Mbunge wa Jimbo la Ngara Mh Ndaisaba George Ruhoro, ameomba fedha za kujenga miundombinu ya vyumba Vya Madarasa na vyoo kwenye jimbo la Ngara. Video hii inaeleza maeneo ambayo yamepelekewa fedha.
Kazi yako inaonekana. Big up. Hata mti wenye matunda ndiyo unaorushiwa mawe mengi. Ila bado msimu ukifika unaweka matunda mengine. Una utofauti mkubwa na watangulizi wako big up
Mh. Ndaisaba tatizo la maji Kata ya Mugoma ni critical. Mito imekauka hususani Kata ya shanga vitongiji vya Mumigereka , Chobongo, Muruvyagira ninakotoka Mabawe, Murugina wanashida kwa kuwa mto Induruma unakauka shauri ya kilimo ikiwemo mpunga. Nafurahi sana mkuu kuona waraka wako pamoja na kupata taarifa. Huu ni uwakilishi wa kisayansi na 2025 tuko na wewe. Urakoze c'ane.