yani viongozi wa africa wamekua wapumbavu sana . Sasa nini cha uongo hapo. Kwani aliyo yasema kuusu Congo buruni rwanda niuongo? Ndiomana africa atuendelei unawezaje kukataa ukweli .
Kama hawa ui serikari inatakiwa ifungue mashitaka. Kwawatu wengi maana tumeona posti nyingi. Watu wakiituhumu.serikari kuhusu watu wanao potea. Mwigine. Amepostowa. Ameuaawa na police arusha.
Ofisi za Basata zimechoka kama madarasa ya shule za awali, bila shaka hata watendaji ni wachovu kama hadhi ya ofisi zao! Ney ni sauti ya yeyote anayeguswa na ujumbe katika nyimbo zake, chanya au hasi. Kusemana na kukosoana ni sehemu ya utamaduni wa maisha katika jamii!
Inashangaza sana nikama wanaongoza punda la kubebea magunia yani likigoma haijalishi linaumwa au laa linaweza kula mjeledi mpaka likate moto sasa kwakua kwao pametulia wanadhani mtaani kuna usingizi mzito pia hawajui kama tunajua hata kabla ya wimbo wa Dogo kutoka ila tunangoja 2025 kura ziseme na ikiwezekana hatutaki usimamizi wa ndani tunataka watu wasiohongeka watakaochunga haki sahihi kati ya chama cha Giza na chama cha Nuru ya taifa