Majibu zaidi yako kwenye wimbo wako "tafuta amani- by bonny Mwaitege" Kuishi na watu Kazi, Mama nipe radhi". Mungu ni mkuu zaidi kwa Uhai, injili isonge mbele, "Limebaki Jiwe". Ubarikiwe sana sana mtumishi wa aliye hai 🙏
Watu aki wako na mambo ,wanauwa mtu na ufumi akiwa mzima wa afya? MUNGU wasamehe Sana mnaofanya hipo nawaelemishe mahana hamjui mkifanyacho,,,barikiwa bone mwaitenge twakupenda Sana hapa kenya
Waaaoooh ishi sana Ndungu yangu Bonny tunakupenda zaidi nyimbo zako za injili hutubariki sana huku inchini kenya n wlkm here wewe ni mti mwenye matunda mengi lazima utapatana na mawe kila wakati lakini mungu atakubeba juu na kukutia mafazi mpya kila kuchao ,live long our brother Bonny❤🙏🙏
Niliingiwa na hofu mwengi sana niliona mwenye mtando kua umepata ajali kumbe ilikua uzushi, roho yangu imetulia sasa kwamba Bado uko huai , barikiwa sana mtumishi
Tangu nizaliwe nimejifunza neno LA mungu kupitia nyimbo zako Baba na nimebarikiwa sana Kwa huduma yako Your my father 💗 nakupenda sana papa Na mungu akulinde Kenya tunakupendaa❤🎉
kweli kaka Mungu akupe maisha marefu sana sana akupe maisha marefu kwa kweli hautakufa mpaka umalize kazi ile uliyo itwa na Mungu Nakupenda sana sana❤❤w❤❤❤❤❤❤❤❤❤hakika Mungu hatakuacha
Sifa zimrudie mungu siku zote kama bado uko mzima na hautokufa Baba utaishi milele kushuhudia matendo mema ya mungu. Nazimependa nyimbo zako Mimi na familia yetu nzima tunakuombea siku zote 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
bony mwaitege,ujambo. nakupenda sana napenda nyimbo zako . 'wapendwa nisaidie' nitakusaidia kwa maombi. nakutakia Kila la heri mola akawe nawe siku sote.
Ogopa wanadamu Yani watakuzika ukiwa hai 😅 nimeingia Facebook nikakuta na na rip duuuh Yesu akutunze ndg yangu Mungu bado ana haja nawe na wewe Sio mnyonge tunafanywa jasiri katika Kristo much love from Kenya ❤ but
Thanks to almighty God you are still alive my brother! I had cried so much, I thought you were gone. Pole sana ndugu yangu. Whatever they are thinking about you, will never prosper
Mwanadamu amejalibu kutusika tukiwa hai wee ninaezikia nyimbo zako zinanitoa mali nimekwama tena nina zimama tena , nami natapili katika jina la yesu hautakufa kwani mungu unaemtumikia amelala yesu wetu alimaliza kifo msalabani ,❤❤
Kwanza nimeshangaa sana, adi nikakumbuka wimbo wa Dunia dunia duniaa kila kunapokucha inabadilika mambo yanayotokea duniani yanatisha... Ona sasa unazikwa ukiwa hai, watu hamufanyi poa Mungu anawaona, na utaishi kwa neema ya mwenyezi Mungu 🙏🏼🙏🏼🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Oh God of Marcy ...Thank God.😢🙏🙏🙏🙏🙏🙏 .Mzee wewe unapendwa.Jua TU Hilo Ukiwa Hai..Utakua wa kwanza kujua maana Yako ya Duniani Ukiwa Hai...Mungu Akulinde.❤❤ .Kwana Niimbe Samahani Kutoka Kenya 🇰🇪🙏
Asante bwana Pastor Bony Mwaitege presha imeshuka sote Huku BURUNDI TULIKUwa pamoja nakukaa pamoja Huku ndani ya week mbili Mungu apewe sifa tuta kufa lakini Bado kazi ya Mungu inatuitaji ❤
Pole sana bonny,,,,,, I really follow you and your songs really bless me,,, Hautakufa Bali utaishi kutanganza neno la bwana ,,,,, nakutambua kutoka 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪