Wanaume wengi Europe kuna shida sana kwenye ndoa la kwanza its lady first mwanamke ana haki kuliko mwanamna inapotokea kuachana mwanamme anatolewa ndani ya nyumba kama mbwa pia ina kuhusu watoto asiwaone tena mali zigawiwe nunsu kwa kwa nusu kuna wanaume wanafika kujiua kutokana na mateso ya kuachana watu wasiojua maisha ya uzunguni wanaona wanastarehe wanaume wako wengi majela shauri ya wanawake imefikia wanaume wanaopa kuoa wanaishi as patner
Stan nenda hata english cours unafanya kaz kweny kituo kikubwa alfa mbaya zaid unapemda kuweka kizungu ktk mazungumz yako sasa kwann usijifunze? Basi tumia zaid kiswahili kama kinge kinakushinda maan unaharibu 🤣