Msikie Afisa Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) Karim Boimanda akizitaja kanuni zitakazotumika kwenye shindano la #NgaoYaJamii ambalo litaanza kutimua vumbi Agosti 8, 2024.
Ngao ya jamii ni moja tuu kuonesha ufunguzi vp mnatuletea upuuz wenu ngao ya jamii inachezwa kimfumo wa ligi hebu badiliken tff maslah yenu tafuten sehem zngne
Hizo timu za sudani wapangeni ligi daraja la pili watapata, mazoezi huwezi kuweka timu hazikupi point watu wamegharamia mechi unacheza, hupati point unahatarisha kuumizwa, wachezaji pengine kuna mechi muhimu mbele mchezaji au wachezaji wanaumizwa kwa kutumwa na vilabu hasimu tunajuana mpira wetu hao wasijumuishwe waende zao
Bin zuber hao wamechemsha 1kwanza kuhusu Ngao kuna timu zinatengezezewa mchongo zishiriki kanuni zimebadilishwa kwa ajili yao pili tamaa ya pesa wanaona ndo fursa kupiga pesa, Ngao ni ishara ya ufunguzi wa msimu mpya anacheza bingwa na mshindi wa pili kama ulaya tu sasa Tanzania kinyume ati ligi ya, timu Nne upuuzi kabisa, kingine marefa wapewe semina mtu alivuruga makusudi afutwe kabisa miaka miwili maana kumfungia michezo fulani ai miezi mitatu anaona sawa kashapata kibunda anatumia tu na kuna mechi mfululizo wanapewa wanawake kwa nini mechi ya wanaume achezeshe mwanamke mbona ligi za, ulaya hakuna hiyo kitu wakachezeshe wanawake wenzao mifano ipo mingi marefa wanawake wanaharibu mechi nyingi tu.
Ngao ya jamii ni kwa ajili ya kufungua msimu mpya au kuanza msimu mpya ---- sasa boko mlilo libutua," ni tuzo za msimu uliopita,ni kuziweka kwenye msimu mwingine" Bonge la boko mmelibutua tff na bodi ya ligi kuu.
Ujinga tu, mnatunga kanuni kwaajili kwa kuwalenga watu na timu specific. Ngao ya jamii ya mchongo. Mmeona kuna timu itapitisha miaka kadhaa bila kuchukua kikombe chochote ndio mmeamua kuweka ngao ya jamii ya timu 4. Kuchoshana tu kabla msimu haujaanza.
@@abdallahmhina8718 Sheria ipi hiyo ya aliyeshika nafasi ya tatu kwenda kucheza ligi ya Ngao ya Jamii? 🤣 Tangu dunia iumbwe umesikia wapi kuna ligi ya Ngao ya Jamii? 🤣