Analia Kwa mengi zaidi ni kitendo Cha kumkosa mama yake mzazi Ktk maisha yake na hasa Kwa siku ya harusi ambayo kimsingi ni siku MUHIMU kupita kiasi ,Hongera sana Mtoto mzuri mungu akuongoze katk mambo ya kheri na baraka 🙏🙏🙏🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Jaman Mungu ametuumba tuishi na tupite duniani....kuzaliwa kupo kufa pia kupo....naona watu mmetingwa na kufiwa Kwa mama......Sasa tukiwa hivi inamaanisha tunapinga uumbaji wa Mungu, hatuwezi ishi milele....kwaiyo at some point we need to take issue not as the way ua thinking! Kuondoa matabaka ni hivi endapo utakuta huna wazazi wako halisi, piga moyo konde ishi na utakao wakuta maisha yaende...utalia mpaka lini????? Though inaumiza lkn maisha lzm yaendeleee! Kufa lazima! SEMA Kila mtu anawakati wake! Hivyo hisia za bb harusi ni kubwa ndio lkn hatupaswi kuwakosoa ndugu zake Kwa mapokeo yao....hatuwezi jua!!!!! Some issues tuziache tu utalia mpaka lini....eti kukosa mama....Kuna wengine Wana mama zao lkn ni virambasiii wakubwa unaona mpaka Bora huyo bb harusi alipata walezi wazuri😂😢😢😢
Hii familia sijui wametokea bk sehemu Gani? Awajaonyesha upendo ata kidogo mtu anapokwa zawadi utafikiri ni deni la muda mrefu alikuwa anamdai Leo kalipwa. Mwagoka
Bakagoka kwa kweli hapa ndiyo tunaona hawajawai kuwa na upendo na uyu bint wana roho ngumu Yan ingekuwa familia nyingine wote wangetoka kumkumbatia kyonka bojoo
Bibi harus alihitaji upendo wahali ya juu mnooo,ndugu mngemkumbatia inapunguza machungu tusio na mama tunaelewa hii pindi unapomkumbuka mama ukilia Alafu ukakumbatiwa unapata releaf kubwa mnooo
Ametoa Zawadi kwa hisia sana lakini wapokeakeaji sijaelewa hajaonesha kujali hisia zake kabisaa sijui 😭nimejikuta nimelia hajabahatika kumuona mama nyiee mama mtamu rip mama yangu😭