Hakika kambi la vijana wa CGM Jimbo la Kilosa lililofanyika Mji wa Makimbilio lilikuwa la baraka tele. Mbali na mafunzo mengi waliyoyapata vijana kutoka kwa walimu mbalimbali Askofu Mstaafu nae amepata wasaa mzuri wa kuwajenga vijana namna nzuri ya kutunza pesa na kujiwekea akiba kwa maendeleo katika maisha yao.
E.A.G.T Mji wa makimbilio Ruaha Kilombero.
Follow Bishop Anthony Assenga on;
Instagram: / bishopantho. .
Facebook: / bishopanthon. .
Whatsapp & Telegram; +255 784 407 362
Offerings (sadaka); +255 784 407 362
NMB Account No; 21702502411
Imani chanzo chake ni kusikia Neno la Mungu.
10 сен 2024