Wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu wamachinga katika eneo la Vingunguti jijini Dar es Salaam, wamebomolewa vibanda vyao huku kazi ya kubomoa vibanda hivyo ikiwa imefanyika usiku wa kuamkia leo.
Hiyo imetokea mara baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kufanya ziara jimbo kwa jimbo kutoa elimu kwa wamachinga waofanya biashara zao katika maeneo yasiyo rasmi na kuhamia maeneo yaliyo rasmi.
14 окт 2024