Sijawaigi kuikosa Ni my favourite kuanzia episode ya kwanza adi ya 9 bado nipo kazi nzuri 1.Young Killer 2.Giggy Money 3.Country Boy 4.Lulu Diva 5.Dude 6.Master Jay 7.Romy Jones 8.Mkude Simba 9.Chege Chigunda Zote kali nashindwa kuchagua my favourite ni ipi
nakubari sana show yako mzee iko poa toka ulivo anza na young killer mbaka leo chege sijawai kosa yn ila mzee ningeomba juma 4 iyo mlete fidi q mzee tunaomba
Shalubi Dullah Kwani miaka ya 2004-2010. Bongo kulikuwa na matumizi makubwa ya youtube? Kama hakukuwa ndio maana ili kuwa ni ngumu kuwa na subscribers!!
Ibrahim ushazoea kupekenyuliwa wewe ndio unaona kila MTU anataka kupekenyua mm nampenda kimziki tu Malaya Wa kiume wewe nasijui kama siongei na shoga apa sio kwa wivu iwo
Hongereni for dis revolution in de industry lkn bwana hilo goli hapo sio sawa bwana watu nje wanaangalia kweli una switch kushika goli tuendelee ku improve vitu vdogovdogo kama hvyo and we good