Zaburi ya Daudi.
1 BWANA ndiye mchungaji wangu,
Sitapungukiwa na kitu.
2 Katika malisho ya majani mabichi hunilaza,
Kando ya maji ya utulivu huniongoza.
3Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza
Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
4 Naam, nijapopita kati ya bonde la kivuli cha mauti,
Sitaogopa mabaya;
21 авг 2024