@@franklinisaya4796Frank kalale uote unabudu mizungu wa musanam wa mababu wa wazungu ndio mkaitwa miskwe hujaona Mandela hujaona africa wazungu wakichukua kwa mabavu ku basi na ubinadam burina faso wanataka kua ili wachukue ardhi huoni myiyi wafricq lini.mtacha udini hv hao mashetani wa kizungu mmungu au yesu anawabariki ni kukosa akili huo ni mji kabla hata ya na bee ibrahim na hao zionist walikuja juzi kutokana na marecani kutaks ardhi zote walikuja kua soo kwa amani
Nachosikita ni kwamba muslims wanataka kupingana na unabii wa maagizo ya mwenyezi Mungu.. Kila utawala na zama zake, huyo muisrael amekua utumwani millennia kadhaa huko nyuma katika mataifa jamii hizo za kiislam tangu hata uislam hujaanza.. IMEANDIKWA na cha kusikitisha ni kwamba mimi, wewe na yeyote yule anayesoma ujumbe huu mpaka vizazi vyetu vya NNE hakuna atakayeshuhudia ISRAEL kushindwa na vita hivi japo amezingukwa na maadui kila kona ya mipaka yake kijiografia na kihistoria... Hivyo acheni upuuzi huo mpaka mwisho wa dunia utimie ndiyo ISRAEL ashindwe na maadui kama YESU MASIHI alivyoililia YERUSALEM miaka 2000 iliyopita....
..wakiona wanapigika basi wanataka Amani.. kwa hatua iliyofikia hakuna tena amani.. piga Mashoga hao, haiwezekani kila kukicha tunashuhudia wakifanya mauwaji alafu dunia imekaa kimya..
Unashindwa kukumbuka ndugu zako wakongo na rwanda mauaji ya kimbari cc wote tupo bze kutetea Hawa weupe wawili wanaona uana acha wauane tu maana cc kwetu yakutolea Huwa hawana hata msaada
@@ce-08ww una roho mbaya kwani wakongo haaaogelewi zote ni chuki kwa ajili ya udini ujue ubinadam na haki ndio kipao mbele ingekua ww mpalestina ungeuliwa ndugu zako ungejisikiaje na kudhulumiw ardhi yako hao ni wazungu wa marecani mfaransa anaitaks burkina faso kwa nguvu je kwake ndoo uone hapo
Sehemu atakazo pigà Israel Vinu vya nyuklia.gala za siraha,viwanja vya ndege.mfumo wa mawasíliano na rada.kambi za jeshi...viwanda.visima vya mafuta....NB.NYUKLIA NDO 6AKWANZA...HAPO KETE ZILISHA CHANGWA
@@nizarrama225iran hawana akili kama nyie mnavoshangilia mnasema makombora yametua bila tatizo hata hamjuo kombora lililodunguliwa hewn linakuaja na ambalo zimetua zima zima linzkuaje hivyo mnavyoona angan ni vipande vya makombora vyenye moto ambavyo vinatua chin na kama likitua zima utaona mwanga mkubwa sana angani mbona wafuasi wa iran mnakua washamba hivi kama iran yenyewe😂😂😂😂😂 poleniiiiii
Ucombee ivo cc wenzako tupo uku wwe tuombee dua tuwe salama tu maana dah nooma mm ctaki ata kuchat coz leo wanafatilia kila cm inayoingia na kutoka so ncje kuonekana natoa information cm yangu icje kuripuliwa
DAAAAH BWANA WW INCH ZINGINE MISIKAI ATAKAMA NIAMBIWE NILIPWE ELA ZABURE SIKAI KAMA TAIFA TEULE LENYEWE NDO HIV DUH AISEE UNAITAJ UFINYU WAAKILI SANA ILI KUAMINI HILO NITAIFA LA MUNGU
Israel ana mjua Iran vzr kama akili zake sio nzuri kwaiyo akilipa anajua kinacho tokea zitarushwa drones milion 8 apo maana jmaa ndio bingwa wa drones kwenye hii dunia
Bahati mbaya sana binadamu tunafundishwa chuki na si upendo...si kwa dini wala nini!!? Ni chuki tu tunafundishwa ukisoma comment utaona chuki tu..."" Mtu hajawahi fika hata uganda..." Amezaliwa 90s lakini alivyo na uhakika na anachokiongea unaweza hisi ni mmoja kati ya walio weka misingi ya dunia..."" Kweli dini zimetupotosha..." Waislamu wanaamini ardhi ya waIsrael ni ya wapelestina na wakristo wanaamini ardhi ni ya waisrael..." Na matokeo yake waislamu wanaona hicho ni sawa na wakristo comment zao zinasema Israel haijawahi shindwa...means wanaombea iran nayo ishambuliwe...CHUKI CHUKI CHUKI...hakuna upendo..."" So sad😢
Kuna waakati niliamua kubaki kikusanya vitabu na kuamua kusoma kwa zaidi ya wiki mbili ili nijipatie elimu na taarifa hizi 1. Chimbuko la Israel nje ya vitabu vya dini 2. Mfumo wa kiutawala wa Uswiss 3. Chanzo cha uhasama kati ya Palestine na Israel ni nini? @zilipendwa_60s, nenda kasome kitabu kinachoitwa Encyclopedia Britannica heru "I" na herufi "P " bila shaka kuna jambo utajifunza kuhusu Israel na Palestine na utajua kwanini USA anakumbatia madhaifu na unyama wa Israel. Naomba kuwakilisha
Iran ina mkataba na urusi wa ulinzi wa anga maana Iran imeisadia sana urusi kuipa makombora, ni mkataba kwahyo wajichanganye tayar hyo mifumo ilisha pelekwa kule mda kipindi cha alipo uwawa mkuu wa Hamas, ALLAH 🙏🙏🙏AKBAR
We still have colonized mindset, people are happy for these wars for religious base... It doesn't help you anything we must deal with our own things as Africans especially we, Tanzanians
Marekani atataka kumgusa muirani, lkn akifanya hivyo Urusi anaingia kati kumtetea mshirika wake, na hivi ndivyo vita vya tatu vya dunia vinavyoanza, Mola tusaidie
Hakika iran watajutia hiki nami naungana na Benjamin netanyahu kwa kusema no substitute for victory,, we as chosen nation 🇮🇱🇮🇱🇮🇱 ushindi lazima mungu ibariki Tanzania 🇹🇿🇹🇿 mungu ibariki Israel 🇮🇱🇮🇱
Hii imeenda halaf hatutaki habari eti hakuna madhra yaliyo jitokeza kwenye mabomu thubutuu yupo rafki yang yupo telaviv amerikodi kwa cm yake jinsi magorofa yalivyo angushwa naviongoz wao walivyo uwawa wasilete siasa kesho eti oooh yote tumeyalipua juu kwa juu si yote mengi yameingia jua limechomoza usiku leo telaviv
Sasa tusikie BBC na dww vyombo Vya habari Vya mashoga wanasemaje,mpaka mpangiwe taarifa za kusema naona mzigo umefika salama TelAviv,utasikia kesho mashoga wanasema wameziiya makombora yote aslimia99
Mmmh Mungu niwaajabu sana hawa jamaa wamepiga mda mwafaka kwa maana kesho tarehe tatu ndio majira mapya ambayo israel yote wanakumbuka kutok utumwani misri na hua wanapuliza pembe za wnyama kuashiria vita na hawa iran sasa wamepiga muda mwafaka sasa hapa wengi mmefurahia ila naomba israel na yeye atakapomjibu iran naombeni mlioshangilia smilalamike muendelee kufurahi hivyo hivyo ili muendelee kujifunza na kumjuazaidi Mungu wa israel kama ni wa rangi gan😂😂
wa Iran wangetulia tu. Israel kuna raia wachache ndio maana wamekufa watu wachache. lkn Israel akirusha upande wa pili , anapiga raia kibao. wanaoteseka ni wananchi