👏👏👏👍👍👍Hongera mama na mwanao mnapendeza sana. Very nice performance sisi watu wa diaspora tunawapenda sana😍😍😍. Mwendelee kufanya juhudi, mwenyezi mungu awafungulie Milango na abariki kazi ya mikono yenu.🙌🙏🙏🙏
Mama body language she is not happy for what had happened to her doughter, to falling in love publicly with a wrong person, Mama amejikaza lkn kama mtu mzima anamuhurumia mtoto wake kanasika kwenye mtego na kuzungumzwa hadharani na mitandaoni.
Ila ni vibaya sana kucheza na hisia za watu, kwa mtoto wa kike ndoa ni jambo kubwa mno, Diamond asifanye masihara anampa mateso mtoto wa watu mana viashiria vinaonesha mtoto hakuwa na furaha hasa baada ya yale mahojiano
Yani vishindo vyte vile vya kuungana familia mbili🙆♀️ diamond nae kama alishindwa hii atawai oa tena,yani aibu Zuchu mwnywe alitarajia mengne mwenzke akamkana🤣🤣🤣🤣🤣