Km unataka kuamini fuatilia video zake nyingi utaona hiki kitu je nikwamba hana style nyingne ya uchekeshaji mpka surwali imudondoke utagundua there something wrong somewhere
Simuneni vibaya lkn kuvua Nguo stageni kwenye haraiki ya watu ususa Nguo za nchini ni symbols za kiwakilisha ushoga so one day mtakuja kuamini nacho wambia ww angalia video zake nyingi huwa mpka avue surwali swali kuna logic gani ktk kuvua Nguo za chini kila awapo kwenye stage i mean anasapot ushoga either kwa kujua au kwa kutokujua kuna mawili hapo anajua nachokifanya au hajui ila anafanya km sehemu ya kufurahisha tu