Unajua kwanini we huwez elewa kwakuwa hujui mambo yalohon kwaiyo ataukijibiwa nikazi bule hutaerewa ila ipokuwa ukitaka kuelewa kuhusu bibilia okoka mpe yesu lohohaka atajifunua kwako ndipo yesu atajibu maswali yako ukimwaini lakini.usipo mwamini basi atutakulazimisha itabid ubaki nakutoielewa bibilia namwisho utaendelea kutabika moyon na Kwa ushauli ukiona kitukina kutatiza na hakina maana kwako nikukiacha,nikwamba ukiona kitu unakifwatilia lakini ukielewi jua unakipenda kama ungekuwa hukipendi usinge fwatilia kama Sisi wakristo kuluani atuiwatirii kwaiyo aitusumbui ndo maana hatuna maswari mayo,kwaiyo aitunyimi usingiz,Sawa wewe unaetaka kujibiwa kuhusu bibilia kwaivyo utakavyotaka kujua hutojua kabisa nautateseka Sana .SASA bac kama ukitaka okoka yesu atajibu hutaki Acha hayakuhusu