Bss Kwanza waache kuwaambia watu "una nyimbo nyingine yakidunia" tuwe professional at shilole acha kujiimbisha wakati msanii anaimba angalieni wanavyofanya the voice, x factor mjifinze kitu.
Kwa season hii Hii ni mara yangu ya kwanza naangalia videos Bss nipo kwenye dakika ya kumi na 11 nimegundua hiki hiki ambacho unasema shilole acha fujo unamkera mpaka salama apo
Jamaa alive imba na kinanda alafu an a dready anajua mno walichomfanyia ndokinafanya mashindano yapoteze mvuto kila mwaka judje mudamwingine kama wana kurupuka kwenyemaamuzi napia msanii anapoingia wamwache afanye kilichomleta kwanza akimaliza ndowaanze kuongea wanafanya wawe awajiamini mtu anaanza kuimba judje anaanzisha mada ambayo at a haihusian fanyieni Ilo. kazi show nzuri Sana inajina kubwa ila mnaweka uswahili waajabu Sana ndani
Mko vyedi sana ila naomba msiwe mnawaingilia washiriki wakiwa wanaonyesha vipaji vyao. Muwapa nafasi ya kuwasikiliza wakimaliza ndio mtoe comment zenu😊
0057 aliimba vizuri shida ni hao majudge na watanzania in general kwani amukuenda darasa la kingereza .startime ningeomba mtafute majudges wenye wanaelewa pia kingereza mbona wanakill talent ya huyo dada ama mkuje kenya tuwafunze
sijui ma judge wana angalia nn but 21 13:42 & 19 deserved kuliko wote walio pata nafasi alaf kuna yule chalii wa professional music wame muomea sana just because amesema anajua professional music wame amua kumprove wrong kwalazima honestly I'm very disappointed
Kutokumskiliza mtu hapo mnaonekana ovyo kwel asa we shilole unacheka nin mtu anapoanza kuimba c unyamaze au hakuna mtu ajui kuimba ila nikwamba tumetofautian unapomcheka mtu maan ake nin we mwenyew sauti mbayaa bora hao wanaojarib anapoimba mtu funga kibakuli
I'm no sure kama ni mimi tu nime notice,Sina ujuzi sana kwenye mambo ya music ila kwa Shilole ni wrong choice ya judge, I love & Respect her But Again she doesn't deserve to stand there as judge 🙏
Kiukweli huyujama aliye imbia kwakinanda wanywele za dredi aliimba vizurisana tena Sana Sasa huyu juge mwanaume kiukweli Bado haujuwi classic music!!! Sorry for that Tanzania tafuteni wa juges wenye wanajuwa music# fwatiliya maajabu talent from DRC mutashangaa♥️🇨🇩 apo munacheza bana
Sasa huyo Najma na huyo dada mwenye koti jekundu who's best???mnazingua uyo demu Najma ndio angebaki maana hata kale kademu keupe kamemzidi achen upendeleo wa muonekano🙌🙌😒
Nashangaa huyo namba 19 imekuaje ajapita..shame Huyo dada ni star..tuko hapa Namtabiria mema, kama anasoma huu ujumbe yeye ni msanii mkubwa kuliko anavyojitazama..sasa ole wake akate tamaa