Тёмный

BI HARUSI AMWAGA MACHOZI NA KUWALIZA WENGI UKUMBINI USIKU WAKE TAZAMA KILICHOTOKEA |AQUILINE NIGHT 

MC KATO KISHA
Подписаться 387 тыс.
Просмотров 125 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

15 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 72   
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 11 месяцев назад
Analia Kwa mengi zaidi ni kitendo Cha kumkosa mama yake mzazi Ktk maisha yake na hasa Kwa siku ya harusi ambayo kimsingi ni siku MUHIMU kupita kiasi ,Hongera sana Mtoto mzuri mungu akuongoze katk mambo ya kheri na baraka 🙏🙏🙏🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@AnastaziaSebastian
@AnastaziaSebastian 8 месяцев назад
Asante dada Asante walezi nimejikuta Malia mpaka basi
@AnethChesco
@AnethChesco 9 месяцев назад
Usijali mungu atakubarik achana na wanadam
@CleverMalekela-cf1be
@CleverMalekela-cf1be 10 месяцев назад
🎉🎉🎉najivunia kuwa na mama mungu akutie nguvu huishi miaka mingi dunian akika Binti amenifany nimelia sana mungu amtie nguvu
@Rahmajohn-ix3lh
@Rahmajohn-ix3lh 9 месяцев назад
Pole Sana mpendwa mungu akutienguvu
@MarceryErnest
@MarceryErnest 3 месяца назад
Mngu akujalie Sana mama mdogo iyo nibaraka
@ElizabethNelson-bh2ij
@ElizabethNelson-bh2ij Год назад
Yaaan atakumkumoatia hanma. Yesu okoa wanaopenda kupokea2
@AbigaelNgogo
@AbigaelNgogo 11 месяцев назад
Mama mdogo kamkumbatia binti mtoto wa dadake ndiyo maana kasema kajifunza mengi kutoka kwako hakika barikiwa ma mdogo
@fatumamahoiga3978
@fatumamahoiga3978 2 месяца назад
Pole saana inauma
@ANGELBYAMUNGU
@ANGELBYAMUNGU 9 месяцев назад
Yaan nimelia sana
@YouAndme-pj2ch
@YouAndme-pj2ch Год назад
Mwenyezi Mungu awajalie
@TeshateshaTesha
@TeshateshaTesha Год назад
Mamdogo yupo vizur
@ANGELBYAMUNGU
@ANGELBYAMUNGU 9 месяцев назад
Nimelia sana
@tiffahdangote7548
@tiffahdangote7548 8 месяцев назад
Jaman Mungu ametuumba tuishi na tupite duniani....kuzaliwa kupo kufa pia kupo....naona watu mmetingwa na kufiwa Kwa mama......Sasa tukiwa hivi inamaanisha tunapinga uumbaji wa Mungu, hatuwezi ishi milele....kwaiyo at some point we need to take issue not as the way ua thinking! Kuondoa matabaka ni hivi endapo utakuta huna wazazi wako halisi, piga moyo konde ishi na utakao wakuta maisha yaende...utalia mpaka lini????? Though inaumiza lkn maisha lzm yaendeleee! Kufa lazima! SEMA Kila mtu anawakati wake! Hivyo hisia za bb harusi ni kubwa ndio lkn hatupaswi kuwakosoa ndugu zake Kwa mapokeo yao....hatuwezi jua!!!!! Some issues tuziache tu utalia mpaka lini....eti kukosa mama....Kuna wengine Wana mama zao lkn ni virambasiii wakubwa unaona mpaka Bora huyo bb harusi alipata walezi wazuri😂😢😢😢
@MarceryErnest
@MarceryErnest 3 месяца назад
Ongera Sana dada yangu mngu atakujalia tu
@JusterNdemela
@JusterNdemela 5 месяцев назад
Pole sana
@piusgolodian-nt5ih
@piusgolodian-nt5ih Год назад
Mungu wabariki mama walezi bora
@sophianuru9360
@sophianuru9360 10 месяцев назад
Ambao mama Zetu wametuacha wadogo😭😭😭😭😭😭 nimejikuta nalia
@joycekambuga6286
@joycekambuga6286 11 месяцев назад
Hii familia sijui wametokea bk sehemu Gani? Awajaonyesha upendo ata kidogo mtu anapokwa zawadi utafikiri ni deni la muda mrefu alikuwa anamdai Leo kalipwa. Mwagoka
@fatmahnuru7553
@fatmahnuru7553 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂 yaani nimecheka sana hii coment yako japo yanayoendelea hapo yanasikitisha
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 10 месяцев назад
​@@fatmahnuru7553😂😂😂😂😂 kwamba deni la muda mrefuu,uwiiiii
@banguha
@banguha 6 месяцев назад
Bakagoka kwa kweli hapa ndiyo tunaona hawajawai kuwa na upendo na uyu bint wana roho ngumu Yan ingekuwa familia nyingine wote wangetoka kumkumbatia kyonka bojoo
@MonicaKaskazi-ju2is
@MonicaKaskazi-ju2is Год назад
Hao wengine wanaona zawadi ndogo mmm Ila kukosa mama nimetoka machozi
@frolanzoje-yq7ez
@frolanzoje-yq7ez Год назад
Pole sana mwanangu
@mjunicharles1198
@mjunicharles1198 Год назад
Wapokea zawad mungunanawaona
@HalimaAbdallah-f3w
@HalimaAbdallah-f3w Год назад
Kukosa mama hapaduniani jamani nishida kubwa sana yaani hawaguswi kabisa na kilio chahuyu binti
@esabelfadhili8432
@esabelfadhili8432 Год назад
Bibi harus alihitaji upendo wahali ya juu mnooo,ndugu mngemkumbatia inapunguza machungu tusio na mama tunaelewa hii pindi unapomkumbuka mama ukilia Alafu ukakumbatiwa unapata releaf kubwa mnooo
@Eudiampanda
@Eudiampanda 8 месяцев назад
Jamani usikie tu kukosa mama,nimelia sana
@sagboison6297
@sagboison6297 Год назад
Nyie wamama mliopewa zawadi Mimi naona nashindwa kuzuia machozi kweli Binti Analia nyie mmekaa kama majiti
@antonelatweve478
@antonelatweve478 2 месяца назад
Hamnaaa kituu hapoo
@JenniferJofrey-yw9pz
@JenniferJofrey-yw9pz Год назад
Ata mkon Amna jomon bi harus Mungu akutie nguvu
@dynesskinyaha1766
@dynesskinyaha1766 6 месяцев назад
Kwakweli anae angalia tu anapata hisia lkn wapokea zawadi naweza sema ni wakatili kama sio washamba hata hug!!!
@PatriciaMwantemani
@PatriciaMwantemani 9 месяцев назад
Nimelia jmn😢😢
@AnethEdward-nf6sc
@AnethEdward-nf6sc Год назад
Hii inaniimarisha kwamba hakuna anaejali mtoto wa mwenzie ila mtoto wake .tunawashukuru wote msiojali watoto wa wenzenu.
@esterkihwelo2228
@esterkihwelo2228 Год назад
Mama ni mama aise
@lydiamwaipungu
@lydiamwaipungu Год назад
Ametoa Zawadi kwa hisia sana lakini wapokeakeaji sijaelewa hajaonesha kujali hisia zake kabisaa sijui 😭nimejikuta nimelia hajabahatika kumuona mama nyiee mama mtamu rip mama yangu😭
@dainessmyovela2115
@dainessmyovela2115 Год назад
Real kbs jinsi wanavyopokea zawadi hz kujali kwao ni 0,watakuwa walimtesa sn mrembo ila muagwa kaona awaoshe2 ndio maana analia😀😀😀
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 Год назад
😂😂😂😂😂itakua
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 Год назад
Kwel yaan binti ana hisia analia lakn wapokeaji zero 😢
@pkentertainment6232
@pkentertainment6232 Год назад
Roho mbaya hawakumulea vizuri mungu kawaumbua.
@joycekaguo8476
@joycekaguo8476 11 месяцев назад
Wameshindwa ata kumkumbatia
@saumbliz8983
@saumbliz8983 9 месяцев назад
Nalia mimi
@Eudiampanda
@Eudiampanda 8 месяцев назад
Me harus ya kakaangu kumkosa mama nililia sana wakati napewa zawadi,
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 8 месяцев назад
Wapokeaji zawadi jmn jmn ,hawana upendo kabisaa ht kukumbatiaa jmn jmn
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 11 месяцев назад
Yani hata kwenda kumkumbatia hakuna aise😢
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 Год назад
Wamama wa ki Africa 😅😅😅 Hapo wanasema "Sasa analia Nini Naye huyu"😅😅😅
@AnethEdward-nf6sc
@AnethEdward-nf6sc Год назад
Afrika MUNGU atusaidie,upendo ni adimu .
@obedimaliaki5714
@obedimaliaki5714 10 месяцев назад
Inaafaa hiyi
@FAYH-mt1nm
@FAYH-mt1nm Год назад
Wapokeaji xaxa hata kumkumbatia tuh
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 11 месяцев назад
Du hata kumkumbatia kwa uongo tu jmn
@TeshateshaTesha
@TeshateshaTesha Год назад
Wapuzi kweli
@itikamlagalila1911
@itikamlagalila1911 Год назад
Wapokea zawadi hamna utu,mwanenu analia hata kumkumbatia mtoto looh😢
@Fadhila-q6b
@Fadhila-q6b Год назад
Yan wapokeaji ivyo kbc km wamelazimishwa jmn
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 11 месяцев назад
Ningekuwepo hapo,ningepiga makelele mkumbatieniiiiii😂😂
@GlorySelemani-hq4bo
@GlorySelemani-hq4bo Год назад
Watu wa ajabu awa sjapenda 🙄🙄
@respikiarwiza4216
@respikiarwiza4216 Год назад
Inatia huruma nyie mamaaa uwii
@thebestway5128
@thebestway5128 Год назад
Na wapokeaji walilia sana .ila meza imewazuia kunyanyuka.. Camera aikuwapata kwa mbele wote wanalia.
@merryaugustin8814
@merryaugustin8814 Год назад
Angalau ma mdg kamkumbatia baada ya zawadi,Hao wengine loooh 😢
@KailimaMihiko-fn8mn
@KailimaMihiko-fn8mn 10 месяцев назад
😋🧑‍🏭
@neemasemkiwa8764
@neemasemkiwa8764 Год назад
wapokeaji ovyoo hta kumhagi kumtia moyo jamnii sijapenda
@catylema8929
@catylema8929 Год назад
mama mama kitu kingine jmn
@upendopallangyo5621
@upendopallangyo5621 Год назад
Wanaopokea zawadi ni kama hawajaridhika.
@gracemwakihaba9353
@gracemwakihaba9353 Год назад
❤😂
@glorymasimango4255
@glorymasimango4255 Год назад
Labda wameogooa kuazisha kilio hapo ukumbini ndio maana wameamua wajikaushe.
@lidyaphilipo6478
@lidyaphilipo6478 Год назад
Nikwelii kilio kinqekua kikubwa sanaa
@verinicamartin6420
@verinicamartin6420 5 месяцев назад
Nimelia sana Pole dada
@verinicamartin6420
@verinicamartin6420 5 месяцев назад
Mme wako hawe mfaliji kwako
@neemaneema9969
@neemaneema9969 Год назад
Iyo mipokeaji ya Zawadi sasa 😢 Hovyo kabisa
@pulikisia7963
@pulikisia7963 Год назад
😂😂eti mipokeaji
Далее
Million jamoasi - Amerikaga sayohat
12:37
Просмотров 302 тыс.
ITZY "GOLD" M/V
03:20
Просмотров 4,5 млн
August 24, 2024
2:22
Просмотров 10 тыс.
PROF KABUDI ASHANGAZA WENGI KWA HOTUBA YAKE
37:31
Просмотров 185 тыс.