Neema ikubebe na ivunje Sheria mtumishi wa MUNGU 🙏🙏🙏 umbali huu YESU ni Ebenezer 🙏🙏 Mombasa Kenya tunabarikiwa Sana na nyimbo zako🙏🙏🙏barikiwa sana papa🙏
Siku zote tunajivunia hekima ambayo Mungu amewekeza ndani yako,na unachokiimba ndicho unachokiishi,Mungu akutunze kwa kutuonyesha njia ya utumishi mwema kwenye kizazi hiki kinachohitaji mafundisho mengi,na hekima nyingi,but wewe umeweza kukileta kizazi hiki kwa Yesu,kwa nyimbo na shuhuda zipo,hakika wewe ni fahali kuu katika ufalme wa Mungu❤❤❤❤
Aaaah ya bony que Dieu vous bénisse abondamment mon frère je vous aime très fort ,❤❤❤👀👀 bon travail Que la grâce du seigneur soit avec vous ❤❤car les paroles qui sortent de ta bouche ma changé 🎉🎉 oui tu es l'homme de Dieu. que ta famille y compris et toi vous êtes béni amen que le talent là sort encore et encore si j'étais aussi à Tanzanie j'allais prié à ton eglise , Que Dieu te donne encore et encore la force de le louer et de le servir c'est beau de voir l'homme de Dieu on menaient les âmes perdues au seigneur ❤❤👍👍👍🙏🙏🙏🎉🎉🎉bon travail