#TambiraDrive kwenye Divine Dialogue awamu ya Pili
Binti mmoja amfanyia mamake prank kwa kumpigia simu na kisha kumueleza kwamba amejiunga kwa kikundi cha illuminati kwa hivyo anahitaji kumtoa mamake kafara..baada ya siku chache hivi mamake kagongwa na mbuzi na kufariki papo hapo....Familia na majirani wamemtenga kwamba ni yeye aliyemtoa mamake kafara...
DIVINE DIALOGUE PART 2
#RadioMatumaini
#TambiraDrive
27 июн 2024