Huyu jamaa Laizer, ni wa mda sana ni tajari wa mifugo. Kiufupi tayar alishakuwa ni tajiri ila sasa amekuwa bilionea. Ndo maana anaonekana hata presha na hizo pesa
Tajiri wa mifugo kutoka jamii ya wafugaji ndio maskini wa kubwa. Unakuta mtu ana ng'ombe zaidi ya 300 lakini ana lala kwenye nyumba mfano wa nyumba ya njiwa mwitu. Watoto wana maradhi ya utopia mlo, mbali na hapo hawasomeshwi, wengi wao ndio wanao athirika kwa njaa kila mara ndio wanao pelekewa vyakula vya misaada. Utajiri wake ndio huu sasa. Sema masai ataenda kuongeza wake wengine Kama 17 hivi na ng'ombe kibao halafu wakaishi mbugani wakichunga ng'ombe.
Thank God for my Nation❤️ I Believe local workers are always trustful than educated one. My president thank you so much popote ulipo MUNGU akubalik kwa mawazo yako mema kwetu. Lakn pia tuwaajili watumishi Hawa na tupeleke machine zetu zchimbe. kama kwa mchimabji mdogo katoa Mali hii Africa nzma kwa vifaa vya kawaida ingekuwa vipj kwa vifaa vya kisasa, Honor to u President tunaomba uboreshe Zaid miundo binu kwa wachimbaji wadogo, ikiwemo na machine mpya za kisasa ztakazo simamiwa na shirika la madin Tz, Tanzania tunaweza. Zaid Sana mwaka huu unazdi kuwa Safi na jina letu Tanzania linasikika kwa mataifa asante MUNGU 🥰
Hongera sana mzee kwanza uko vizuri kweli pamoja na rais yetu magu kumbe ndyo maana amepiga hukuta ndyo tunaanza kuona mafanikio na matunda ya rais magu kwakweli
Jinsi Gani Mungu Anajiziilisha Kwetu Kua Nchi Ni Tajili Hi Napia Unapokua Mtu Mwema Uwezi Kukosa Faida Duniani Na Mbinguni Kwasababu Watu Niwengi Lakini Binadamu Wachache Kwaivo Watu Wajue Kua Ukiwa Mwema Kwa Watu Wako Autabaki Mashakani Ukiwa Raisi Wapende Wananchi Wako Ukiwa Mbunge Wapende Watu Wa Jimbo Lako Na Wengine Wape Eshima Ukiwa Mwenyeketi Wa Mtaa Wapende Wanakijijj Wako Wengine Wape Eshima Ukiwa Mjumbe Wa Nyumba Kumi Wapende Watu Wako Wa Nyumba Kumi Na Wengine Wape Eshima Ukiwa Unamiliki Nyumba Yenye Watu Ndani Yake Nawewe Ndie Baba Wa Familia Au Wewe Ni Mama Wa Nyumba Nzima Basi Wapende Watu Wa Malangoni Mwako Watu Wa Inje Ya Nyumba Wape Eshima Unapofanya Ivo Kwenye Maisha Yako Autapoteza Kitu Chochote Zaidi Ya Balaka Juu Yako Faida Yake Ukiwapenda Watu Wako Utapendwa Daima Na Awatakua Tayali Kukuacha Utoke Kwenye Cheo Chako Uwe Raisi Mbunge Mwenyekiti Mjumbe Tukija Uku Kwenye Familia Mungu Aliisema Ndani Ya Amli Kumi Zake Kua Usimtamani Mke Wa Jilani Yako Wala Watoto Wake Mtumwa Wake Kijakazi Wake Au Ng'ombe Wake Wala Kilichoko Ndani Yake Apo Mungu Amempa Utawala Mwenye Nyumba Na Familia Yake Ilio Ndani Yake Je Iyo Familia Aina Maumivu Juu Yake Watoto Watumwa Wake Yani Wanaomfanyia Kazi Zake Je Anaishi Nao Vipi Kubali Ku Ukumiwa Kwa Wema Kuliko Kwa Ubaya Hata Mungu Atokupokea Kwasababu Watu Waovu Utupwa Motoni Uyu Alikua Mwema Na Mwema Nandio Mana Mungu Alimpa Utajili Ukiwa Mwema Ndani Ya Nyumba Yako Hata Ukitoka Kwenda Mbali Watu Wako Watabaki Na Mawazo Juu Yako Wakiomba Uludi Salama Na Pindi Ukiludi Nao Uludisha Fulaa Mioyoni Mwao Baada Ya Kukuona Iko Ni Kibali Kizuli Cha Wema Wako Wema Auozi Ubaya Unaoza Kwakua Uishia Motoni Wema Uishi Mbinguni Imani Yako Kwa Mungu Iwe Ndani Yako Akika Raisi Ni Mwema Na Mungu Anaonesha Mambo Pia Kupitia Watu Wema Pia Jina Lamungu Liko Na Nguvu Ya Dunia Nzima
Shukuru mungu umekutiliza uongozi wa magufuli ni Imara bila ivo ungeuliwa au kudhulumiwa haki yako mungu nijarie nyota yang ionekane ndani ya utawala wa huyu mzee..
Mimi Private nambariki Mungu kwa kumbariki Mr Laizer na mawe yenye thamani ya kilo9 .. Namuombea Mungu amuongoze katika matumizi ya fedha hizo. Nimefurahi Mheshimiwa Rais Magufuli kulinda Rasilimali za watanzania wote
Bilioni 7,milioni 700 na laki 4 na arobaini na vijisenti fulani. Nchi hii ni tajiri sana maana ina madini ya kila aina. Mr Laizer kula jasho lako maana Mungu akitaka kumpa mtu humpa kama jinsi yeye apendavyo.
Mashaallah kweli serikali yenu inawaokowa kutokomeza umackini apo mzee tumia upewa wakili kuna pesa ya sadaka kama shukurani kwa alye kubariki pesa inatembea na shetani mungu akucmamie amen
Hongera sana. Nasikia unataka kutumia pesa yako kuanzisha duka (shopping mall). Mimi nakushauri kwa mapato hayo anzisha kitu ccha kudumu nakusaidia jumuiya huku ukijipatia pesa. Nina maana ya kitu kama shule au hospitali binafsi. Tafuta ushauri zaidi toka wizara husika yaani wizara ya elimu au afya au tamisemi
Ashukuriwe Mungu🙏Kwa kumshauri pesa atakayo iweka kwa ajili ya mgodi asizidishe mipiaka yake maana huwenda ikaishia huko,na nampa hongera sana sana kwa kuwa na bahati njema kwa niaba yake nimefarijika.
Yatima kibao wanalala nje, na wajane lakini hiyo allah nyumba yuataka yeye tu? Mbona huyo Mungu wenu waislamu ana tamaa sana na munadai riziki anatoa yeye?
MUNGU huikumbuka nchi na kuibariki pale watu wanapo yenye kea na kutumbu ana iponya na aridhi pia itatoa mazao kwawakati wake pia MUNGU anaangalia sana viongozi au watawala wanafanya nini kwa ajili ya watu wengine hasa wajane na yatima pia wayonge kupata haki zao amini usiamini hii Tanzania tukiedelea na Utawala weyehofu ya MUNGU MUNGU ataikumbuka Tanzania ataitajirisha sana MUNGU ibariki Tanzania MUNGU wa Bariki viongozi wetu na watamzania wote amina
Hamna watu matajiri Kama wamasai wa melelani na wanayajua mawe Kama wamesoma geology hasa Mambo ya geomology Mana nliwahi kua uko kwenye field angu ya mining engineering kwa mtu asio wajua atashtuka Sanaa lkn kwao ni kawaida tuh
Huyu mvulana aliyepata madini ni mzuri kuliko diamond alafu Kama anamiaka ishirini mzuri Sana huyu Kaka jamani hizo hela Sasa ulizopata ndio nazidi kumuona handcham
Mtu wa kupongezwa hapa ni Mheshimiwa sana John Joseph Pombe Magufuli (Nabii Joshua ) Mbeba Maono wa Taifa la Tanzania. Inawezekana Mawe Makubwa zaidi ya haya yalishapatikana lakini. ..........
Baba uangalie usije uliwa maana majambazi wanasikilizwa hapo ujichunge sana Umeipata tabu mwenyewe halafu majambazi sasaivi wako macho na zambi zao😭😭😭😭
Ama kweli kila kwa kila jambo kunahitajika uvumilivu.usitangaze kukata iamaa tupambane mpaka tone la mwisho.hongera kwako,lakini usisahau kumpa sofa na utukufu MWENYEZI MUNGU.
sasa ngoja nkamshtaki alisemaga me siyo mwanae wakat tumefanana ivo ad kutabasam kesho ustawi wa jamii lazma anichukue akaendelee na malez na urithi anipe
Kweli kabisa hapo nakubaliana nawe haswa hicho kipande chenye madini kingeuziwa wachina pasipo wachimbaji kuelewa kinacho endelea,mungu ambariki magufuli ni rais wa kipekee mwenye msimamo wake
Kama unaamin tulishawah kupata mawe makubwa kama hayo na zaid lakin utawala wa jamaa ukayapiga chin yakakwea ndege ✈watz tukabaki hatujui hlo gonga like hapa👍
Mungu ni mwema sasa mtu anaona jasho lake ingekua zaman labd angepewa milion kadhaa tuu tena kimya hii inahamasisha wachimbaji wengine... Mungu ibariki Tanzania
Ni kweli kabisa. Miaka iliyopita unaporwa haki yako ukiwa unaona kweupe. Lkn kwa awamu hii ikiwa ni riziki yako utaipata tu. Asante Mungu kwa kutujaliwa kiongozi mkuu mzalendo na mpenda wanyonge, JPM. Na ningependa mji wa serikali dodoma uitwe JPM City ili vizazi vijavyo vijue kuwa kuna kiongozi aliyewahi kujitoa mhanga kwa ajili ya taifa la Tanzania na ndio maana tumefika tulipo. God bless you our beloved Baba Magufuli.
Ingekua enzi zetu sisi. Unge ambiwa nenda urudi baada ya Siku tano ndio upimaji utakua tayari. Ukienda urudi una ambiwa tulipima ni lilikua jiwe tu tuka li Saga saga angalau ipatikane hata Kama unga huo unaweza kufaa katika mapambo lakini bado haukua na ubora wowote. Kwa hivyo unga wako huu hapa. Saa hiyo unakabidhiwa chupa iliyo sagwa
Mpendwa kweli yatupasa kuomba kwa ajili ya mamlaka. LAKINI MPENDWA KAMA HUJAPOKEA WOKOVU WA YESU KRISTO KUWA BWANA NA MWOKOZI WAKO MILELE UNAJILISHA UPEPO HATA UKIOMBA MAANA HUKO ULIKO BADO UKO GIZANI NA ANAYEWAONGOZA KATIKA IMANI YENU HIYO AMBAYE NI papa au kama mnavyomtukuza kwa kumuita baba mtakatifu😢. NI AGENT WA SHETANI NA HATA YEYE ANAISUBIRUA HUKUMU YAKE ASIPOTUBU mapapa wote waliowahi kuwa viongozi wa kanisa katoliki wako kuzimu NA WANAJUTIA UPOTOFU WSLIOUFANYA NA KUSABABISHA MAMILIONI YA WATU KWENDA KUZIMU KWA KUWAPOTEZA KWA UONGO WA MFUMO MZIMA WA IBADA ZINSZOFANYIKA KATIKA kanisa hilo katoliki HIVYO MPENDWA KAMA UNA IPENDA ROHO YAKO JIEPUSHR MAPEMA.
Haya madini walikuwa wanaiba wahuni asante mungu kutupa JPM , ongera sana Mtanzania (Laizer ) faida kwa taifa na watanzania wote.. Mungu Ibariki Tanznia
Mwenye ncho huongezewa .. huyu alikua na mpunga wa kutosha kitambo yani milion 500 kwake ilikua kawaida .. watu wanadhani huyu jamaa alikua kapuku .. huyu ni alikua tajiri akaongeza na juhudi pia .. sio nyie wengne kutwa mnashinda insta ..tiktok mnasema na mm kesho ntatusua tu mungu yupo .. khaa mungu anawasaidia wanaojihangaisha pia .. imetosha au sauti niongeze kidog😂😂😂
Now days kupitia magufuri tunafaidi raslimali za nchi yetu kabla ya awamu ya tano mambo mengi yalienda kisiri siri sana lakini kupitia mh, magu mambo mengi yako wazi asant mungu kutuzawadia kiongoz huyu mkwel na mwenye msimamo chanya