Kaka Danken nakupendauna kazi njema mno mshikilie wingu hili lilikua South Afrika leo Duniani 🇹🇿 tanzania imeonekana kimsingi hali bado ni njema ila msikosee yafuatayo:- 1.kwenye mavazi na mitindo ya Dunia hii 2.Mziki wetu muupate kwenye maombi 3.msifanye kama kwa wadamu bali kama kwa Bwana
Hakika YESU kristo 🙏🔥 anawatu anao watumia Sana kwenye kazi yake hongera Sana mtumishi balikiwa kwaujumbe mzuli Sana mm nimebalikiw ata mm niseme nn ww endelea kunyenyekea tu nakupenda Sana
Wewe nimeona tu notification nikajua another boom 💥 imefika asante mtumishi wa Mungu Boaz unajua kutufurahisha na kutubariki mob love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙋♀️🙋♀️🙋♀️wakenya wezangu lets show love 💘...
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya loves you and we thank God for you are a gift to this generation continue downloading melodies from realms of Zion, I really love the chorus of the song
Nguvu iliyopo ndani ya wimbo......🔥🔥🔥🔥🔥....it's not about the melody au vocals. The msg aiseeee.......🔥🔥🔥🔥. Boaz is the best in this generation for God's glory......🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Uiiiii tushashika the melody and the message is above words.....NOTHING IS IMPOSSIBLE WITH GOD...ata wazazi wameshindwa But wakiomba🎊🎊🎊🎉🎊🎉🎊🎈🎊✨🎊✨🎊✨🎊✨ANAWEZA
Hongera mtumishi Boaz. Mimi nimpenzi wa nyimbo zako na zinanibariki mno. Nimeusikiliza huu mziki na bado sichoki. Hakika unaunyanyua mziki wa Injili kwenye viwango vingine. Mungu akubariki.
Jamani this Song has come with my miracle...huu ni wimbo wa moyo wangu jmn umekuja kwa wakati kabisa... Barikiwa Mtumishi wa Mungu...May God lift u higher in Jesus name.